Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

Wakuu, bado kuna guests wanaaccess hii thread

8BKsAAAAASUVORK5CYII=
 
Mbona Mm Hakuna Changes? Just naona TBC1, STARTV, STV GUIDE, ITV, CHANEL5, CHANEL10..
NA nimejaribu code zote mbili
 
Msafara wa Mamba na kenge hawakosekani, na ukiukaguwa vizuri utawaona mpaka mijusi na magong'ole.

teh teh teh matola umenivunja mbavu huyo jamaa mgumu kuelewa.
 
Mimi nimepata na kibox nimekitoa kwa kubonyeza subtittles. Ahsante mkuu.
 
mbona mi inakataa? maana inasearch halafu inasema received chanels 0?? nipeni maujanja
 
Mimi nimepata na kibox nimekitoa kwa kubonyeza subtittles. Ahsante mkuu.

hii jana imesababisha nimeweka password kwenye king'amuzi changu maana nilikuwa nabonyeza subtitle inakataa nikabonyeza setting ikaja password nikabonyeza tena ili kuondoa hicho kibox kumbe ndo naweka password.mbaya hata sijui ni pasword gani so now siwezi fanya any changes hadi niweke password ambayo ndo hivyo tena siijui.
 
hii jana imesababisha nimeweka password kwenye king'amuzi changu maana nilikuwa nabonyeza subtitle inakataa nikabonyeza setting ikaja password nikabonyeza tena ili kuondoa hicho kibox kumbe ndo naweka password.mbaya hata sijui ni pasword gani so now siwezi fanya any changes hadi niweke password ambayo ndo hivyo tena siijui.

hahaa iyo imekula kwako kaka inaelekea ulichamba sana ukatoka na kinyesi mweh
 
Huna akili wewe, mimi nimeshaingiza hizo code na naangali machanel kibao ninapokwambia muda huu. kama akili yako inawaza ngono huwezi kujuwa kama kuna wanaume wanakesha na kuumiza vichwa kurahisisha maisha, kaa nyumbani kuna nazi mambo mengine waachie watu wenye akili timamu.

Chanel nyingi za Star times ni za bure si za kulipia ila kwa sababu Tanzania wamejaa vilaza kama wewe ndio maana wanaziscramble mlipie, na Serikali kwa kujuwa inatawala vilaza na Mambululas subiri mwezi huu uanze kulipia kodi ya simcard yako.

mwambie huyo watu wanajitahidi waturahisishie maisha huyu nae anakurupukaa tu kama katumwa
 
Ingia menu, then system setting, then channel search, right click kwenye manual search then andika 531 au 570
Kaka mbona mi hizo namba zinakataa kubadilika? Au ndo jamaa wamestukia wakazilock?
 
Kaka mbona mi hizo namba zinakataa kubadilika? Au ndo jamaa wamestukia wakazilock?

angalia vizuri chini ya kila digit kuna kimstari_ hiyo namba yenye kimstari ukibonyenyeza namba yeyote kwenye remote control namba hiyo itabadilika na kuwa ile uliyobofya!
 
Jaribu kuweka 0000 kuna kipindi nilipata hilo tatzo likaondoka kwa hiyo password
hii jana imesababisha nimeweka password kwenye king'amuzi changu maana nilikuwa nabonyeza subtitle inakataa nikabonyeza setting ikaja password nikabonyeza tena ili kuondoa hicho kibox kumbe ndo naweka password.mbaya hata sijui ni pasword gani so now siwezi fanya any changes hadi niweke password ambayo ndo hivyo tena siijui.
 
kwanza nikutaarifu kuwa huyo dada anaheshimika sana humu jamvini so stop ujinga wako wa kutukana watu usiowajua.ujinga wako peleka huko kwenu.pili sio peke yako uliyejaribu hiyo kitu inayoongelewa nakushangaa hizo channel kibao unazozisema ziko wapi coz ukiangalia zimeongezeka kama 12 tu na hizo kuna kibox za non-conax program kinagoma kuondoka.

hv kuna ambao hawaheshimiki na ni haki yao kutukanwa?cha msingi wote wametumia lugha za madharau waache wamalizane wenyewe.hilo box bonyeza subtittle litatoka
 
Wakuu nami nisaidie natumia Star times nimejaribu hizo namba inagoma,ni Moro hapa,natanguliza shukrani
 
Kuna aina ya visimbuzi vinavyokubali na visivyokubali...!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom