Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Si kama atakubali kusoma hizo hotuba anazoandikiwa! yeye anataka kuonekana kipanga kwa kutoa hotuba bila kusoma, matokeo yake ndiyo hayo uliyoyasema Jafar!
Salamu wanaforum mimi ninaomba kujua na mnieleweshe nimengalia na kusikiliza mahojinano ya JK ''CNBC TV'' kwa muda wa dakika sita, mwenye
hiyo VIDEO aiweke hewani basi tuirudie ,katika soko la hisa la NASDAQ STOCK EXCHANGE nchini marekani ''USA'' watanzania wengi waliyoiona
walisema mmmmhhhhhhh sikujua kama aliongea vizuri au aliharibu msaada kwangu jamani
''JK USHAURI'' Fazila ZINATOSHA MWAKA UMEISHA NA WANAZIDI KUKUARIBIA ni naona unazidi kuwateuwa na kuwahamisha kila siku