Recent content by djblack

  1. djblack

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Ndio kaka sir god akibariki tutakutana huko.
  2. djblack

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Dar es salaam mkuu
  3. djblack

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Ee Daaahhhh kwa wale wenye whatsapp kazi kwenu wengne nokia za tochi net kwa ussd
  4. djblack

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Nawaza safari ya songea sipati jibu aisee mlale 842 kj
  5. djblack

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Ila hili doso la mwaka huu kazi hipo kiukweli ni kumtanguliza mungu mbele.
  6. djblack

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Wazi op magufuli mpo powa?
  7. djblack

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    842 KJ MLALE SONGEA NAKUJA HUKO NINAIMAN MUNGU ATASAIDIA.
  8. djblack

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    KWA WALE WA DAR ES SALAAM MCHAKATO UNAENDELEA SIKU YA JUMATATU NDIO SIKU YA KUJUA MBIVU NA MBICHI KWAN NDIO SIKU AMBAYO IMETOLEWA TAARIFA KUWA MAAFISA WA JESHI KUTOKA MAKAO MAKUU WATAWASILI WAKIWA NA MADAKTARI PALE WILAYANI. MUNGU WASAIDIE VIJANA WAKO NA WAONGOZE
  9. djblack

    Tigo-Mnawachanganya watania na huu ujumbe wenu ikiwa tcra wameshatoa muongozo juu ya simu feki

    Kama kichwa kinavysema kuna ujumbe unatumwa kutika tigo ulio kibiashara zaidi NANUKUU Karibu Simu Expo tukupe simu Orijino BURE! Ni tar 11-12 June Viwanja vya Posta kuanzia saa 3 asubuhi hadi 12 jioni. Tigo Live It Love It Ujumbe huu unampa mashaka yule anayetumia hiyo simu kwa kuwa unaweza...
  10. djblack

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Ndio ila hakuna anajua ila kwa uwelewq wangu mpaka mda huo watu watakuwa wameshaondoka makambini
  11. djblack

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Mpaka mdaa huu dar bado mambo magumu hakuna mwenye ahueni kila mtu tumbo joto watu wameambiwa warudi kitaka wilaya zao hivyo leo unasikia hili kesho unapewa lingne.
  12. djblack

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Mpaka sasa dar kila mtu Tafsiri yake ni kwamba uwepo wa reserve kupita ni pale wale wa mwanzo watakapokuwa hajavifi kwenye vipimo vya mwisho ya ngazi ya mkoa
  13. djblack

    Live updates :Taifa Stars vs Misri leo tar 04:06:2016

    Beki namba tatu haji mwinyi ni jipu
  14. djblack

    Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

    Daaaah BC saw mm jina langu lina djblack lilitokana Nilipokuwa naishi kuna rafiki yangu alifungua library halafu katika maswala ya mziki aliweka subfa moja matata sana so huwa nikiwa kwenye machine napiga radha mbalimbali mpaka watu wakawa wanakuja maeneo hayo kusikiriza miziki tofautix2...
  15. djblack

    Yu wapi Waziri Mwigulu Lameck Nchemba Madelu?

    Sikaenda vetnam
Back
Top Bottom