Recent content by Donwise

  1. Donwise

    Kama atafanikiwa kwenye hili basi atakuwa ndio Rais bora katika historia ya Tanzania na huenda akakumbukwa kwa vizazi hata vizazi

    Hakuna kitu mama anafanya zaidi kuongeza kero Tu kwa wananchi wanyonge anakopa kopa bila mipango mazubuti nikuongeza mzigo wa deni la taifa kwa wananchi wanyonge Tu.
  2. Donwise

    Kama atafanikiwa kwenye hili basi atakuwa ndio Rais bora katika historia ya Tanzania na huenda akakumbukwa kwa vizazi hata vizazi

    Kwahilo tusubili Mungu akituletea tena Kiongozi mwenye utimamu wa kizalendo na ukomavu wa kimaamuzi magumu na akili yakinifu kwa maslai maoana ya kitaifa vinginevyo bora ikabaki ardhini Tu maana itakuwa haina tija wala faida kwa wananchi Bali itakuwa na faida kwa vibaraka na mabwana zao huo ni...
  3. Donwise

    Baadhi ya Vijana CHADEMA wamtaka Mbowe kujiuzulu; kesi ya ugaidi inamuondolea sifa ya kuwa kiongozi wa kisiasa

    Kweli kabisa uwezi kujenga kwa jirani kwako kunabomoka huo ni unafki mkubwa..
  4. Donwise

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Jipu au Nero ni tumeya ajira zinatolewa kwakujuana hasa hasa katika nafasi nzuri nzuri mfano BOT,Airport n.k wanawapa kazi wajomba zao na watoto wao hali kwamba hawana sifa.mfano wadumu ktk ndege wamenenepeana kama vifusi...
  5. Donwise

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Kero:Rushwa bado ipo maeeneo mengi mfano;Ajra utolewa kwa kujuana,Rushwa karibu taassi zote za umma na binafsi n.k
  6. Donwise

    CDC yasema huenda Marekani ikawa na mlipuko wa pili wa Coronavirus wakati wa msimu wa baridi (Winter)

    Hatari sana Mungu aturehemu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Donwise

    Zama za hapa kazi tu, ziliwahitaji nani na nani kufanya kazi na Rais John Magufuli

    Safi sans Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Donwise

    Barua yangu ya wazi kwa Mwanafunzi Chuo Kikuu Tanzania

    Daaaa niukweli usiopingika Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Donwise

    Ujasusi wa Kiuchumi unavyombeba Bakhersa Group

    Safi sana Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Donwise

    Sababu za Makonda kuzuiwa kukanyaga Marekani, wapambe msipotoshe

    Hakuna kitu hapo maana hayo hayapo chini ya RC hakuja sababu ya kimsingi inayo muhusu makonda moja kwa moja zaidi ya ushoga. @Remote Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom