Recent content by Double square

  1. Double square

    Hongereni zoomTanzania kwa maboresho

    Sijawahi itwa hata interv kupitia kszi ninazo apply kupitia zoom
  2. Double square

    Kiinua mgongo kipo??

    Kwani kazi zilikuwa haziendi hata ww nimekufundisha hujui tu haki itendeke hap
  3. Double square

    Kiinua mgongo kipo??

    Naombeni niulize nina miaka 25 kazini bahati mbaya nilitumia cheti cha mtu wamenigundua ni miongoni mwa list ya watu wenye vyeti feki / kubushi sasa kutakuwa na kiinua mgongo kidogo au ndo wametuchinjia baharini
  4. Double square

    Kuanzia leo; usinipigie simu kuniuliza nipo wapi

    Cheti feki kiko wapi.....sitaki weereweree njaa itazidi tz si kwa mchujo huo
  5. Double square

    Namchukia Magufuli from bottom of my heart

    Nilitegemea unasem imebaki angalau miaka3 we utakuwa uchi emu
  6. Double square

    Namchukia Magufuli from bottom of my heart

    Michache hyo au mwenzetu uko vizuri waon ka siku8
  7. Double square

    Hawa wanatamani Rais Magufuli asifike 2020

    Kul hayo mabarabara basi we ni walewale wanaolelewa hawajui bei ya unga
  8. Double square

    Hawa wanatamani Rais Magufuli asifike 2020

    Nyoooo utakuwa umepewa ubunge wa viti maalum
  9. Double square

    Malipo katika ajira mpya za walimu 2017, naomba kufahamishwa haya

    Mkuu mbon hadi leo hela za kujikimu haijatoka,?
  10. Double square

    Ajira mpya za walimu: Ni makosa ya kiufundi au ndio Double Standard?

    Ulituma vyeti n baada ya hapo majin yalivyorudishwa ulikuwepo??
  11. Double square

    Msaada wa kumroga aliye Senegal, amenitapeli TZS 5 Millioni

    Kweli aisee utapewa ni wa muda sana Jamaa sijui alikuwepo wapi hajaupata ukiingia kichwa kichwa unaweza sema zali la mentali hili
  12. Double square

    Leo ndo mwisho wa Uhakiki

    Hatariii n hii awamu fake
  13. Double square

    Rais Magufuli amkingia kifua Paul Makonda. Asema yeye ndie anapanga nani akae wapi!

    Hatariii ila salama suti yake tu pale jukwaani loooh..... Kabana unachia[emoji3]
Back
Top Bottom