Quenda to chelsea sijafurahia taarifa hizi, tusubirie wilcox na vivell watatuletea chaguo lipi.
maisha ya kumuangalia dalot kila wiki yapungue
Quenda kwenda CFC habari nzuri sana, UTD kwa namna ilitaka mtumia ingekuwa ni kuchelewesha maendeleo yake. Kingine dili lake linampa nguvu kubwa sana "AGENT" juu ya timu. (CFC Hawajui nini wanataka pale maana wana
Palmer, Paez, Estevao, Neto, Madueke, Tyrique, Wote wanaweza kuwa RW/LW)
Kuna mbadala wa Quenda,
Roger Fernandes, Kwa ile role ya RWB kama timu inataka kwenda na (Unorthodox WB's) yeye ni bora zaidi kwenye kuzuia,
Mpira unabadilika na tunaokelekea hii 3 CB's itakuwa ni mfumo wa kuendea, Bundesliga wahafidhina wa 4~3~3 wengi wanaswitch kwenye 3~4~3 na Variations zake (3~4~1~2, 3~4~2~1)
Serie A karibu nusu ya timu ligi nzima zinaenda na mfumo huu, Ligue 1 nao mpaka De Zerbi ndo umekuwa mfumo wake rasmi.
Huu mfumo unahitaji "
Zonal Experts" na ukitoa
CB's eneo lingine muhimu zaidi kwenye mfumo huu ni
WB's (Wingbacks) Ila bado naamini kwa
Traditional WB's kwa kuanzia UTD ingepambana kumpata
Vanderson ama
Raoul Bellanova. Yule Frimpong ile Physicality yake kwa EPL changamoto (aina za Lamptey + Barco) UTD inatakiwa fanya Bullying hayo maeneo kama Dorgu namna anafanya (unavamia). EPL Combo bora kufanya vizuri ni
(Physicality + Technicality) Hii ukiongeza na
Mentality ambayo Mwalimu ana sehemu yake kubwa pamoja na idara ya Usajili mafanikio ni nje nje.