Kwa style hii ya wabunge wa BMK kutumia maneno ya mungu kwa dhihaka...yatawarudia.
Hisia za wengi watanzania wazalendo ni mpate katiba ya maridhiano.
Nikiwatizama wajumbe wa iliyokuwa ya Warioba naona uwepo wa matarajio halisi ya wengi watanzania wa kawaida kama mimi tunaotaka haki na usawa...
Aisee itabidi nikupe wangu mmoja,manake wamezizidi ila kana miaka 20 kaka..damu inachemka,kama umezoea vi2 yeye huwa hatosheki bila kuanzia 6 hujamtisheleza...sifa kuu ni kuwa ni mzuri!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Hata mimi nilikuwa nazipata bure ila naona toka wiki mbili zilizopita mambo yamebadilika sizioni tena man!hata niki search tena hazipatikani!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Njoo Dar ila uniachie shamba lako la Lushoto,Nyumba saafi na kianzio kama milioni 6 nakukaribisha Kambangwa Secondary.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kula ushibe na ukae muda mrefu upate mabppumziko then rudia game,but mbona hata hizo tatu zinakutoa?ulitaka 10...!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.