Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa knowledge yangu ya mpira naona Leicester anafungwa. Siyo kwakua nyumbu wako vizuri ila ni kwakua Leicester wako hovyo zaidi na Ruud bado ideas zake kwenye defense ni za hovyo.

Kinachofanya niamini Leicester ina chance ya kushinda ni utabiri uliofanywa na Tambitambi hapo juu
 
We nae una makelel, bebeni uefa mlingane na notingham
Jinga kbsaa
Mara nyingi tumekua hatuendi zaidi ya maneno ambayo tumepachikana, liverkuku, chelkenge, nyumbu, punda, manure, manyoo n.k

Arsenal imepachikwa majina pia na watu wakiingia huo uzi wanayaandika. Kumjibu au kutomjibu mtu ni uamuzi, isipokua ukiamua kumjibu huji na haya matusi.

Huna haja ya kukasirika. Waweza niblock au waweza nijia na hoja na logic za mpira ila siyo hiki ulichofanya
 
Pira biriyani
Pira sambusa
Pira udambwiudambwi

Wahuni waleeeeee hawashuki Tena daraja😁😁😁😁😁
Hivi kuna mtu alimuamini hamis77 kuwa United hii inashuka daraja!
Siku arsenal akichukua ndoo ya UCL, msimu unaofuta ndio tutashuka daraja. Fikiria Arsenal ya arteta kubeba UCL sasa.
 
Hivi kuna mtu alimuamini hamis77 kuwa United hii inashuka daraja!
Siku arsenal akichukua ndoo ya UCL, msimu unaofuta ndio tutashuka daraja. Fikiria Arsenal ya arteta kubeba UCL sasa.
Kwa msimu huu hamshuki daraja kwakua walio chini yenu ni wabovu zaidi.

Ila msimu ujao kazi mnayo
 
Ubaya wa mechi ya jana ni kwamba mmeshinda. Uzuri wake ni kwamba mmeshiriki kikamilifu katika kuchangia kushuka daraja kwa legend wenu Van Nistelrooy.

Tunapokea hilo la pili kwa mikono miwili. Kufungwa mtafungwa na wengine.
 
Ubaya wa mechi ya jana ni kwamba mmeshinda. Uzuri wake ni kwamba mmeshiriki kikamilifu katika kuchangia kushuka daraja kwa legend wenu Van Nistelrooy.

Tunapokea hilo la pili kwa mikono miwili. Kufungwa mtafungwa na wengine.
Sahau
 
Quenda to chelsea sijafurahia taarifa hizi, tusubirie wilcox na vivell watatuletea chaguo lipi.
maisha ya kumuangalia dalot kila wiki yapungue

Quenda kwenda CFC habari nzuri sana, UTD kwa namna ilitaka mtumia ingekuwa ni kuchelewesha maendeleo yake. Kingine dili lake linampa nguvu kubwa sana "AGENT" juu ya timu. (CFC Hawajui nini wanataka pale maana wana Palmer, Paez, Estevao, Neto, Madueke, Tyrique, Wote wanaweza kuwa RW/LW)
Kuna mbadala wa Quenda, Roger Fernandes, Kwa ile role ya RWB kama timu inataka kwenda na (Unorthodox WB's) yeye ni bora zaidi kwenye kuzuia,

Mpira unabadilika na tunaokelekea hii 3 CB's itakuwa ni mfumo wa kuendea, Bundesliga wahafidhina wa 4~3~3 wengi wanaswitch kwenye 3~4~3 na Variations zake (3~4~1~2, 3~4~2~1)
Serie A karibu nusu ya timu ligi nzima zinaenda na mfumo huu, Ligue 1 nao mpaka De Zerbi ndo umekuwa mfumo wake rasmi.

Huu mfumo unahitaji "Zonal Experts" na ukitoa CB's eneo lingine muhimu zaidi kwenye mfumo huu ni WB's (Wingbacks) Ila bado naamini kwa Traditional WB's kwa kuanzia UTD ingepambana kumpata Vanderson ama Raoul Bellanova. Yule Frimpong ile Physicality yake kwa EPL changamoto (aina za Lamptey + Barco) UTD inatakiwa fanya Bullying hayo maeneo kama Dorgu namna anafanya (unavamia). EPL Combo bora kufanya vizuri ni (Physicality + Technicality) Hii ukiongeza na Mentality ambayo Mwalimu ana sehemu yake kubwa pamoja na idara ya Usajili mafanikio ni nje nje.
 
Back
Top Bottom