Recent content by Dr Haule F

  1. D

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali imuangalie IGP Mstaafu Omari Mahita, anatoa silaha yake ovyo hadharani anaweza kumjeruhi mtu

    Namkumbuka IGP Mahita kwa jambo la heri alilonifanyia. Niliajiriwa Polisi nikiwa na Elimu ya Kidato cha Nne. Ndani ya mwaka mmoja nikajiendeleza na kufanya Mtihani wa Kidato cha Sita kama Private Candidate. Matokeo kutoka nikafaulu na nikachaguliwa kwenda kusoma Nje ya Nchi tena kwa Udhamini wa...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaohusika na haki za waajiliwa ni Taasisi ipi?

    Castr nimeku-pm lakini umefunga,naomba njoo WhatsApp 0786294545 nina jambo la kukuuliza[emoji1490]
  3. D

    JamiiForums Tanzania Rais Samia achangia mamillioni ya pesa taasisi ya profesa Jay Foundation, atoa maagizo mazito kwa Wizara ya Afya na Muhimbili

    hivi kuna watoto wanakuita Baba na wewe, daaah pole kwao [emoji134][emoji134]
  4. D

    JamiiForums Tanzania Rais Samia achangia mamillioni ya pesa taasisi ya profesa Jay Foundation, atoa maagizo mazito kwa Wizara ya Afya na Muhimbili

    Kwani UMEULIZWA??nadhani wote tulishuhudia,punguza kiherehere
  5. D

    JamiiForums Tanzania ACP Mkoa wa Singida, unastahili pongezi

    Asante kwa kumsifia ACP Stella,namkumbuka ni Dada mwema,mpole na muungwana tangu tukiwa Depo CCP 1998/1999. Ni Depo Mate wangu,Platoon Mate mwenzangu(Namba 26) Kombania C,Hongera ACP Stella kwa uungwana wako
  6. D

    JamiiForums Tanzania The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    [emoji1787]
  7. D

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Fluke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  8. D

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kapaketi ka TATU BOMBA kaliisha jana vizuri kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  9. D

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Fabio angalau tulisema apewe muda kwa kuwa alitokea nje ya EPL,sasa Kai kama ni EPL anaijua lakini bado mlendamlenda tu halafu mnasema apewe muda!!
  10. D

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    kugongwa MMEGONGWA acha kujifariji hapa
  11. D

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kai hamna kitu,kwa uchezaji wake hatakuja kubadilika maana hata kujituma tu ni shida, anatakiwa aanzie bench awe anaingia dakika kuanzia ya 80,yaani hata Carabao hafai kucheza,ni heri kina Neilson kuliko Kai
  12. D

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    We jamaa bwana[emoji1787][emoji1787]kwa hiyo mwamba kadinda kuondoka[emoji1787]
  13. D

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwa hiyo mmekubali Arsenal kumaliza kipaketi kizima cha DUME kwenu[emoji1787][emoji1787]wapi ARV,wapi FLANO[emoji1787][emoji1787]
  14. D

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yes,tena Zinny alikuwa anamuelekeza Kai mpaka mishipa ya shingoni imemsimama,means ni kama alikuwa anampa makavu kwamba aache kucheza kimamamama Uwanjani,lakini ndio hivyo Arteta ana mahaba nae kama karogwa sijui limbwata daaah
  15. D

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    kwa hiyo HARVETZ ndio anafaa kuanza mechi hizi na kucheza dakika 70[emoji1787]tusidanganyane humu,Harvetz ni mzigo kama furushi tu
Back
Top Bottom