Hawa wanatamani Rais Magufuli asifike 2020

Hawa wanatamani Rais Magufuli asifike 2020

"Bei ya Unga wa Sembe 1kg TZS 2,300/= ( wastani ). Bei ya Mafuta ya Petroli 1lita TZS 2,060/= ( wastani). Kwa mara ya kwanza Ugali umekuwa ghali kuliko mafuta ya gari. Gharama hizi za maisha Kwa wananchi ni kubwa mno, hazistahmiliki na zinaingiza raia wengi kwenye umasikini. Serikali ipo kimya kana kwamba kila kitu kipo sawa" - Zitto Kabwe

Huyu naye bila shaka anatamani hivyo. Acha kuukimbia ukweli wewe na kuwa muongo wa kupindukia. Hebu siku moja tu andika hali halisi ya yale yanayojiri nchini. Msema kweli siku zote ni mpenzi wa Mungu. Usaliti wa Tanzania na Watanzania wenzako hautakusaidia chochote kile.

Wadau, amani iwe kwenu.

Kama kuna watu wanatamani Utawala wa Rais Magufuli usifike 2020, basi miongoni mwao ni hawa wafuatano.

1. Wauzaji na watumiaji wa Madawa ya Kulevya

2. Wakwepa kodi na wafanya biashara kijanja ujanja.

3. Wezi, mafisadi na wabadhilifu wa mali za umma

4. Vibaraka wa mataifa ya kinyonyaji

5. Wazembe kazini na wapiga deal

Haya ni baadhi ya makundi yanayopambana kila uchwao kuhakikisha Rais Magufuli hafanikiwi. Nyuma yao wapo CHADEMA ambao wamekuwa wahanga wa Utawala wa Rais Magufuli kutokana na kuwanyima ajenda kwenye majukwaa ya siasa.

Lazima tuheshimiane tu. hakuna jinsi
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kama kuna watu wanatamani Utawala wa Rais Magufuli usifike 2020, basi miongoni mwao ni hawa wafuatano.

1. Wauzaji na watumiaji wa Madawa ya Kulevya

2. Wakwepa kodi na wafanya biashara kijanja ujanja.

3. Wezi, mafisadi na wabadhilifu wa mali za umma

4. Vibaraka wa mataifa ya kinyonyaji

5. Wazembe kazini na wapiga deal

Haya ni baadhi ya makundi yanayopambana kila uchwao kuhakikisha Rais Magufuli hafanikiwi. Nyuma yao wapo CHADEMA ambao wamekuwa wahanga wa Utawala wa Rais Magufuli kutokana na kuwanyima ajenda kwenye majukwaa ya siasa.

Lazima tuheshimiane tu. hakuna jinsi
Huyu jamaa namkubali sana
Karudisha adabu nchini
7b596c012ff8cac141d9716c4aedb96d.jpg

Lazima waumie2 wajanjawajanja
Babu yako kijijini sukari 1kg ni Tshs 2800/"
Lazima anamchukia tuu.Au unasemaje??
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kama kuna watu wanatamani Utawala wa Rais Magufuli usifike 2020, basi miongoni mwao ni hawa wafuatano.

1. Wauzaji na watumiaji wa Madawa ya Kulevya

2. Wakwepa kodi na wafanya biashara kijanja ujanja.

3. Wezi, mafisadi na wabadhilifu wa mali za umma

4. Vibaraka wa mataifa ya kinyonyaji

5. Wazembe kazini na wapiga deal

Haya ni baadhi ya makundi yanayopambana kila uchwao kuhakikisha Rais Magufuli hafanikiwi. Nyuma yao wapo CHADEMA ambao wamekuwa wahanga wa Utawala wa Rais Magufuli kutokana na kuwanyima ajenda kwenye majukwaa ya siasa.

Lazima tuheshimiane tu. hakuna jinsi
Wanashinda mitandaoni kueneza habari za uongo badala ya kutafuta kazi za kufanya,wanahemea juu juu na pumzi zimewaishia.
 
La msingi nchi iwe na amani,wanainchi wapate huduma za jamii bila shida,unafuu wa bei za bidhaa mbalimbali,usafari wa uhakika n.k

Hayo mengine ni ya Viongozi ila sisi wanainchi tukipata Inahitaji yetu ya kila siku huwezi kusikia malalamiko yoyote!!
 
Umetusahau wengine hatuna chama lakini
1.Tunaopenda rais anayefuata katiba.
2.Tunaopenda rais asiyesema ovyo bila breki ya mdomo.
3.Tunaopenda rais asiyejikanganya.
4.Tunaopenda rais asiyelinda mabashite.
5.Tunaopenda rais mwenye hekima katika uongozi.
6.Tunaopenda rais mwenye kuchunguza mambo kabla ya kuteua na kutumbua.
7. Tunaopenda rais anayeelewa mambo ya kimataifa.
8. Tunaopenda rais anayesikiliza watu.
9. Tunaopenda rais anayejua Kiswahili.
10. Tunaopenda rais anayefuata bajeti na taratibu za uongozi.
1. Wasiopenda One Man Show Presidency.
 
Nilikuelewa sana ulivo tiririka lakini baada ya kutaja cdm nikajua tu ndio wale mamluki waliosambazwa mitandaoni na ccm wazee wa buku saba za vifurushi [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kama kuna watu wanatamani Utawala wa Rais Magufuli usifike 2020, basi miongoni mwao ni hawa wafuatano.

1. Wauzaji na watumiaji wa Madawa ya Kulevya

2. Wakwepa kodi na wafanya biashara kijanja ujanja.

3. Wezi, mafisadi na wabadhilifu wa mali za umma

4. Vibaraka wa mataifa ya kinyonyaji

5. Wazembe kazini na wapiga deal

Haya ni baadhi ya makundi yanayopambana kila uchwao kuhakikisha Rais Magufuli hafanikiwi. Nyuma yao wapo CHADEMA ambao wamekuwa wahanga wa Utawala wa Rais Magufuli kutokana na kuwanyima ajenda kwenye majukwaa ya siasa.

Lazima tuheshimiane tu. hakuna jinsi
6. Wamiliki wa malori na mabasi hasa yanayofanya safari za DSM - MZA.
 
Magufuli ni kiboko ya wapiga dili, anaipeleka nchi kwenye mstari. Ndani ya mwaka wake mmoja nchi imenyooka, maendeleo kila kona mpaka treni za umeme.

Watanzania tuliomba Mungu atuletee mkombozi, mwenyezi Mungu akatuletea Magufuli.
Nyoooo utakuwa umepewa ubunge wa viti maalum
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kama kuna watu wanatamani Utawala wa Rais Magufuli usifike 2020, basi miongoni mwao ni hawa wafuatano.

1. Wauzaji na watumiaji wa Madawa ya Kulevya

2. Wakwepa kodi na wafanya biashara kijanja ujanja.

3. Wezi, mafisadi na wabadhilifu wa mali za umma

4. Vibaraka wa mataifa ya kinyonyaji

5. Wazembe kazini na wapiga deal

Haya ni baadhi ya makundi yanayopambana kila uchwao kuhakikisha Rais Magufuli hafanikiwi. Nyuma yao wapo CHADEMA ambao wamekuwa wahanga wa Utawala wa Rais Magufuli kutokana na kuwanyima ajenda kwenye majukwaa ya siasa.

Lazima tuheshimiane tu. hakuna jinsi
Kweli kabisa, Chadema ndio wahanga wakubwa wa awamu hii mpaka 2025 watabaki Historia
 
Mtaongea ongea sana, lakini ukweli mnaujua. Moto unamwakia kila mmoja. Mlidanganywa na marehemu Komba kwa ule wimbo wa "Wataisoma namba" na nyie mkadanganyika kwamba waliokusudiwa kuisoma namba ni UKAWA. Sasa leo nenda kaulize bei ya unga wa sembe dukani tuone kama wewe utauziwa bei ya zamani ya sh 1,000 -1,200 kwa kilo!
 
Back
Top Bottom