Wadau naomba ushauri kwa mtaji wa laki mbili naweza Fanya kitu gani ili niweze kukidhi mahitaji mbalimbali katika maisha, eneo nililopo ni Mara-Tarime.
Sent using Jamii Forums mobile app
Computer za sasa hazina madhara sana kwa macho. Epuka yafuatayo, kuongeza brightness mpaka mwisho ukiwa ndan ya chumba chenye mwanga hafifu au giza kabisa yaani unazima taa af unaongeza mwanga wa computer yako sana hiyo ina madhara
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkali wa Hiphop na Freestyle Godzilla amefariki usiku wa kuamkia leo tar 13/2/2019. Alikua amelala kwake umauti ukamkuta Ghafla. Taarifa zaidi zitaendelea kutolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiulize ni lini, ni wapi , saa ngapi, ili iweje,
Hizi ni propaganda utaibiwa ukicheza branda,
Yule last King wa Scotland sio Idd Amin wa Uganda.
Fid Q. Propaganda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi guys I am a university graduate, with a bachelor degree in special needs education. I am looking for any legal job wherever. I have skills in computer and fluent in English and Kiswahili. Thank you
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana kipaji kila mtu anafahamu hilo na akipanda jukwaani watu wanaelewa this is King Kong mtoto wa Ilala anaisimamisha DSM kweli, lakin nyota yake imefifia kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.