Hivi wanaohusika na haki za waajiliwa ni Taasisi ipi?

gaintoo broisser

JF-Expert Member
Sep 29, 2016
307
378
Samahani Sana Wanajamii Kwa Swali hili nahitaji Kujua na Aulizaye si Mjinga.

Mimi ni MWAJILIWA katika Kampuni X ,Boss wa Kampuni hii ninayofanyia kazi ni Miezi 4 Hajalipa Mshahara , WENGI Waajiri huwa wanatishia na Kusema Kanishitaki Popote Siwezi Kukulipa Mshahara wako adi nipende Mimi, Kampuni X Hadi Nssf wanadai wanachama wao hawalipwi au Hawawekewi Mafao Yao.

NAJUA hii wengi wanapitia na wengine washapotezea Haki zao au Mishahara Yao,Kwa anayejua Kitengo Kinachotetea Haki za Mwajiriwa Atwambie.
 
Kumbe WAPO vizuri daa nilishidwa pa kuanzia Sasa Mmenijuza vyema Hunk Man
Wako vizuri yeah katika ishu niliyoishuhudia.

Mwajiri aliterminate watu kwa ishu ya underperforming ila hakumpa clear goals, turns out sheria inataka pia huyu mtu umpe warning, umpe training kisha muda wa uangalizi halafu kama inawezekana umbadilishe kitengo.

Jamaa hivyo vyote hakufanya.
 
Samahani Sana Wanajamii Kwa Swali hili nahitaji Kujua na Aulizaye si Mjinga.

Mimi ni MWAJILIWA katika Kampuni X ,Boss wa Kampuni hii ninayofanyia kazi ni Miezi 4 Hajalipa Mshahara , WENGI Waajiri huwa wanatishia na Kusema Kanishitaki Popote Siwezi Kukulipa Mshahara wako adi nipende Mimi, Kampuni X Hadi Nssf wanadai wanachama wao hawalipwi au Hawawekewi Mafao Yao.

NAJUA hii wengi wanapitia na wengine washapotezea Haki zao au Mishahara Yao,Kwa anayejua Kitengo Kinachotetea Haki za Mwajiriwa Atwambie.
Je, hapo kazini kuna chama cha wafanyakazi kwa maana ya (Trade Union)?
Kingine una mkataba wa ajira? Katika mkataba wako terms?Na je, ni ww pekee haulipwi au na wenzako?
Kabla ya kwenda CMA unaweza pata msaada wa kisheria kwa aidha kwenda LHRC, BHRT au TLS juu ya suala lako...then CMA inaweza kuwa hatua ya mwisho.
Mwajiri wako ajapewa barua ya mkwara huyo.
Hajafaham issue ya regulatory complience
 
Je, hapo kazini kuna chama cha wafanyakazi kwa maana ya (Trade Union)?
Kingine una mkataba wa ajira? Katika mkataba wako terms?Na je, ni ww pekee haulipwi au na wenzako?
Kabla ya kwenda CMA unaweza pata msaada wa kisheria kwa aidha kwenda LHRC, BHRT au TLS juu ya suala lako...then CMA inaweza kuwa hatua ya mwisho.
Mwajiri wako ajapewa barua ya mkwara huyo.
Hajafaham issue ya regulatory complience
Hivi kazini kuwa na Chama cha Wafanyakazi(Trade Union)ni takwa la Kisheria kwamba ni LAZIMA kiwepo??
 
Yeah! Ni mandatory requirement ya The Employment and Labour Relation Act ya 2004 ingawa wengi hawatekelezi.
Kingine Mhusika angetujuza amefanya kazi kwa muda gani! Maana unaweza kwenda CMA then mwajiri anawesema ww ni kibarua tu!
 
Je, hapo kazini kuna chama cha wafanyakazi kwa maana ya (Trade Union)?
Kingine una mkataba wa ajira? Katika mkataba wako terms?Na je, ni ww pekee haulipwi au na wenzako?
Kabla ya kwenda CMA unaweza pata msaada wa kisheria kwa aidha kwenda LHRC, BHRT au TLS juu ya suala lako...then CMA inaweza kuwa hatua ya mwisho.
Mwajiri wako ajapewa barua ya mkwara huyo.
Hajafaham issue ya regulatory complience
Asante sana, kiongozi Sikuwa naelewa kuhusu hili
 
Yeah! Ni mandatory requirement ya The Employment and Labour Relation Act ya 2004 ingawa wengi hawatekelezi.
Kingine Mhusika angetujuza amefanya kazi kwa muda gani! Maana unaweza kwenda CMA then mwajiri anawesema ww ni kibarua tu!
Kwa hiyo Ofisi mfano Shirika binafsi,NGO nk likiwa halina Chama cha Wafanyakazi ni Kosa kisheria,si ndio Mkuu??
 
Inaweza kua sio kosa la kisheria.
mwajiri aanzishi chama cha wafanyakazi hapo katika Shirika au NGOs.
Naomba NGOs tuachane nazo kwani ni politics nyingi huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom