Hakuna kitu mama anafanya zaidi kuongeza kero Tu kwa wananchi wanyonge anakopa kopa bila mipango mazubuti nikuongeza mzigo wa deni la taifa kwa wananchi wanyonge Tu.
Kwahilo tusubili Mungu akituletea tena Kiongozi mwenye utimamu wa kizalendo na ukomavu wa kimaamuzi magumu na akili yakinifu kwa maslai maoana ya kitaifa vinginevyo bora ikabaki ardhini Tu maana itakuwa haina tija wala faida kwa wananchi Bali itakuwa na faida kwa vibaraka na mabwana zao huo ni...
Jipu au Nero ni tumeya ajira zinatolewa kwakujuana hasa hasa katika nafasi nzuri nzuri mfano BOT,Airport n.k wanawapa kazi wajomba zao na watoto wao hali kwamba hawana sifa.mfano wadumu ktk ndege wamenenepeana kama vifusi...
Hakuna kitu hapo maana hayo hayapo chini ya RC hakuja sababu ya kimsingi inayo muhusu makonda moja kwa moja zaidi ya ushoga. @Remote
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.