Recent content by drclark

  1. drclark

    Namna ya kujua mpenzi!

    Unayemtaka.
  2. drclark

    Meya Jafari Mwanyemba: Changamkieni fursa zilizopo Dodoma

    Wafanyabiashara wakubwa na wadogo mkoani hapa wametakiwa kuchangamkia fursa zinazopatikana kwa kujiongezea kipato kutokana na wingi wa watu wanaohamia. Wito huo ulitolewa juzi na Meya wa Manispaa ya Dodoma, Jafari Mwanyemba wakati akifungua semina ya wajasiriamali iliyoandaliwa na Mbunge wa...
  3. drclark

    Hongera JamiiForums kwa kutambua siku hii, nimependa barafu inavyo dondoka

    He Came Un To His Own Received Not But As Many Received Him To Th Gave The Power To Become The Sons Of God That Beleive In His Name Which Were Born Not Of Blood Nor Of The Will Of The Flesh Nor Of The Will Of Man But Of God Merry Christmas
  4. drclark

    Elimu bora inahitaji walimu bora

    Katika kukidhi haja ya kuwa na walimu wa kutosha, serikali za nchi nyingi hususan barani Afrika, zimekuwa zikichukua hatua mbalimbali kuhakikisha shule zina idadi ya walimu wa kutosha. Hata hivyo, ili maarifa tunayokusudia kuwapa wanafunzi yawe bora yatakayowawezesha kukabiliana na mazingira ya...
  5. drclark

    Wananchi wanahitaji kuelimishwa zaidi

    Bomoabomoa ya vibanda vya biashara na nyumba zilizojengwa kinyume na sheria katika maeneo ya wazi, kwenye vyanzo vya maji au kwenye hifadhi za barabara imekuwa ikiendelea katika maeneo mbalimbali nchini. Mara zote waathirika wamekuwa wakiilaumu Serikali kwa kutozingatia masilahi yao na kwa kweli...
  6. drclark

    2016 Mwaka Wa Kizungu Mkuti Watumishi Was umma

    Kama kuna mwaka ambao watumishi wa umma hawatausahau, basi ni 2016 ambaoSerikali ya Awamu ya Tano umeutumia kufanya mabadiliko, ambayo yametingisha wafanyakazi wa serikalini na kuwaweka roho juu wakati wote. Hayo yametokea wakati Serikali ya Rais John Magufuli ikiwa imepania kuwezesha kila...
  7. drclark

    Serikali itafute kiini cha wanafunzi hewa nchini

    Elimu bora yenye sera zinazotekelezeka, dira, mfumo na utaratibu mzuri hutoa kizazi bora cha elimu ambacho ndicho hutumika kama chachu ya maendeleo katika taifa lolote. Msingi wa maendeleo ni elimu, taifa lisilo na mfumo imara wa elimu, hujikuta likitumbukia katika malumbano, maradhi, ujinga...
  8. drclark

    Russia: Syria establishes control over eastern Aleppo

    The Syrian government has established control over eastern Aleppo, Vitaly Churkin, Russia's ambassador to the United Nations, told the UN Security Council on Tuesday. "Over the last hour we've received information that the military activities in east Aleppo have stopped," Churkin said...
  9. drclark

    Weekend Edition: The week's best reads

    Weekend Edition: The week's best reads Weekend Edition: The week's best reads - BBC News
  10. drclark

    Ajali Tanzania: Mawazo mbadala kuhusu udhibiti wa ajali Tanzania

    Katika gazeti hili Jumapili iliyopita, tulikuwa na habari iliyosema, ‘Sababu za mwezi Desemba kuwa na mauaji, ajali nyingi.’ Habari hiyo ilielezea kwa kina jinsi ambavyo mwezi huo hugubikwa na matukio ya uhalifu, ujambazi na vifo vitokanavyo na ajali na mauaji na kuelezea kuwa sasa yanaonekana...
  11. drclark

    Je gharama au thamani ya pete ya uchumba au ndoa ni kipimo cha mapenzi?

    Gharama ya pete ya ndoa au uchumba ni kipimo cha upendo wa mwanaume kwa mpenzi wake? Nini maoni yako katika hili? ============ When Ariel McRae and husband-to-be Quinn went shopping for wedding rings, they didn't give a thought to what people would think about the price. The couple, both...
  12. drclark

    Katiba Mpya huenda ikawa tiba ya magonjwa mengi yanayoikabili nchi

    Novemba 4 mwaka huu Rais John Pombe Magufuli alikutana na wahariri Ikulu jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa maswali aliyoulizwa lilikuwamo la mchakato wa kupatikana Katiba Mpya. Rais alijibu kwamba hakuna pahali alipoahidi kuwa atauendeleza mchakato huo. Pengine Rais alisahau, lakini wachunguzi...
  13. drclark

    Angalia Picha Hizi

  14. drclark

    6 ways to show your interviewer that you really want the job

    Do you have an interview coming up for a job that you really want? Are you eager to make it clear to the interviewer that you’re not keen just to get any job, but that you want this job? Are you wondering how best to get this across in the interview, without coming across as desperate? You’re...
  15. drclark

    Heri ya siku yako ya kuzaliwa Rais Benjamini William Mkapa.

    Check out @MkapaFoundation's Tweet:
Back
Top Bottom