Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 1,211
- 230
Waheshimiwa!
Swala kuu sio kutoa hotuba nzuri au mbaya, bali ni utendaji wa viongozi wetu na waliowazunguka.Mtu mahiri katika uongozi ni yule anayeelewa mapungufu yake na kutumia dhamana aliyopewa kutafuta wasaidizi waliobobea kwenye fani husika(wataalaam elekezi) ambao ni mahiri na makini katika utendaji ili awatumie kuziba hayo mapungufu kwa lengo la kuleta ufanisi.Sasa kama Mheshimiwa Rais ameona anamapungufu katika uandikaji basi alitakiwa atumie maamuzi sahihi katika hilo kwa kutafuta mtaalamu elekezi kwenye fani ya uandishi wa hotuba na huyo ndiye amtumie kwani kwa level yake inawezekana .Sijui wakulaumiwa ni nani kwa hizo hotuba watu wanazoziona hazina hadhi ya cheo chake kwani hata kama hakuziandika yeye lakini ni yeye ndiye aliyewakubali hao waliomuandikia waifanye hiyo kazi na yeye kukubali kwenda kuiwakilisha hadharani kunathibitisha ukubali wake, kwani kila anayeisoma au kuisikia hatasema hotuba ni ya Mwandishi aliyeifanya hiyo kazi, bali ni hotuba ya Rais.
Swala kuu sio kutoa hotuba nzuri au mbaya, bali ni utendaji wa viongozi wetu na waliowazunguka.Mtu mahiri katika uongozi ni yule anayeelewa mapungufu yake na kutumia dhamana aliyopewa kutafuta wasaidizi waliobobea kwenye fani husika(wataalaam elekezi) ambao ni mahiri na makini katika utendaji ili awatumie kuziba hayo mapungufu kwa lengo la kuleta ufanisi.Sasa kama Mheshimiwa Rais ameona anamapungufu katika uandikaji basi alitakiwa atumie maamuzi sahihi katika hilo kwa kutafuta mtaalamu elekezi kwenye fani ya uandishi wa hotuba na huyo ndiye amtumie kwani kwa level yake inawezekana .Sijui wakulaumiwa ni nani kwa hizo hotuba watu wanazoziona hazina hadhi ya cheo chake kwani hata kama hakuziandika yeye lakini ni yeye ndiye aliyewakubali hao waliomuandikia waifanye hiyo kazi na yeye kukubali kwenda kuiwakilisha hadharani kunathibitisha ukubali wake, kwani kila anayeisoma au kuisikia hatasema hotuba ni ya Mwandishi aliyeifanya hiyo kazi, bali ni hotuba ya Rais.