Kuna siku nimekata nyanya vitungu karot na pili pil hoho vzur nmeweka kwny sahani kwa ajiri ya kuunga nmeweka mafuta kwny sufuri inachemka ghafla ges imekata afu mtung mkubwa nkaishiwa poz ikabid nmwage kila kitu jiko la mkaa nlikuwa sina
Siku ya leo katika pitpita zangu nkasikia binti ananita ile kugeuka nkakutana na binti ambaye nishawah kuachana naye miaka miwili ikiyo pita chanzo cha kuachana binti alikuwa mwanafunzi form 4 walipanga njama na wazazi wake binti ajfanye ana mimba yangu wakafungua kesi ya kumpa mimba mwanafunzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.