gift jimmy
Member
- Jan 6, 2015
- 8
- 0
Habari wana JF , naomba mwenye notes za Biology A level( topics zote) ani pm au mwenye kujua wapi zapatikana anijuze plz ....its urgent
Mtandaoni nimetafuta am worried naweza kupata tofauti na mtaala wa Tanzania , mtandaoni napata za Cambridge tuuMkuu, nakushauri ingia mtandaoni tafuta kila kitu kinapatikana hata notes za chekechEa ukitaka,
Biological Science ndo kitabu cha kusoma,then Guide to Dissection cha H G Q ROWETT na Plant and Animal Biology cha A E Vines &N Rees...ukifeli mtihani kwa hivo vitabu kutakuwa na tatizo jingineAsante ndugu , mwalimu yeyote mwenye notes , esp hard copy niweze kutoa copy
Mtandaoni nimetafuta am worried naweza kupata tofauti na mtaala wa Tanzania , mtandaoni napata za Cambridge tuu
Chukua za mitandaoni ila tafuta syllabus. Nikipata bando ntakutumia soft copy ya syllabus NiPM neno syllabus ili nikuweke kwenye kumbukumbu.Mtandaoni nimetafuta am worried naweza kupata tofauti na mtaala wa Tanzania , mtandaoni napata za Cambridge tuu
ACHA UVIVU SOMA VITABU..!!:A S embarassed::A S embarassed:
Biological Science ndo kitabu cha kusoma,then Guide to Dissection cha H G Q ROWETT na Plant and Animal Biology cha A E Vines &N Rees...ukifeli mtihani kwa hivo vitabu kutakuwa na tatizo jingine
Anataka mtelemkohahahahhhhhh notes za bios tena!!! ila google ni kila kitu mkuu. hakuna bios ya uk na ya Tz zote sawa. hata vitabu vingi tunavyotumia vimetoka nje. dont narrow ua thinking capacity!!!!
Nakutumia PMWrite your reply...nipe namba yko nikutumie WhatsApp