Nimesoma gazeti moja inasemekana majeruhi walikuwa 12 kwenye hiyo battle,kati ya hao kuna Police,Wanajeshi na Raia.Wote waliruhusiwa kutoka hospital kasoro wanajeshi wawili waliojeruhiwa vibaya kwa risasi
wakenya hawana lolote,wabongo ndo maana hatuendelei coz tunapenda sana kuponda vyetu na kusifia vya wenzetu,mi naangaliaga movie na tamthilia za Kenya na Tanzania kupitia Africa Magic Swahili,wakenya ndo ovyo kabisa bora wabongo
Kwa hawa wa kizaz kipya list yangu hii;
1. Nikki Mbishi
2. Nikki II
3. One
4. Stereo
5. Nash MC
6. Stamina
7. Young Killer
8. P ze MC
9. Songa
10. Godzilla/Izzo B
Hao wote ni malegend katika mziki wa bongo but hoja yako haina ukweli wowote, wasanii wengi tu wanakuja na kupotea usitake kuniambia kwamba wote waliopotea sababu ni Sugu na Jide, hell nooooo...... Jipange tena!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.