Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Urahisi wa mawasiliano pia unachangia kwa kiasi kikubwa. Kwa njia za kisasa za mawasiliano kama vile WhatsApp, watu wanamaliza maswali yote humohumo WhatsApp, kibachobaki ni kumalizia tu. Zamani ilikuwa ngumu kidogo.
 
Shetani at work. Matamanio sikuhizi ndo chanzo. Na wakishatamaniana wana do bila kupoteza hata sekunde
 
Japo mimi Sijawahi na sioni sababu ya kujipa kashkash hiyo, Ngono sio nuksi, acheni fikra potofu.
Unaitia gundu ofisi.....mwisho wa siku unakuta ofisi haipati clients/customers hatimaye inafungwa...mana ngono ni uchafu uliokithiri...
 
Tatizo hao masekretary na wanafunzi wa field wanavaaga nguo za kutega sana ukilinganisha kwamba life ni ngum mtu anaona ni bora atusulie hapo oficn kuliko kwenda gesti
 
Wakuu habari za nyinyi jamani,
Natumaini mu wazima kabisa,
Leo nimeona nishushe haka ka uzi ambako nimekafanyia utafiti usio rasmi na nimeona kuna haja ya kukajadili.

Kwa wenzangu na mimi tulio maofisini bila shaka mtakubaliana na mimi kwamba siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wafanyakazi kupeana tamu maofisini baada ya saa za kazi.

Wengi hubakia baada ya saa kumi na moja au mbili wakijifanya kuwa bize bado na vimeo mbalimbali kumbe wanazuga watu wengine waondoke ili mechi zipigwe kwenye sakafu, makochi au Meza na viti vya ofisini.

Ukweli ulio mchungu ni kwamba wake zetu ambao tunaona ni watulivu nyumbani na hata weekend hawatoki nyumbani kwenda kokote kumbe mabosi wanawainamisha huko maofisini baada ya saa za kazi aisee.

Hii pia inawakumba sana wahudumu wa maofisi, masekretari na walio katika mafunzo ya vitendo wapo pia wanawake wanaowaita hapo ofisini michepuko yao waje kupiga show ofisini.

Kinachonifanya niulize ni sababu zamani ofisi ziliheshimiwa sana, baada ya saa za kazi watu walikuwa wanarudi nyumbani, ni kwanini sasahivi maofisi yamegeuka magesti ya kuchapia mpaka wake za watu? Karibuni tushee aidia hasa kama kuna wenye konfesheni za kungonoka ofisini.


Mbona kama naona fursa hapa ya kupata pesa, yani ukishajua huo mchezo unatafuta stand alone camera, una wa recodi halafu unatafuta mjanja wa mjini anawaonyesha hiyo video la sivyo inatolewa kwa MTANDAO!
 
Mbona uandishi wako hausadifu kilicho moyoni na akilini mwako!?
Maana Mimi ni , forensic scientist yaani nikaangalia uandishi wako naona kabisa "mahondaw" anapigwa changa la macho la makinikia.

cc: mahondaw
 
Mbona kama naona fursa hapa ya kupata pesa, yani ukishajua huo mchezo unatafuta stand alone camera, una wa recodi halafu unatafuta mjanja wa mjini anawaonyesha hiyo video la sivyo inatolewa kwa MTANDAO!
Sorry mkuu naomba ubadili rangi ya maandishi yako
 
Hii ni laana kwa maofisini,Watu wanapenda kufanyia ngono maofisin sababu ya nafas,mazingira yaan wanaogopa kumulikwa na majiran,ndugu na marafik,na kama tujuavyo fimbo ya mbal haiui Nyoka,pia kunapunguza msele wa kumpata mhusika yaan Wahusika wanaongea kwa ishara na wanajuana bila maswal ming sababu wanajuana,kumpata mfanyakaz mwenzako ni simple kama kumpata house girl,anachezea visivyo na idad ikitokea fursa,tena ni kuvuta na yeye anajiongeza mwenyewe,nafas kidogo tu kitu,na vya haraka haraka huwa vitam,na havikinai,hizo ni sababu ya kushamir ngono maofisin
 
zile za fasta fasta huwa tamu sana, yaani unakula mzigo huku unaongea na watu chumba cha pili, aisee hizo file mshamaliza kuzipitia nataka nizipeleke sehem
Mkuu umetisha,nimejikuta nacheka mwenyewe kama mwehu,kama kuna Mtu kaniona hatasita kuamin hili,ni hatar sana
Ndiyo maana napiga kelele cku nyingi kuwa badala ya kutafuta dawa ya ukimwi...tutafute dawa ya kufubaza nyege...ndiyo maana tunaomba msamaha kwa Mungu kwa dhambi zetu...manake ni vigumu kupita katika tundu la sindano..yaani nyege ziwepo halafu uzinifu usiwepo...
 
Back
Top Bottom