TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

Mkali wa Hiphop na Freestyle Godzilla amefariki usiku wa kuamkia leo tar 13/2/2019. Alikua amelala kwake umauti ukamkuta Ghafla. Taarifa zaidi zitaendelea kutolewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah...i can feel u...pole mno aisee nawazaga kufiwa na mzaz jamani naamini nitachizika mazima mm..nina hofu mno hyo mm...navyompenda baba yangu jaman bora nianze mm tu...hakuna msiba mzito na mgumu kama kufiwa na pacha wako pia aisee!unajiona na ww huna thamani kbs.!argh!Pole sana best..rip mom
Kama mimi aisee, nampenda sana baba yangu ingekuwa ni kuchagua ningeomba nitangulie kabla yake ila kifo ni fumbo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We naye ...humjui zilla..mie sifatilii sana bongoflava lakini niamshe saa9 uniulize nampenda msanii gan..nitamtaja zilla..yaan nimepiga ukunga ghafla..nimeumiaa..!we si unapenda manyimbo yenu yale ya bob marley
Kwahiyo umelia hadi machozi? . Mi nasikia jina tu lkn sijui wimbo wake hata mmoja. Aisee mi nilikuwa napenda mziki balaa enzi zangu hakuna mziki nisioujua, miziki ya aina yote sichagui. Eti Bob Marley.. of course nikitaka kurelax nasikiliza sweet reggae
 
huu wimbo mimi bwana naupenda mnoo na ninauchezaga balaa jaman...asbh umepigwa mie napaka mafuta acha nianze kuucheza..khaa wanamalizia wanasema rip ..nilipiga yowe mno yaan...!huu wimbo uwe na kitu kinachochuja sauti..utapenda

Nyimbo ya salasala weka mbali na watoto...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom