Recent content by eisoma

  1. E

    Baadhi ya wahindi na hizi biashara

    Mkuu umenichekesha sana. Ukaamua kukatia mbata[emoji3] [emoji3]
  2. E

    Zengwe zito uchaguzi TFF

    Mkuu waambie hao wanakaririshwa tu maneno.
  3. E

    Ukata wasambaratisha biashara Kona Baa - Afrika Sana

    Mkuu kwahyo saiv hawapo kabisa kuanzia kona hadi kule central maana ndozilikuwaga chimbozangu hizo nakula totoz kali
  4. E

    Vijana wa Dar mnakera kuvaa makoti wakati kuna jua kali! Badilikeni

    Dar akilizao wanazijua wenyewe mtu anakula mahindi ya kuchoma na limau na pilipili
  5. E

    Huduma za changudoa

    Mkuu kona bar siilifungiwa
  6. E

    Mvua ya leo ni dalili mwezi uliandama jana

    Ukhuty eid mubaaarak
  7. E

    Sitokaa nirudie katabia ka kutongoza demu aliyekosea namba

    Dah mkuu story yako inataka fanana na yangu . hâta mie hapo ubungo karbu na tanesco stendi ya zamani ya daladala tulikutana nae nikiwa na ndugu angu ila alikuwa bonge la kimeo ila saut zaid ya Wema sepanga. Tulipiga story kidogo tukamuambia tumeagizwa sehem tutakutafta kesho. Ila ndugu angu...
  8. E

    Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

    Mkuu kamanakuona ulivyotoka haraka kufunga mlango na kushushapazia huku unapumua kwa kasi[emoji3] [emoji3]
  9. E

    Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

    Asantee mkuu ntalifanyia hili
  10. E

    Ushauri kwa Rais ugawaji wa Noah Zetu

    Dah sijui itakuwaje mashuleni. Walimu na wanafunzi wote wanamiliki Noah. Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
  11. E

    Ushauri kwa Rais ugawaji wa Noah Zetu

    Mkuu umesababisha nipaliwe na uji. Eti TANZANOAh[emoji3] [emoji3] Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
  12. E

    Ushauri kwa Rais ugawaji wa Noah Zetu

    Mkuu umesababisha nipaliwe na uji. Eti TANZANOAh Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
  13. E

    Tabia za mwanafunzi wa chuo

    Hahahaaa mku kama ulikwa na mimi yaani natoka kazini na mwenzangu tukapita chuo flani mara tukaona wanachuo wanatembea wamekumbatiana njian. Nikamwambia jamaa umeyaona hayo ndo mapenzi ya chuo. Afu kila mwanachuo anasemaga kwa mboga saba afu kwa wasichana wengi wao utaskia anasema anatokea...
Back
Top Bottom