Recent content by dondola

  1. D

    JamiiForums Tanzania Je, wapinzani ni wakombozi?

    Ni kweli wanawekewa vikwazo (e.g. HakiElimu), ila kuwekewa kwao vikwazo ni uthibitisho tosha kuwa wao ndio wapinzani wenyewe ambao jamii zetu zinawahitaji sasa. Kama watu wanaweza kupaza sauti kushinikiza serikali kwenye mambo kama ya kulilia ruzuku, kuibiwa kura n.k. Hizo sauti zingetakiwa...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Je, wapinzani ni wakombozi?

    Vyema kabisa! Hawawezi kufanya kitu kwa vile hawajaelimika, na jamii nayo haijaelimika. Na hili ni tatizo la sub-sahara nzima. Kuna watu wanaongelea faida za upinzani kwa kulinganisha na Republican-Democrats au Labour-Conservatives, etc, sio vyema kulinganisha namna hiyo kwani...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Latest: Asha-Rose Migiro the new UN Deputy General Secretary

    Haya mambo ya U.N. ni siasa, wanawapoza mtulie, msheherekee. Wakuu wa Benki za Dunia/IMF siku zote hutoka ama USA ama Ulaya, siku Rais wa benki ya dunia akitoka Afrika ndio tushangilie kwamba tumekumbukwa. Lakini anyway, inaongeza exposure itakayosaidia taifa indirectly in a long run. Hongera...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Lazima tuwekane sawa kuhusu UKIMWI

    Nimeona hii article kwenye ippmedia, ikiongelea Ukimwi na Zanzibari, lakini si vibaya tukaijadili kwa level ya Tanzania kwa ujumla. Ni topiki ya siku nyingi, imeongelewa sana, mengi yamefanyika, lakini haichuji, kwani tatizo halijaisha bado:) - Kwanini katika sub-sahara Africa, Ukimwi ni...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Wambandwa, ni kweli nimeongea lugha nzito mno na iliyo ngumu kueleweka:) Ngoja nifafanue ujumbe ulio nyuma ya lugha hiyo:Hoja inaongelea umasikini wa mtanzania, ila mimi nimeenda mbali hadi kwenye umasikini wa mtu mweusi - Jamii nyingi duniani zinaheshimu sana tamaduni zao licha ya elimu zao...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Mkandara Ni kweli kuwa ukiangalia harakaharaka utasema kuwa umasikini wetu hauna uhusiano wowote na hii hierarchy ya Maslow. Lakini central idea ya Maslow ya 'human needs' ina uhusiano mkubwa na umasikini wetu, na mimi ndio hiyo iliyonivutia, hata kama hoja zake bado ziko criticable, lakini...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

    Hivi mnaendesha malumbano haya ili kundi lipi kati ya waisalam na wakristo lionekane limeshinda. Nyerere kama walivyo watawala wengine duniani kote walikuwa na namna zao kuengua watu wakorofi. Ninachoshauri mimi ni waandishi wa vitabu kutoegemea upande wowote na wachambuzi nao wasionyeshe dini...
  8. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    People are living in poverty if their income and resources (material, cultural and social) are so inadequate as to preclude them from having a standard of living which is regarded as acceptable by general society - VERY TRUE
  9. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Mimi nafikiri umasikini ni kukosa mahitaji uyatakayo. Wewe kama unataka maji na huna maji au unayapata kwa shida (kama wewe unakubali kuwa unapata shida kuyapata) basi una umasikini kwenye nyanja hiyo. Kama unaumwa na umeshindwa kujitibu basi huo pia ni umasikini. Kwa kifupi maendeleo ya dunia...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

    DrWHO, kutokuwa na dini haina maana kuwa huna imani, sitaki kuamini kuwa kuna binadamu wenye akili timamu wasio na imani, kama wapo ni wakuhesabika, kwani saikolojia ya akili ya binadamu inamkwalify moja kwa moja kuwa na imani. Vipi kuhusu kuapisha viongozi, tuache pia? Swala tu la kuimba wimbo...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Elimu

    Kweli kabisa, maoni ya vijana wa shuleni ni maoni halisi,virgin, yanayoeleza what 'should be' kwani bado wanaishi kwenye dreams, hawajawa deformed na existing adult society. Maoni ya watu wazima yanaangalia kwanza reality, hivyo yanajengwa around reality, kwani tayari walishapoteza matumaini...
  12. D

    JamiiForums Tanzania KISWAHILI: Naomba maana ya maneno haya...

    Hebu jisaidie mwenyewe hapa: http://en.wikipedia.org/wiki/Political_spectrum#Left_and_Right
  13. D

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Rais kila mwezi

    http://www.blog.co.tz/semkae/1105/Jakaya+Kikwete+CNBC+interview.html
  14. D

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Utawala bora vs Rushwa

    Mambo haya yanachanganya, hizi rushwa kubwa tunakulaga na akina nani? Huu unafiki utaishaga lini wajameni?
  15. D

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Rais kila mwezi

    Mbona mnaandikia wino na mate yapo? Maintellectuel wenyewe mbona tunao humuhumu foramuni?
Back
Top Bottom