Recent content by edwinito

  1. edwinito

    JamiiForums Tanzania Inashangaza sana mtu analipa hela kuangalia mpira kwenye TV huku bado anasikiliza kwenye redio

    Kuna hawa wengine wanakuja na runinga kwenye Press Conference......nao sijui vipi[emoji41][emoji41][emoji41]
  2. edwinito

    JamiiForums Tanzania Msaada: Namna ya kufika Kunduchi beach KKKT, natokea Tabata

    Tunaomba mrejesho mkuu, ulifika au ulitaka kujua tu lilipo?
  3. edwinito

    JamiiForums Tanzania Dkt. Louis Shika: Undercover informer aliyenusurika kifo ughaibuni?

    Mkuu ungejitahidi kuweka akiba ya maneno........
  4. edwinito

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

    ............hasa ukizingatia "taasisi fulani" kuna mgongano wa kimaslahi.......
  5. edwinito

    JamiiForums Tanzania Huyu mzee ananifanya nionekane chizi

    Kumbe Dr. shika amekaa Urusi 30yrs, na aliomba laptop afanye internet banking pesa yake ipo Eco bank Kenya. Alifanya na akawaambia hiyo pesa itaingia within 48hrs. Dr. Yupo vzr, tatizo watanzania wanaangalia mavazi.
  6. edwinito

    JamiiForums Tanzania Huyu mzee ananifanya nionekane chizi

  7. edwinito

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aliyekuwa akiombea Raila Odinga afe aanza kutangulia kufa Yeye huko Nairobi

    Not only Mtikila, walikuwepo wengi to mention them...........[emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27]
  8. edwinito

    JamiiForums Tanzania Fursa hii kwa ajili ya wale wanaopenda kufanya biashara ya mazao

    Duh! Avatar yako yaonyesha wewe ni mjuvi wa haya mambo, hebu njoo PM tuyajenge! Asante kwa link, ngoja nijaribu!
  9. edwinito

    JamiiForums Tanzania Fursa hii kwa ajili ya wale wanaopenda kufanya biashara ya mazao

    Mkuu, hivi bodi ya korosho ipo kweli? Kama ipo naomba unijuze naipataje? Au kama unafahamu wauzaji (au exporters) wa korosho na karanga njoo inbox uniunganishe nao, nimepata watu wanahitaji hii kitu ulaya huko!
  10. edwinito

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri nataka kwenda mozambique au DRC congo kuanza biashara ya ununuzi wa madini na kuuza.

    Niko kwenye biashara ya madini kwa zaidi ya miaka 20, siwashauri wasioijua/wanaotaka kuanza kuingia kwenye biashara hii angalau kwa sasa! Imekuwa ngumu na isiyotabirika! Huko Mozambique ni shida sana kiusalama, DRC sina hakika sana maana nilienda zamani sana! Kwa mtaji huo, unaweza kupata...
  11. edwinito

    JamiiForums Tanzania Hatutarudi nyuma – Sheikh Farid

    Hatutaki Muungano Today 14:29 Junior Member Array Join Date : 30th May 2012 Posts : 2 Rep Power : 0 Likes Received : 0 Likes Given : 0 Duh! Leo leo!!
  12. edwinito

    JamiiForums Tanzania Tukumbushane 'vibao' vilivyovuma Afrika enzi zileee

    Huyo ni Marijani Mwana wa Rajabu, Jabali la Muziki! Akiwa Safari Trippers alikuwa na hizi: 1. Hanifa 2. Salama Hii Hanifa inanikumbusha enzi hizo tunaishi Ilala Flats, ilikuwa ikipigwa mida ya mchana (kipindi mchana mwema), ilikuwa patashika kwenye ngazi! Tulikuwa tunakimbilia ndani kwenda...
  13. edwinito

    JamiiForums Tanzania Kwenu woooote mliosoma kigurunyembe sekondari!

    Habari zenu wenzangu wote mliosoma Kigurunyembe Sekondari School, Morogoro. Nina hakika kuna ambao mmeshapata hizi habari za kuwa, baadhi ya wanafunzi waliosoma Kigurunyembe, wako kwenye mchakato wa kuanzisha Kigurunyembe Sekondary School ALUMNI! Kama huna taarifa hizi, ninachukua nafasi hii...
Back
Top Bottom