Baadhi ya Vijana CHADEMA wamtaka Mbowe kujiuzulu; kesi ya ugaidi inamuondolea sifa ya kuwa kiongozi wa kisiasa

Hivi karibuni tumeshuhudia wimbi kubwa la vijana wa CHADEMA nchini wakitofautiana kabisa na mawazo ya mwenyekiti wao wa Taifa, hii inakuja baada ya vijana hao kuona kuna haja ya Chama hicho kuanza kujitafakari chenyewe kwanza kabla ya kuanzisha vuguvugu la kudai katiba mpya ya nchi nzima. Suala hilo limekuja baada ya kuona mapungufu mengi ndani ya katiba ya CHADEMA ambayo ndiyo inayoongoza chama hicho chenye siasa za uanaharakati nchini...
Eti tiss wanakaa na uvccm kutengeneza propaganda za kitoto hivi
Mmeisha feli
 
Ni jambo la kutia aibu na kushangaza kuona chama chenye wasomi wakubwa kama chadema, kinaongozwa na mtu alieishia darasa la nne. Ndio maana prof Safari na Mabere Marando waliamua wajitoe, kuliko kuendelea kutumiwa kwa masilahi ya mtu aliekimbia shule.
Samia na Majaliwa Wana elimu gani?
 
Hivi karibuni tumeshuhudia wimbi kubwa la vijana wa CHADEMA nchini wakitofautiana kabisa na mawazo ya mwenyekiti wao wa Taifa, hii inakuja baada ya vijana hao kuona kuna haja ya Chama hicho kuanza kujitafakari chenyewe kwanza kabla ya kuanzisha vuguvugu la kudai katiba mpya ya nchi nzima. Suala hilo limekuja baada ya kuona mapungufu mengi ndani ya katiba ya CHADEMA ambayo ndiyo inayoongoza chama hicho chenye siasa za uanaharakati nchini.

"Kama katiba yetu wenyewe ina minya demokrasia kuna haja gani ya kuendelea na mapambano ya kudai katiba mpya ya nchi?, angalia jinsi ambavyo muda wa viongozi wetu usivyokuwa na mpangilio ndani ya katiba yetu wenyewe, lakini angalia kwa Karibu jinsi ambavyo uhuru wa kuhoji unavominywa ndani ya chadema sasa kama ndivyo hivyo kwanini tuendelee kupambana na mahitaji ya katiba mpya wakati kwetu kupo vibaya? Nashauri chama chetu tujitazame upya sisi wenyewe halafu ndipo tuwaambie watanzania kuwa kwasasa tunahitaji kitu kingine "* wamesema vijana hao katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya

Vijana wa chadema kutoka mikoa kadhaa hapa nchini wakiwemo vijana wa vyuo na vyuo vikuu wameanza kutilia mashaka makubwa harakati zinazofanywa na chama chao katika hatua za kudai uundwaji wa katiba mpya hasa yakiwemo malengo mufu yanayopiganiwa na chama hicho likiwemo suala la kutaka kushika hatamu ya nchi badala ya kuomba katiba itakayoweza kuwasaidia watanzania wote ambao kwasasa haoneshi hitaji la katiba nyingine ila wanacho hitaji kwasasa ni kuona uboreshaji mkubwa wa miundombinu wezeshi ya kiuchumi, huduma za afya, uwepo wa maji safi na salama, pamoja na utatuzi wa changamoto mbalimbali za njia za uchukuzi ambazo ndizo zinazochochea ukuaji wa uchumi katika taifa letu.

Hivyo sasa chadema kuanzisha harakati za madai ya katiba mpya bila kuangalia changamoto zinazowakabili wananchi kwasasa wanakiuka haki ya mtanzania ya kupata maendeleo lakini zaidi chadema wanaonesha kutanguliza masilahi yao mbele na kuacha masilahi mapana ya watanzania jambo ambalo vijana wa chama hicho wameona ni kama hujuma fulani zinaendelea ndani ya chama hicho kupitia viongozi wao wa kitaifa.

Kukosa uzalendo kunakooneshwa na mwenyekiti wa CHADEMA taifa na kundi lao umejidhihirisha mapema sana pale alipooanza kupingana na ombi la mh Rais Mama yetu Samia Suluhu Hassan kwa watanzania kuwa anania ya mabadiliko ya katiba mpya lakini kwasasa anaomba ajenge uchumi kwanza kutokana na shambulio kali la UVIKO-19 unaondelea kuyatesa mataifa yote duniani, ombi hilo la mh Rais lilipingwa vikali sana na viongozi waandamizi wa chama hicho jambo ambalo limeibua maswali mengi na mjadala usio na ukomo wa namna ambavyo CHADEMA wamekosa uzalendo kwa Taifa na kuangalia zaidi fedha na misaada wanayopatiwa kutoka kwa wahisani wao huku wakiwa wamesahau kabisa kuwa kuna wananchi wanaumia kwa ukosefu wa huduma za kiuchumi, kijamii na kiafya katika maeneo mengi.

Vijana wa chadema wanamtaka mwenyekiti wao kuachia ngazi mara moja kwasababu amekosa sifa za kuongoza chama hicho chenye mlengo wa kati chenye mfumo wa kiliberari hapa nchini

"Sisi kama vijana tumechoshwa kabisa na matukio yanayoyafanywa na mwenyekiti wetu amekuwa ni mtu wa kesi muda wote, sasa kwa kipindi anakabiliwa na kesi kubwa ya Ugaidi hii ni kesi mbaya sana ambayo ni zaidi ya jinai hivyo tunamuomba ajiuzulu huko huko aliko gerezani ili kukisafisha chama chetu kwa umma wa watanzania" walisema vijana wa chadema katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya

Uzalendo kwa nchi ni jambo la msingi sana ambalo kila mtanzania anapaswa kuwa nalo kwasababu ya kuimarisha mshikamano, ulinzi na usalama wa nchi yetu pastokee mtu awaye yoyote yule anaanza kuangalia masilahi yake mbele na kuacha masilahi ya Taifa hakika huyo hatakuwa mwenzetu na dawa yake ni kumtenga na kumuweka pembeni na shughuli za wananchi, hivyo kwa nia njema kabisa na kulinda masilahi mapana ya watanzania CHADEMA wanapaswa kujitafakari sana kuhusu vipaumbele vya Taifa na wananchi wasiangalie wao kesho watakuwa wapi na kuacha mamilioni ya watanzania wakiteseka kwasababu ya ulafi wao wa madaraka wanapaswa kuwa na heshima kwa watanzania na kwa serikali yao na siyo kuangalia matumbo yao.
Chee4 kweli mda unao(siwezi kusema huna kazi), uzi mrefu kwa maneno ya kubunibuni tu kama kasuku!
 
Hivi karibuni tumeshuhudia wimbi kubwa la vijana wa CHADEMA nchini wakitofautiana kabisa na mawazo ya mwenyekiti wao wa Taifa, hii inakuja baada ya vijana hao kuona kuna haja ya Chama hicho kuanza kujitafakari chenyewe kwanza kabla ya kuanzisha vuguvugu la kudai katiba mpya ya nchi nzima. Suala hilo limekuja baada ya kuona mapungufu mengi ndani ya katiba ya CHADEMA ambayo ndiyo inayoongoza chama hicho chenye siasa za uanaharakati nchini.

"Kama katiba yetu wenyewe ina minya demokrasia kuna haja gani ya kuendelea na mapambano ya kudai katiba mpya ya nchi?, angalia jinsi ambavyo muda wa viongozi wetu usivyokuwa na mpangilio ndani ya katiba yetu wenyewe, lakini angalia kwa Karibu jinsi ambavyo uhuru wa kuhoji unavominywa ndani ya chadema sasa kama ndivyo hivyo kwanini tuendelee kupambana na mahitaji ya katiba mpya wakati kwetu kupo vibaya? Nashauri chama chetu tujitazame upya sisi wenyewe halafu ndipo tuwaambie watanzania kuwa kwasasa tunahitaji kitu kingine "* wamesema vijana hao katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Vijana wa chadema kutoka mikoa kadhaa hapa nchini wakiwemo vijana wa vyuo na vyuo vikuu wameanza kutilia mashaka makubwa harakati zinazofanywa na chama chao katika hatua za kudai uundwaji wa katiba mpya hasa yakiwemo malengo mufu yanayopiganiwa na chama hicho likiwemo suala la kutaka kushika hatamu ya nchi badala ya kuomba katiba itakayoweza kuwasaidia watanzania wote ambao kwasasa haoneshi hitaji la katiba nyingine ila wanacho hitaji kwasasa ni kuona uboreshaji mkubwa wa miundombinu wezeshi ya kiuchumi, huduma za afya, uwepo wa maji safi na salama, pamoja na utatuzi wa changamoto mbalimbali za njia za uchukuzi ambazo ndizo zinazochochea ukuaji wa uchumi katika taifa letu.

Hivyo sasa chadema kuanzisha harakati za madai ya katiba mpya bila kuangalia changamoto zinazowakabili wananchi kwasasa wanakiuka haki ya mtanzania ya kupata maendeleo lakini zaidi chadema wanaonesha kutanguliza masilahi yao mbele na kuacha masilahi mapana ya watanzania jambo ambalo vijana wa chama hicho wameona ni kama hujuma fulani zinaendelea ndani ya chama hicho kupitia viongozi wao wa kitaifa.

Kukosa uzalendo kunakooneshwa na mwenyekiti wa CHADEMA taifa na kundi lao umejidhihirisha mapema sana pale alipooanza kupingana na ombi la mh Rais Mama yetu Samia Suluhu Hassan kwa watanzania kuwa anania ya mabadiliko ya katiba mpya lakini kwasasa anaomba ajenge uchumi kwanza kutokana na shambulio kali la UVIKO-19 unaondelea kuyatesa mataifa yote duniani, ombi hilo la mh Rais lilipingwa vikali sana na viongozi waandamizi wa chama hicho jambo ambalo limeibua maswali mengi na mjadala usio na ukomo wa namna ambavyo CHADEMA wamekosa uzalendo kwa Taifa na kuangalia zaidi fedha na misaada wanayopatiwa kutoka kwa wahisani wao huku wakiwa wamesahau kabisa kuwa kuna wananchi wanaumia kwa ukosefu wa huduma za kiuchumi, kijamii na kiafya katika maeneo mengi.

Vijana wa chadema wanamtaka mwenyekiti wao kuachia ngazi mara moja kwasababu amekosa sifa za kuongoza chama hicho chenye mlengo wa kati chenye mfumo wa kiliberari hapa nchini.

"Sisi kama vijana tumechoshwa kabisa na matukio yanayoyafanywa na mwenyekiti wetu amekuwa ni mtu wa kesi muda wote, sasa kwa kipindi anakabiliwa na kesi kubwa ya Ugaidi hii ni kesi mbaya sana ambayo ni zaidi ya jinai hivyo tunamuomba ajiuzulu huko huko aliko gerezani ili kukisafisha chama chetu kwa umma wa watanzania" walisema vijana wa chadema katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Uzalendo kwa nchi ni jambo la msingi sana ambalo kila mtanzania anapaswa kuwa nalo kwasababu ya kuimarisha mshikamano, ulinzi na usalama wa nchi yetu pastokee mtu awaye yoyote yule anaanza kuangalia masilahi yake mbele na kuacha masilahi ya Taifa hakika huyo hatakuwa mwenzetu na dawa yake ni kumtenga na kumuweka pembeni na shughuli za wananchi, hivyo kwa nia njema kabisa na kulinda masilahi mapana ya watanzania CHADEMA wanapaswa kujitafakari sana kuhusu vipaumbele vya Taifa na wananchi wasiangalie wao kesho watakuwa wapi na kuacha mamilioni ya watanzania wakiteseka kwasababu ya ulafi wao wa madaraka wanapaswa kuwa na heshima kwa watanzania na kwa serikali yao na siyo kuangalia matumbo yao.
Kwahiyo walisubili mpaka apate kesi,ndio watake ajiuzuru?akili za Lumumba na bongo muvi zao,shida sana.
Hii nchi haiendelei maana wanaoongoza kuanzia kwenye kata mpaka Ikulu,ni mazombi watupu,
Dokta Ili kudhibitisha chanjo ni imala,ana kimbia kimbia kama mwanga Ili kuwaonyesha wananchi,
 
Ni jambo la kutia aibu na kushangaza kuona chama chenye wasomi wakubwa kama chadema, kinaongozwa na mtu alieishia darasa la nne. Ndio maana prof Safari na Mabere Marando waliamua wajitoe, kuliko kuendelea kutumiwa kwa masilahi ya mtu aliekimbia shule.
Unatapatapa tu. mmefikia mwisho wa kufikiri hamuwezi hata kubuni vitu vyenye Mantiki,mnatengeneza magenge ya Wahuni mkijifanya eti vijana wa Chadema ,CCM bado Wajinga kabisa.
Tumewajua na hamtudanganyi
 
Hivi karibuni tumeshuhudia wimbi kubwa la vijana wa CHADEMA nchini wakitofautiana kabisa na mawazo ya mwenyekiti wao wa Taifa, hii inakuja baada ya vijana hao kuona kuna haja ya Chama hicho kuanza kujitafakari chenyewe kwanza kabla ya kuanzisha vuguvugu la kudai katiba mpya ya nchi nzima. Suala hilo limekuja baada ya kuona mapungufu mengi ndani ya katiba ya CHADEMA ambayo ndiyo inayoongoza chama hicho chenye siasa za uanaharakati nchini.

"Kama katiba yetu wenyewe ina minya demokrasia kuna haja gani ya kuendelea na mapambano ya kudai katiba mpya ya nchi?, angalia jinsi ambavyo muda wa viongozi wetu usivyokuwa na mpangilio ndani ya katiba yetu wenyewe, lakini angalia kwa Karibu jinsi ambavyo uhuru wa kuhoji unavominywa ndani ya chadema sasa kama ndivyo hivyo kwanini tuendelee kupambana na mahitaji ya katiba mpya wakati kwetu kupo vibaya? Nashauri chama chetu tujitazame upya sisi wenyewe halafu ndipo tuwaambie watanzania kuwa kwasasa tunahitaji kitu kingine "* wamesema vijana hao katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Vijana wa chadema kutoka mikoa kadhaa hapa nchini wakiwemo vijana wa vyuo na vyuo vikuu wameanza kutilia mashaka makubwa harakati zinazofanywa na chama chao katika hatua za kudai uundwaji wa katiba mpya hasa yakiwemo malengo mufu yanayopiganiwa na chama hicho likiwemo suala la kutaka kushika hatamu ya nchi badala ya kuomba katiba itakayoweza kuwasaidia watanzania wote ambao kwasasa haoneshi hitaji la katiba nyingine ila wanacho hitaji kwasasa ni kuona uboreshaji mkubwa wa miundombinu wezeshi ya kiuchumi, huduma za afya, uwepo wa maji safi na salama, pamoja na utatuzi wa changamoto mbalimbali za njia za uchukuzi ambazo ndizo zinazochochea ukuaji wa uchumi katika taifa letu.

Hivyo sasa chadema kuanzisha harakati za madai ya katiba mpya bila kuangalia changamoto zinazowakabili wananchi kwasasa wanakiuka haki ya mtanzania ya kupata maendeleo lakini zaidi chadema wanaonesha kutanguliza masilahi yao mbele na kuacha masilahi mapana ya watanzania jambo ambalo vijana wa chama hicho wameona ni kama hujuma fulani zinaendelea ndani ya chama hicho kupitia viongozi wao wa kitaifa.

Kukosa uzalendo kunakooneshwa na mwenyekiti wa CHADEMA taifa na kundi lao umejidhihirisha mapema sana pale alipooanza kupingana na ombi la mh Rais Mama yetu Samia Suluhu Hassan kwa watanzania kuwa anania ya mabadiliko ya katiba mpya lakini kwasasa anaomba ajenge uchumi kwanza kutokana na shambulio kali la UVIKO-19 unaondelea kuyatesa mataifa yote duniani, ombi hilo la mh Rais lilipingwa vikali sana na viongozi waandamizi wa chama hicho jambo ambalo limeibua maswali mengi na mjadala usio na ukomo wa namna ambavyo CHADEMA wamekosa uzalendo kwa Taifa na kuangalia zaidi fedha na misaada wanayopatiwa kutoka kwa wahisani wao huku wakiwa wamesahau kabisa kuwa kuna wananchi wanaumia kwa ukosefu wa huduma za kiuchumi, kijamii na kiafya katika maeneo mengi.

Vijana wa chadema wanamtaka mwenyekiti wao kuachia ngazi mara moja kwasababu amekosa sifa za kuongoza chama hicho chenye mlengo wa kati chenye mfumo wa kiliberari hapa nchini.

"Sisi kama vijana tumechoshwa kabisa na matukio yanayoyafanywa na mwenyekiti wetu amekuwa ni mtu wa kesi muda wote, sasa kwa kipindi anakabiliwa na kesi kubwa ya Ugaidi hii ni kesi mbaya sana ambayo ni zaidi ya jinai hivyo tunamuomba ajiuzulu huko huko aliko gerezani ili kukisafisha chama chetu kwa umma wa watanzania" walisema vijana wa chadema katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Uzalendo kwa nchi ni jambo la msingi sana ambalo kila mtanzania anapaswa kuwa nalo kwasababu ya kuimarisha mshikamano, ulinzi na usalama wa nchi yetu pastokee mtu awaye yoyote yule anaanza kuangalia masilahi yake mbele na kuacha masilahi ya Taifa hakika huyo hatakuwa mwenzetu na dawa yake ni kumtenga na kumuweka pembeni na shughuli za wananchi, hivyo kwa nia njema kabisa na kulinda masilahi mapana ya watanzania CHADEMA wanapaswa kujitafakari sana kuhusu vipaumbele vya Taifa na wananchi wasiangalie wao kesho watakuwa wapi na kuacha mamilioni ya watanzania wakiteseka kwasababu ya ulafi wao wa madaraka wanapaswa kuwa na heshima kwa watanzania na kwa serikali yao na siyo kuangalia matumbo yao.
Wapumbavu nyie Maccm yahangaika mnajifanya Vijana wa Cdm hata Aibu hamna ila kwa kuwa mmenyonywa UBONGO hatushangai
20210716_160047.jpg
 
Hivi karibuni tumeshuhudia wimbi kubwa la vijana wa CHADEMA nchini wakitofautiana kabisa na mawazo ya mwenyekiti wao wa Taifa, hii inakuja baada ya vijana hao kuona kuna haja ya Chama hicho kuanza kujitafakari chenyewe kwanza kabla ya kuanzisha vuguvugu la kudai katiba mpya ya nchi nzima. Suala hilo limekuja baada ya kuona mapungufu mengi ndani ya katiba ya CHADEMA ambayo ndiyo inayoongoza chama hicho chenye siasa za uanaharakati nchini.

"Kama katiba yetu wenyewe ina minya demokrasia kuna haja gani ya kuendelea na mapambano ya kudai katiba mpya ya nchi?, angalia jinsi ambavyo muda wa viongozi wetu usivyokuwa na mpangilio ndani ya katiba yetu wenyewe, lakini angalia kwa Karibu jinsi ambavyo uhuru wa kuhoji unavominywa ndani ya chadema sasa kama ndivyo hivyo kwanini tuendelee kupambana na mahitaji ya katiba mpya wakati kwetu kupo vibaya? Nashauri chama chetu tujitazame upya sisi wenyewe halafu ndipo tuwaambie watanzania kuwa kwasasa tunahitaji kitu kingine "* wamesema vijana hao katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Vijana wa chadema kutoka mikoa kadhaa hapa nchini wakiwemo vijana wa vyuo na vyuo vikuu wameanza kutilia mashaka makubwa harakati zinazofanywa na chama chao katika hatua za kudai uundwaji wa katiba mpya hasa yakiwemo malengo mufu yanayopiganiwa na chama hicho likiwemo suala la kutaka kushika hatamu ya nchi badala ya kuomba katiba itakayoweza kuwasaidia watanzania wote ambao kwasasa haoneshi hitaji la katiba nyingine ila wanacho hitaji kwasasa ni kuona uboreshaji mkubwa wa miundombinu wezeshi ya kiuchumi, huduma za afya, uwepo wa maji safi na salama, pamoja na utatuzi wa changamoto mbalimbali za njia za uchukuzi ambazo ndizo zinazochochea ukuaji wa uchumi katika taifa letu.

