TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

Kwahiyo umelia hadi machozi? . Mi nasikia jina tu lkn sijui wimbo wake hata mmoja. Aisee mi nilikuwa napenda mziki balaa enzi zangu hakuna mziki nisioujua, miziki ya aina yote sichagui. Eti Bob Marley.. of course nikitaka kurelax nasikiliza sweet reggae

😂😂😂Mie had leo napenda mno miziki..!ah nimetoa chozi..unaweza kufuru kusema Mungu anakaupendeleo fulan..hvi mama wa mheshimiwa sana bado yupo mhimbili??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom