Ras simba tuhurumie

Ras simba tuhurumie

Hahahahaha, kwan hamkujua kua hyo n commercial language? Kwan anauwezo wa kumuwekea mtu akili mpya?
 
Najua kwa vyovyote una wadau humu kwahiyo watakupa taarifa ama la Pengine hata wewe mwenyewe ni member hapa
Ni wazi kwamba biashara ni matangazo na kwa sehemu kubwa ya matangazo yetu yamejaa uongo usio na uhalisia TUNAVUMILIA...!!!!! lakini uongo wako pls umepita viwango vya kawaida vya kudanganya
Una matangazo kwenye radio za kidini kila asubuhi kwamba kozi yako ya kufundisha kiingereza kwa mfumo wa kipekee inayochukua miezi mitatu ni shilingi laki tano za kitanzania na kama mwanafunzi atakayeshindwa kuongea kiingereza kwa kipindi hicho utamrudishia ada yake yote...!!! Ni ubunifu na ni tangazo zuri lililoteka wengi japo halina uhalisia hata chembe...!!!! Kufaulu ama kufeli kwa mwanafunzi kuna mengi ndani yake

Kero yangu hii hapa
Kama ada ni laki tano lakini katika tangazo lako unasema atakayelipa leo atalipa laki mbili mbili tu!!!! Uhalisia uko wapi hapo? Hiyo ni discount gani isiyoleta mfanano? Tangazo kila siku ni hilo hilo mpaka sasa watu wanajua fika kwamba kusoma lugha ya kiingereza kwako si laki 5 bali ni laki 2...
Sitaki kujadili wafaulu wako kwakuwa ni janga la kipekee lakini pls punguza skonyo kwenye matangazo yako
Atakuja kuangukia pua kama yule Dr.....flani...feki....ww subiri uone
 
Najua kwa vyovyote una wadau humu kwahiyo watakupa taarifa ama la Pengine hata wewe mwenyewe ni member hapa
Ni wazi kwamba biashara ni matangazo na kwa sehemu kubwa ya matangazo yetu yamejaa uongo usio na uhalisia TUNAVUMILIA...!!!!! lakini uongo wako pls umepita viwango vya kawaida vya kudanganya
Una matangazo kwenye radio za kidini kila asubuhi kwamba kozi yako ya kufundisha kiingereza kwa mfumo wa kipekee inayochukua miezi mitatu ni shilingi laki tano za kitanzania na kama mwanafunzi atakayeshindwa kuongea kiingereza kwa kipindi hicho utamrudishia ada yake yote...!!! Ni ubunifu na ni tangazo zuri lililoteka wengi japo halina uhalisia hata chembe...!!!! Kufaulu ama kufeli kwa mwanafunzi kuna mengi ndani yake

Kero yangu hii hapa
Kama ada ni laki tano lakini katika tangazo lako unasema atakayelipa leo atalipa laki mbili mbili tu!!!! Uhalisia uko wapi hapo? Hiyo ni discount gani isiyoleta mfanano? Tangazo kila siku ni hilo hilo mpaka sasa watu wanajua fika kwamba kusoma lugha ya kiingereza kwako si laki 5 bali ni laki 2...
Sitaki kujadili wafaulu wako kwakuwa ni janga la kipekee lakini pls punguza skonyo kwenye matangazo yako
mwambie mzee aende akapigwe brash
 
Wengi wanaotoa matangazo na vipeperushi vya kujiunga na Freemason ni ...wachaga..aka.. matapeli, jamaa mmoja kauza bodaboda yake kwa 600,000 akawatumia ili ajiunge, baada ya kupokea hizo hela...simu yao haipatikani teeeeena. Jamaa anatembelea ndala zenye ranging tofauti. Watz wazijua fursa, wako tayari kusajiri simu zao kwa jina la shetani--ibirisi mradi wawaibie wajinga.

Kama we ni maskini na unadhani umaskini ulionao haukutoshi, jiunge Freemason.

Mithali 28:19 "Alimae shamba lake atapata chakula tele, Bali afuate mambo ya upuuzi atapata umaskini wa kumtosha"
Uko sahihi ndugu lkn kusema wachaga co sahihi.. njaa au usanii hauna kabila
 
Hizi redio za kidini zimeongezeka na matangazo ya wapiga dili woote ndio wanapitishia huko hasa wale wa SANITARIUM CLINIC na ka compyuta chao cha magumashi eti kanaangalia magojwa yote mwili mzima.
 
Najua kwa vyovyote una wadau humu kwahiyo watakupa taarifa ama la Pengine hata wewe mwenyewe ni member hapa
Ni wazi kwamba biashara ni matangazo na kwa sehemu kubwa ya matangazo yetu yamejaa uongo usio na uhalisia TUNAVUMILIA...!!!!! lakini uongo wako pls umepita viwango vya kawaida vya kudanganya
Una matangazo kwenye radio za kidini kila asubuhi kwamba kozi yako ya kufundisha kiingereza kwa mfumo wa kipekee inayochukua miezi mitatu ni shilingi laki tano za kitanzania na kama mwanafunzi atakayeshindwa kuongea kiingereza kwa kipindi hicho utamrudishia ada yake yote...!!! Ni ubunifu na ni tangazo zuri lililoteka wengi japo halina uhalisia hata chembe...!!!! Kufaulu ama kufeli kwa mwanafunzi kuna mengi ndani yake

Kero yangu hii hapa
Kama ada ni laki tano lakini katika tangazo lako unasema atakayelipa leo atalipa laki mbili mbili tu!!!! Uhalisia uko wapi hapo? Hiyo ni discount gani isiyoleta mfanano? Tangazo kila siku ni hilo hilo mpaka sasa watu wanajua fika kwamba kusoma lugha ya kiingereza kwako si laki 5 bali ni laki 2...
Sitaki kujadili wafaulu wako kwakuwa ni janga la kipekee lakini pls punguza skonyo kwenye matangazo yako
Muongo wa kupindukia huyo jamaa.
 
Najua kwa vyovyote una wadau humu kwahiyo watakupa taarifa ama la Pengine hata wewe mwenyewe ni member hapa
Ni wazi kwamba biashara ni matangazo na kwa sehemu kubwa ya matangazo yetu yamejaa uongo usio na uhalisia TUNAVUMILIA...!!!!! lakini uongo wako pls umepita viwango vya kawaida vya kudanganya
Una matangazo kwenye radio za kidini kila asubuhi kwamba kozi yako ya kufundisha kiingereza kwa mfumo wa kipekee inayochukua miezi mitatu ni shilingi laki tano za kitanzania na kama mwanafunzi atakayeshindwa kuongea kiingereza kwa kipindi hicho utamrudishia ada yake yote...!!! Ni ubunifu na ni tangazo zuri lililoteka wengi japo halina uhalisia hata chembe...!!!! Kufaulu ama kufeli kwa mwanafunzi kuna mengi ndani yake

Kero yangu hii hapa
Kama ada ni laki tano lakini katika tangazo lako unasema atakayelipa leo atalipa laki mbili mbili tu!!!! Uhalisia uko wapi hapo? Hiyo ni discount gani isiyoleta mfanano? Tangazo kila siku ni hilo hilo mpaka sasa watu wanajua fika kwamba kusoma lugha ya kiingereza kwako si laki 5 bali ni laki 2...
Sitaki kujadili wafaulu wako kwakuwa ni janga la kipekee lakini pls punguza skonyo kwenye matangazo yako
Tanganyika ya wadanganyika.Kweli wajinga ndio waliwao.
 
Kwa kweli jamaa ana matangazo mengi sana. Ila kitu cha kujiuliza ni kwa nini uwa hasikiki redioni au kuonekana live kwenye TV akihojiwa na watangazaji mahiri kwa kiingereza ili watu wapate imani zaidi na uwezo wake wa kuongea kiingereza? Yaani jamaa uwa anaishia tu kupeleka vipeperushi vya matangazo ili vikasomwe kwa kiswahili.
 
Najua kwa vyovyote una wadau humu kwahiyo watakupa taarifa ama la Pengine hata wewe mwenyewe ni member hapa
Ni wazi kwamba biashara ni matangazo na kwa sehemu kubwa ya matangazo yetu yamejaa uongo usio na uhalisia TUNAVUMILIA...!!!!! lakini uongo wako pls umepita viwango vya kawaida vya kudanganya
Una matangazo kwenye radio za kidini kila asubuhi kwamba kozi yako ya kufundisha kiingereza kwa mfumo wa kipekee inayochukua miezi mitatu ni shilingi laki tano za kitanzania na kama mwanafunzi atakayeshindwa kuongea kiingereza kwa kipindi hicho utamrudishia ada yake yote...!!! Ni ubunifu na ni tangazo zuri lililoteka wengi japo halina uhalisia hata chembe...!!!! Kufaulu ama kufeli kwa mwanafunzi kuna mengi ndani yake

Kero yangu hii hapa
Kama ada ni laki tano lakini katika tangazo lako unasema atakayelipa leo atalipa laki mbili mbili tu!!!! Uhalisia uko wapi hapo? Hiyo ni discount gani isiyoleta mfanano? Tangazo kila siku ni hilo hilo mpaka sasa watu wanajua fika kwamba kusoma lugha ya kiingereza kwako si laki 5 bali ni laki 2...
Sitaki kujadili wafaulu wako kwakuwa ni janga la kipekee lakini pls punguza skonyo kwenye matangazo yako
Ambiere Mshana!!!Tusimlalamikie sana Ras Simba tuilalamikie zaidi serikali amabyo vyombo vyake viko kimya wakati wananchi wanadhulumiwa.Ras Simba ana matawi Kilosa,Morogoro,Dumila Turiani na mfundishaji ni yeye.
Pia Mshana angalia upande wa afya kuna watu wanapita na vi laptop wanachunguza afya za watu hata CT scan haifikii,wananchi wanadhulumiwa.Mamlaka za uratibu ziko wapi?
 
Ambiere Mshana!!!Tusimlalamikie sana Ras Simba tuilalamikie zaidi serikali amabyo vyombo vyake viko kimya wakati wananchi wanadhulumiwa.Ras Simba ana matawi Kilosa,Morogoro,Dumila Turiani na mfundishaji ni yeye.
Pia Mshana angalia upande wa afya kuna watu wanapita na vi laptop wanachunguza afya za watu hata CT scan haifikii,wananchi wanadhulumiwa.Mamlaka za uratibu ziko wapi?
Mamlaka zinakula ten percent ndio maana zinavaa miwani myeusi ya mbao
 
Najua kwa vyovyote una wadau humu kwahiyo watakupa taarifa ama la Pengine hata wewe mwenyewe ni member hapa
Ni wazi kwamba biashara ni matangazo na kwa sehemu kubwa ya matangazo yetu yamejaa uongo usio na uhalisia TUNAVUMILIA...!!!!! lakini uongo wako pls umepita viwango vya kawaida vya kudanganya
Una matangazo kwenye radio za kidini kila asubuhi kwamba kozi yako ya kufundisha kiingereza kwa mfumo wa kipekee inayochukua miezi mitatu ni shilingi laki tano za kitanzania na kama mwanafunzi atakayeshindwa kuongea kiingereza kwa kipindi hicho utamrudishia ada yake yote...!!! Ni ubunifu na ni tangazo zuri lililoteka wengi japo halina uhalisia hata chembe...!!!! Kufaulu ama kufeli kwa mwanafunzi kuna mengi ndani yake

Kero yangu hii hapa
Kama ada ni laki tano lakini katika tangazo lako unasema atakayelipa leo atalipa laki mbili mbili tu!!!! Uhalisia uko wapi hapo? Hiyo ni discount gani isiyoleta mfanano? Tangazo kila siku ni hilo hilo mpaka sasa watu wanajua fika kwamba kusoma lugha ya kiingereza kwako si laki 5 bali ni laki 2...
Sitaki kujadili wafaulu wako kwakuwa ni janga la kipekee lakini pls punguza skonyo kwenye matangazo yako
Mimi nimesoma kwa Ras simba Mwaka 2015 ,alinitoa kwenye Giza Nene .Ras simba anafundisha mfumo wa man tu man,anawalimu wengi kila mwanafunzi anakuwa na mwalimu wake kwa kila unit,ukitaka kwenda unit nyingine lazima upass mtiani,walimu wake Wana uvumilivu wa hari ya huu sana wanaweza kukufundisha unit moja hata mara kumi ilimradi mwanafunzi anafauli akuna kupitishana mpaka aelewe,kingine kama mwanafunzi anakichwa ngumu anapewa special class yani kama kalipia Laki 2,anaongeze laki moja anasoma darasa la muda mrefu mpaka miezi 6,
Kwa upande Wangu amenisaidia sana kwa nilipata Kazi ya kufundisha English Chuo cha veta ,nilijaribu kujilinganisha na mwalimu wa English hawanifiki hata kidogo,Pili nilifanikiwa kupata job Japan ,kwa sasa nipo Japan nikirudi bongo lazima nimtafute
 
Back
Top Bottom