Hivyo sasa chadema kuanzisha harakati za madai ya katiba mpya bila kuangalia changamoto zinazowakabili wananchi kwasasa wanakiuka haki ya mtanzania ya kupata maendeleo lakini zaidi chadema wanaonesha kutanguliza masilahi yao mbele na kuacha masilahi mapana ya watanzania jambo ambalo vijana wa chama hicho wameona ni kama hujuma fulani zinaendelea ndani ya chama hicho kupitia viongozi wao wa kitaifa.

Kukosa uzalendo kunakooneshwa na mwenyekiti wa CHADEMA taifa na kundi lao umejidhihirisha mapema sana pale alipooanza kupingana na ombi la mh Rais Mama yetu Samia Suluhu Hassan kwa watanzania kuwa anania ya mabadiliko ya katiba mpya lakini kwasasa anaomba ajenge uchumi kwanza kutokana na shambulio kali la UVIKO-19 unaondelea kuyatesa mataifa yote duniani, ombi hilo la mh Rais lilipingwa vikali sana na viongozi waandamizi wa chama hicho jambo ambalo limeibua maswali mengi na mjadala usio na ukomo wa namna ambavyo CHADEMA wamekosa uzalendo kwa Taifa na kuangalia zaidi fedha na misaada wanayopatiwa kutoka kwa wahisani wao huku wakiwa wamesahau kabisa kuwa kuna wananchi wanaumia kwa ukosefu wa huduma za kiuchumi, kijamii na kiafya katika maeneo mengi.

Vijana wa chadema wanamtaka mwenyekiti wao kuachia ngazi mara moja kwasababu amekosa sifa za kuongoza chama hicho chenye mlengo wa kati chenye mfumo wa kiliberari hapa nchini.

"Sisi kama vijana tumechoshwa kabisa na matukio yanayoyafanywa na mwenyekiti wetu amekuwa ni mtu wa kesi muda wote, sasa kwa kipindi anakabiliwa na kesi kubwa ya Ugaidi hii ni kesi mbaya sana ambayo ni zaidi ya jinai hivyo tunamuomba ajiuzulu huko huko aliko gerezani ili kukisafisha chama chetu kwa umma wa watanzania" walisema vijana wa chadema katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Uzalendo kwa nchi ni jambo la msingi sana ambalo kila mtanzania anapaswa kuwa nalo kwasababu ya kuimarisha mshikamano, ulinzi na usalama wa nchi yetu pastokee mtu awaye yoyote yule anaanza kuangalia masilahi yake mbele na kuacha masilahi ya Taifa hakika huyo hatakuwa mwenzetu na dawa yake ni kumtenga na kumuweka pembeni na shughuli za wananchi, hivyo kwa nia njema kabisa na kulinda masilahi mapana ya watanzania CHADEMA wanapaswa kujitafakari sana kuhusu vipaumbele vya Taifa na wananchi wasiangalie wao kesho watakuwa wapi na kuacha mamilioni ya watanzania wakiteseka kwasababu ya ulafi wao wa madaraka wanapaswa kuwa na heshima kwa watanzania na kwa serikali yao na siyo kuangalia matumbo yao.
Hao siyo Chadema ni machoko wa uvccm
 
Hivi karibuni tumeshuhudia wimbi kubwa la vijana wa CHADEMA nchini wakitofautiana kabisa na mawazo ya mwenyekiti wao wa Taifa, hii inakuja baada ya vijana hao kuona kuna haja ya Chama hicho kuanza kujitafakari chenyewe kwanza kabla ya kuanzisha vuguvugu la kudai katiba mpya ya nchi nzima. Suala hilo limekuja baada ya kuona mapungufu mengi ndani ya katiba ya CHADEMA ambayo ndiyo inayoongoza chama hicho chenye siasa za uanaharakati nchini.

