Mtaa wa Lumumba wanazidi kupata kihoro wakiona picha kama hizi
Mboye ni nani ndugu!?hapo nyalandu amezungukwa na wachagga! sijawah kumuamini mboye
Nyalandu labda rangi yake ,elimu na pesa yake ndio inamfanya atamani kujitambulisha na kujisikia good kuwa among the elites wa kichaga wasomi na wenye pesa na kuwasahau choka mbaya wanyaturu wenzie kwao singida ambao hajawahi piga picha nao kama hiyo sababu anawaona kama picha itamdhalilisha hadhi yake.Wachaga wakiwa na mtu anayetamani kuwa mchaga!
kwani wewe hutamani kuwa na akili kama watu wa EuropeanWachaga wakiwa na mtu anayetamani kuwa mchaga!
YEHODAVA among them......!Picha hii kuna watu inawauma mno.
Sory mkuu hapo mbowe ndo yupiMwenyekiti wa CHADEMA Taifa,Mhe Freeman A. Mbowe (Wapili kutoka kushoto) akiwa na Mbunge wa Arusha mjini,Mhe Godbless Lema ,Aliekua Waziri wa Mali Asili na Utalii,Lazaro Nyalandu,Mkurugenzi wa Mawasiliano,Itikadi,Uenezi na Mambo ya Nje CHADEMA,John Mrema,kabla ya kuelekea kwenye msiba wa Mkuu wa jimbo mstaafu (Mchungaji Looka Mushi) huko jimboni Hai,leo Ijumaa 17/11/2017
View attachment 632233
Ukabira?Hv huu ukabila unaopigiwa kelele kila cku utatokomea lini sorry kwa ntakaowakwaza ila hili jambo linanikera sana hiki chama watu wakisema ni chama cha ukaskazini wanakuja juu hebu leo kama kuna mtu anaejiamini kweli aorodheshe vyeo vyote vya uongozi wa chadema katika 10 bora kama robo tatu kama siyo watu wa kaskazini usinitajie uongozi wa bavicha hapa ndio maana namwamini sana Mhe. Rungwe kuliko mtu yeyote yule
....Ushindi ingekuwa uwingi wa bendera basi Chadema ingeshinda 2015
Kama umeeleweka hivi!!!!Ccm wanatamani kujinyonga kwa wivu. Tatizo ccm ni makao makuu ya wizi wa Mali za umma na ni chimbuko la Ufisadi wa kutia hasara nchi.
.....Nyalandu labda rangi yake ,eliku na pesa yake ndio inamfanya atamani kujitambulisha na kujisikia good kuwa among the elites wa kichaga wasomi na wenye pesa na kuwasahau choka mbaya wanyaturu wenzie kwao singida ambao hajawahi piga picha nao kama hiyo sababu anawaona kama picha itamdhalilisha hadhi yake.
Safi haiba yenu makamanda inatufanya tuamin kuwa ukomboz umefikaMwenyekiti wa CHADEMA Taifa,Mhe Freeman A. Mbowe (Wapili kutoka kushoto) akiwa na Mbunge wa Arusha mjini,Mhe Godbless Lema ,Aliekua Waziri wa Mali Asili na Utalii,Lazaro Nyalandu,Mkurugenzi wa Mawasiliano,Itikadi,Uenezi na Mambo ya Nje CHADEMA,John Mrema,kabla ya kuelekea kwenye msiba wa Mkuu wa jimbo mstaafu (Mchungaji Looka Mushi) huko jimboni Hai,leo Ijumaa 17/11/2017
View attachment 632233
Wanaogopwa vibaya mno na ccm .Hawa ndiyo wanaume wa shoka
Ha ha ha ha mbavu zangu mimiYEHODAVA among them......!
A bunch of loosers!Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa,Mhe Freeman A. Mbowe (Wapili kutoka kushoto) akiwa na Mbunge wa Arusha mjini,Mhe Godbless Lema ,Aliekua Waziri wa Mali Asili na Utalii,Lazaro Nyalandu,Mkurugenzi wa Mawasiliano,Itikadi,Uenezi na Mambo ya Nje CHADEMA,John Mrema,kabla ya kuelekea kwenye msiba wa Mkuu wa jimbo mstaafu (Mchungaji Looka Mushi) huko jimboni Hai,leo Ijumaa 17/11/2017
View attachment 632233
Majike yapo kule alikotokaCHADEMA IMELAMBA DUME, MAJIKE NI AKINA NANI HUKO MPAKA MADUME HAYAKUWAPO??
a picture speaks volume, naliona dume hapo!
According to Mamvi, huko alikoenda ndo dume lilitakiwa sasa limefika kufanya pollination.Majike yapo kule alikotoka