Dah mkuu story yako inataka fanana na yangu . hâta mie hapo ubungo karbu na tanesco stendi ya zamani ya daladala tulikutana nae nikiwa na ndugu angu ila alikuwa bonge la kimeo ila saut zaid ya Wema sepanga. Tulipiga story kidogo tukamuambia tumeagizwa sehem tutakutafta kesho. Ila ndugu angu...
Hahahaaa mku kama ulikwa na mimi yaani natoka kazini na mwenzangu tukapita chuo flani mara tukaona wanachuo wanatembea wamekumbatiana njian. Nikamwambia jamaa umeyaona hayo ndo mapenzi ya chuo. Afu kila mwanachuo anasemaga kwa mboga saba afu kwa wasichana wengi wao utaskia anasema anatokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.