Bongo hiphop mistari ninayoikubali

Usiulize ni lini, ni wapi , saa ngapi, ili iweje,
Hizi ni propaganda utaibiwa ukicheza branda,
Yule last King wa Scotland sio Idd Amin wa Uganda.

Fid Q. Propaganda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naujua mziki hommie, dat is not enough,
Ukishindwa rudi matawi ya chini omba upigwe tafu,
Discipline kuwa nayo tena maintain yourself,
Lete kiburi upewe kaburi you gonna bury yourself,
Maskani kwa amani mi na meditate,
Rule number one simple usicomplicate,
Mtaani hakuna chuo tuna graduate,
Ukinipa njia moja ya maisha mi naidublicate
..................................................................
R.I.P KINGZILLAH
 
Miaka kibao nawapa maarifa labda ubongo wao unachelewa kupeleka taarifa labda maneno yangu wataelewa siku nikifa... R.I.P KINGZILLA
 
Let's drinks up me and you cause these niggas fake and I see too..
 
Wewe ni wangu toka before wengine Nina waignore mapenzi ni marefu kama series za twenty four.
 
Ukiwa maskini sio rahisi kuwa gentleman huwezi kumfungulia mpenzi mlango wa daladala
 
Back
Top Bottom