"Kama katiba yetu wenyewe ina minya demokrasia kuna haja gani ya kuendelea na mapambano ya kudai katiba mpya ya nchi?, angalia jinsi ambavyo muda wa viongozi wetu usivyokuwa na mpangilio ndani ya katiba yetu wenyewe, lakini angalia kwa Karibu jinsi ambavyo uhuru wa kuhoji unavominywa ndani ya chadema sasa kama ndivyo hivyo kwanini tuendelee kupambana na mahitaji ya katiba mpya wakati kwetu kupo vibaya? Nashauri chama chetu tujitazame upya sisi wenyewe halafu ndipo tuwaambie watanzania kuwa kwasasa tunahitaji kitu kingine "* wamesema vijana hao katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Vijana wa chadema kutoka mikoa kadhaa hapa nchini wakiwemo vijana wa vyuo na vyuo vikuu wameanza kutilia mashaka makubwa harakati zinazofanywa na chama chao katika hatua za kudai uundwaji wa katiba mpya hasa yakiwemo malengo mufu yanayopiganiwa na chama hicho likiwemo suala la kutaka kushika hatamu ya nchi badala ya kuomba katiba itakayoweza kuwasaidia watanzania wote ambao kwasasa haoneshi hitaji la katiba nyingine ila wanacho hitaji kwasasa ni kuona uboreshaji mkubwa wa miundombinu wezeshi ya kiuchumi, huduma za afya, uwepo wa maji safi na salama, pamoja na utatuzi wa changamoto mbalimbali za njia za uchukuzi ambazo ndizo zinazochochea ukuaji wa uchumi katika taifa letu.

Hivyo sasa chadema kuanzisha harakati za madai ya katiba mpya bila kuangalia changamoto zinazowakabili wananchi kwasasa wanakiuka haki ya mtanzania ya kupata maendeleo lakini zaidi chadema wanaonesha kutanguliza masilahi yao mbele na kuacha masilahi mapana ya watanzania jambo ambalo vijana wa chama hicho wameona ni kama hujuma fulani zinaendelea ndani ya chama hicho kupitia viongozi wao wa kitaifa.

Kukosa uzalendo kunakooneshwa na mwenyekiti wa CHADEMA taifa na kundi lao umejidhihirisha mapema sana pale alipooanza kupingana na ombi la mh Rais Mama yetu Samia Suluhu Hassan kwa watanzania kuwa anania ya mabadiliko ya katiba mpya lakini kwasasa anaomba ajenge uchumi kwanza kutokana na shambulio kali la UVIKO-19 unaondelea kuyatesa mataifa yote duniani, ombi hilo la mh Rais lilipingwa vikali sana na viongozi waandamizi wa chama hicho jambo ambalo limeibua maswali mengi na mjadala usio na ukomo wa namna ambavyo CHADEMA wamekosa uzalendo kwa Taifa na kuangalia zaidi fedha na misaada wanayopatiwa kutoka kwa wahisani wao huku wakiwa wamesahau kabisa kuwa kuna wananchi wanaumia kwa ukosefu wa huduma za kiuchumi, kijamii na kiafya katika maeneo mengi.

Vijana wa chadema wanamtaka mwenyekiti wao kuachia ngazi mara moja kwasababu amekosa sifa za kuongoza chama hicho chenye mlengo wa kati chenye mfumo wa kiliberari hapa nchini.

"Sisi kama vijana tumechoshwa kabisa na matukio yanayoyafanywa na mwenyekiti wetu amekuwa ni mtu wa kesi muda wote, sasa kwa kipindi anakabiliwa na kesi kubwa ya Ugaidi hii ni kesi mbaya sana ambayo ni zaidi ya jinai hivyo tunamuomba ajiuzulu huko huko aliko gerezani ili kukisafisha chama chetu kwa umma wa watanzania" walisema vijana wa chadema katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Uzalendo kwa nchi ni jambo la msingi sana ambalo kila mtanzania anapaswa kuwa nalo kwasababu ya kuimarisha mshikamano, ulinzi na usalama wa nchi yetu pastokee mtu awaye yoyote yule anaanza kuangalia masilahi yake mbele na kuacha masilahi ya Taifa hakika huyo hatakuwa mwenzetu na dawa yake ni kumtenga na kumuweka pembeni na shughuli za wananchi, hivyo kwa nia njema kabisa na kulinda masilahi mapana ya watanzania CHADEMA wanapaswa kujitafakari sana kuhusu vipaumbele vya Taifa na wananchi wasiangalie wao kesho watakuwa wapi na kuacha mamilioni ya watanzania wakiteseka kwasababu ya ulafi wao wa madaraka wanapaswa kuwa na heshima kwa watanzania na kwa serikali yao na siyo kuangalia matumbo yao.
Ukishaona andiko refu hivi ujue ni upupu mtupu
 
Hivi karibuni tumeshuhudia wimbi kubwa la vijana wa CHADEMA nchini wakitofautiana kabisa na mawazo ya mwenyekiti wao wa Taifa, hii inakuja baada ya vijana hao kuona kuna haja ya Chama hicho kuanza kujitafakari chenyewe kwanza kabla ya kuanzisha vuguvugu la kudai katiba mpya ya nchi nzima. Suala hilo limekuja baada ya kuona mapungufu mengi ndani ya katiba ya CHADEMA ambayo ndiyo inayoongoza chama hicho chenye siasa za uanaharakati nchini.

"Kama katiba yetu wenyewe ina minya demokrasia kuna haja gani ya kuendelea na mapambano ya kudai katiba mpya ya nchi?, angalia jinsi ambavyo muda wa viongozi wetu usivyokuwa na mpangilio ndani ya katiba yetu wenyewe, lakini angalia kwa Karibu jinsi ambavyo uhuru wa kuhoji unavominywa ndani ya chadema sasa kama ndivyo hivyo kwanini tuendelee kupambana na mahitaji ya katiba mpya wakati kwetu kupo vibaya? Nashauri chama chetu tujitazame upya sisi wenyewe halafu ndipo tuwaambie watanzania kuwa kwasasa tunahitaji kitu kingine "* wamesema vijana hao katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Vijana wa chadema kutoka mikoa kadhaa hapa nchini wakiwemo vijana wa vyuo na vyuo vikuu wameanza kutilia mashaka makubwa harakati zinazofanywa na chama chao katika hatua za kudai uundwaji wa katiba mpya hasa yakiwemo malengo mufu yanayopiganiwa na chama hicho likiwemo suala la kutaka kushika hatamu ya nchi badala ya kuomba katiba itakayoweza kuwasaidia watanzania wote ambao kwasasa haoneshi hitaji la katiba nyingine ila wanacho hitaji kwasasa ni kuona uboreshaji mkubwa wa miundombinu wezeshi ya kiuchumi, huduma za afya, uwepo wa maji safi na salama, pamoja na utatuzi wa changamoto mbalimbali za njia za uchukuzi ambazo ndizo zinazochochea ukuaji wa uchumi katika taifa letu.

Hivyo sasa chadema kuanzisha harakati za madai ya katiba mpya bila kuangalia changamoto zinazowakabili wananchi kwasasa wanakiuka haki ya mtanzania ya kupata maendeleo lakini zaidi chadema wanaonesha kutanguliza masilahi yao mbele na kuacha masilahi mapana ya watanzania jambo ambalo vijana wa chama hicho wameona ni kama hujuma fulani zinaendelea ndani ya chama hicho kupitia viongozi wao wa kitaifa.

Kukosa uzalendo kunakooneshwa na mwenyekiti wa CHADEMA taifa na kundi lao umejidhihirisha mapema sana pale alipooanza kupingana na ombi la mh Rais Mama yetu Samia Suluhu Hassan kwa watanzania kuwa anania ya mabadiliko ya katiba mpya lakini kwasasa anaomba ajenge uchumi kwanza kutokana na shambulio kali la UVIKO-19 unaondelea kuyatesa mataifa yote duniani, ombi hilo la mh Rais lilipingwa vikali sana na viongozi waandamizi wa chama hicho jambo ambalo limeibua maswali mengi na mjadala usio na ukomo wa namna ambavyo CHADEMA wamekosa uzalendo kwa Taifa na kuangalia zaidi fedha na misaada wanayopatiwa kutoka kwa wahisani wao huku wakiwa wamesahau kabisa kuwa kuna wananchi wanaumia kwa ukosefu wa huduma za kiuchumi, kijamii na kiafya katika maeneo mengi.

Vijana wa chadema wanamtaka mwenyekiti wao kuachia ngazi mara moja kwasababu amekosa sifa za kuongoza chama hicho chenye mlengo wa kati chenye mfumo wa kiliberari hapa nchini.

"Sisi kama vijana tumechoshwa kabisa na matukio yanayoyafanywa na mwenyekiti wetu amekuwa ni mtu wa kesi muda wote, sasa kwa kipindi anakabiliwa na kesi kubwa ya Ugaidi hii ni kesi mbaya sana ambayo ni zaidi ya jinai hivyo tunamuomba ajiuzulu huko huko aliko gerezani ili kukisafisha chama chetu kwa umma wa watanzania" walisema vijana wa chadema katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Uzalendo kwa nchi ni jambo la msingi sana ambalo kila mtanzania anapaswa kuwa nalo kwasababu ya kuimarisha mshikamano, ulinzi na usalama wa nchi yetu pastokee mtu awaye yoyote yule anaanza kuangalia masilahi yake mbele na kuacha masilahi ya Taifa hakika huyo hatakuwa mwenzetu na dawa yake ni kumtenga na kumuweka pembeni na shughuli za wananchi, hivyo kwa nia njema kabisa na kulinda masilahi mapana ya watanzania CHADEMA wanapaswa kujitafakari sana kuhusu vipaumbele vya Taifa na wananchi wasiangalie wao kesho watakuwa wapi na kuacha mamilioni ya watanzania wakiteseka kwasababu ya ulafi wao wa madaraka wanapaswa kuwa na heshima kwa watanzania na kwa serikali yao na siyo kuangalia matumbo yao.
Chadema ni imani fala wewe
 
Hivi karibuni tumeshuhudia wimbi kubwa la vijana wa CHADEMA nchini wakitofautiana kabisa na mawazo ya mwenyekiti wao wa Taifa, hii inakuja baada ya vijana hao kuona kuna haja ya Chama hicho kuanza kujitafakari chenyewe kwanza kabla ya kuanzisha vuguvugu la kudai katiba mpya ya nchi nzima. Suala hilo limekuja baada ya kuona mapungufu mengi ndani ya katiba ya CHADEMA ambayo ndiyo inayoongoza chama hicho chenye siasa za uanaharakati nchini.

"Kama katiba yetu wenyewe ina minya demokrasia kuna haja gani ya kuendelea na mapambano ya kudai katiba mpya ya nchi?, angalia jinsi ambavyo muda wa viongozi wetu usivyokuwa na mpangilio ndani ya katiba yetu wenyewe, lakini angalia kwa Karibu jinsi ambavyo uhuru wa kuhoji unavominywa ndani ya chadema sasa kama ndivyo hivyo kwanini tuendelee kupambana na mahitaji ya katiba mpya wakati kwetu kupo vibaya? Nashauri chama chetu tujitazame upya sisi wenyewe halafu ndipo tuwaambie watanzania kuwa kwasasa tunahitaji kitu kingine "* wamesema vijana hao katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Vijana wa chadema kutoka mikoa kadhaa hapa nchini wakiwemo vijana wa vyuo na vyuo vikuu wameanza kutilia mashaka makubwa harakati zinazofanywa na chama chao katika hatua za kudai uundwaji wa katiba mpya hasa yakiwemo malengo mufu yanayopiganiwa na chama hicho likiwemo suala la kutaka kushika hatamu ya nchi badala ya kuomba katiba itakayoweza kuwasaidia watanzania wote ambao kwasasa haoneshi hitaji la katiba nyingine ila wanacho hitaji kwasasa ni kuona uboreshaji mkubwa wa miundombinu wezeshi ya kiuchumi, huduma za afya, uwepo wa maji safi na salama, pamoja na utatuzi wa changamoto mbalimbali za njia za uchukuzi ambazo ndizo zinazochochea ukuaji wa uchumi katika taifa letu.

Hivyo sasa chadema kuanzisha harakati za madai ya katiba mpya bila kuangalia changamoto zinazowakabili wananchi kwasasa wanakiuka haki ya mtanzania ya kupata maendeleo lakini zaidi chadema wanaonesha kutanguliza masilahi yao mbele na kuacha masilahi mapana ya watanzania jambo ambalo vijana wa chama hicho wameona ni kama hujuma fulani zinaendelea ndani ya chama hicho kupitia viongozi wao wa kitaifa.

Kukosa uzalendo kunakooneshwa na mwenyekiti wa CHADEMA taifa na kundi lao umejidhihirisha mapema sana pale alipooanza kupingana na ombi la mh Rais Mama yetu Samia Suluhu Hassan kwa watanzania kuwa anania ya mabadiliko ya katiba mpya lakini kwasasa anaomba ajenge uchumi kwanza kutokana na shambulio kali la UVIKO-19 unaondelea kuyatesa mataifa yote duniani, ombi hilo la mh Rais lilipingwa vikali sana na viongozi waandamizi wa chama hicho jambo ambalo limeibua maswali mengi na mjadala usio na ukomo wa namna ambavyo CHADEMA wamekosa uzalendo kwa Taifa na kuangalia zaidi fedha na misaada wanayopatiwa kutoka kwa wahisani wao huku wakiwa wamesahau kabisa kuwa kuna wananchi wanaumia kwa ukosefu wa huduma za kiuchumi, kijamii na kiafya katika maeneo mengi.

Vijana wa chadema wanamtaka mwenyekiti wao kuachia ngazi mara moja kwasababu amekosa sifa za kuongoza chama hicho chenye mlengo wa kati chenye mfumo wa kiliberari hapa nchini.

"Sisi kama vijana tumechoshwa kabisa na matukio yanayoyafanywa na mwenyekiti wetu amekuwa ni mtu wa kesi muda wote, sasa kwa kipindi anakabiliwa na kesi kubwa ya Ugaidi hii ni kesi mbaya sana ambayo ni zaidi ya jinai hivyo tunamuomba ajiuzulu huko huko aliko gerezani ili kukisafisha chama chetu kwa umma wa watanzania" walisema vijana wa chadema katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Uzalendo kwa nchi ni jambo la msingi sana ambalo kila mtanzania anapaswa kuwa nalo kwasababu ya kuimarisha mshikamano, ulinzi na usalama wa nchi yetu pastokee mtu awaye yoyote yule anaanza kuangalia masilahi yake mbele na kuacha masilahi ya Taifa hakika huyo hatakuwa mwenzetu na dawa yake ni kumtenga na kumuweka pembeni na shughuli za wananchi, hivyo kwa nia njema kabisa na kulinda masilahi mapana ya watanzania CHADEMA wanapaswa kujitafakari sana kuhusu vipaumbele vya Taifa na wananchi wasiangalie wao kesho watakuwa wapi na kuacha mamilioni ya watanzania wakiteseka kwasababu ya ulafi wao wa madaraka wanapaswa kuwa na heshima kwa watanzania na kwa serikali yao na siyo kuangalia matumbo yao.
This type of reasong is retrogressive!
 
Chadema inaenda kufutika machoni pa wananchi Sasa. ...subir muone. ..a ndio maana hata madada zenu wamewaasi na wanaupiga mwingi Bungeni
 
Chadema inaenda kufutika machoni pa wananchi Sasa. ...subir muone. ..a ndio maana hata madada zenu wamewaasi na wanaupiga mwingi Bungeni
Aliyetaka ifutwe alishafutwa kwenye uso wa dunia sasa hivi anaokwa kama ndafu kudadadeq
 
Back
Top Bottom