Wikipedia page ya EAC imeandikwa kwa manufaa ya KENYA!

Wikipedia page ya EAC imeandikwa kwa manufaa ya KENYA!

Maneno mapya ya kiswahili ya matumizi ya computer wameyatengeneza wao si jui ni kikikuyu , sijui ni kijaluo? mfano ukitaka kuingia kwenye face book kwa kiswakili pas word wanaita NYWILA sijui wamepatia wapi hawa watu

Kiswahili si cha mama ya yeyote hapa. Kimebuniwa kwa kuchanganya maneno kutoka kwa lugha zingine, wakati mnaendelea na uvivu wenu sisi tunakiboresha.
 
Usisahau kusema ziwa victoria sehemu kubwa ipo Tanzania Kenya lipo kiduchu saa ukiweza pia asisahau kuweka ule mgogoro wa kisiwa cha (Migingo 2,000 square metre) baina ya Kenya na Uganda walivyotaka kutoana macho.

Mbona mnamuelekeza asisahau hiki asisahau kile, nyie mbona musiingie na kuweka, wavivu wa kufa mtu.
 
Haya ndo mambo ya kuandika sasa sio kilasiku CCM na UKAWA tu,safi sana mtoa mada
 
Kikulacho ki nguoni mwako........Mtazame jirani yako kwanza! Hawa jamaa wamefaidi mali za Tanzania sana ila sasa Tanzania inaamka! Watakoma!
Tanzania inaamka wapi ilihal katiba yenyewe haieleweki!! acha kujidanganya kwa tanzania hii bado sana kukupambana na watu wa kenya.....
 
Maneno mapya ya kiswahili ya matumizi ya computer wameyatengeneza wao si jui ni kikikuyu , sijui ni kijaluo? mfano ukitaka kuingia kwenye face book kwa kiswakili pas word wanaita NYWILA sijui wamepatia wapi hawa watu

Hata mi hushangaa sana. Eti 'nywila'! Kitakuwa kijaluo hicho!
 
Tanzania inaamka wapi ilihal katiba yenyewe haieleweki!! acha kujidanganya kwa tanzania hii bado sana kukupambana na watu wa kenya.....

Sasa tufanyeje? Tukubali na tuanzie na hiki tulicho nacho huko mbele tutafika tu. 2015 mnajua cha kufanya!
 
Sasa tufanyeje? Tukubali na tuanzie na hiki tulicho nacho huko mbele tutafika tu. 2015 mnajua cha kufanya!

Nimefuatilia sana siasa zenu, tena kwa karibu na tena bado mko mbali sana. Hata hiyo 2015 ni ile ile. Bado Wabongo wapo wapo tu. Hamuwezani na siasa zetu, high level voltage, tumefaulu kubadilisha vyama, tumefaulu kutengeneza katiba...najua hutachelewa kunitajia vita, ukabila, na nyimbo zingine Wabongo hupenda kuimba kuhusu Kenya, ila kumbuka hizo ni recipes tu ambazo zimetufikisha tulipo.
 
Sasa tufanyeje? Tukubali na tuanzie na hiki tulicho nacho huko mbele tutafika tu. 2015 mnajua cha kufanya!

Mkuu kazi nzuri sana hawa wakenya waajabu sana tatizo n kuwa sisi tumelelewa kijamaa yao yamelelewa kibepari yaani kiwiziwiz tu, ila soon tutawatimulia vumbi
 
Usisahau kusema ziwa victoria sehemu kubwa ipo Tanzania Kenya lipo kiduchu saa ukiweza pia asisahau kuweka ule mgogoro wa kisiwa cha (Migingo 2,000 square metre) baina ya Kenya na Uganda walivyotaka kutoana macho.

Eti inaongelea lake Turkana sijui ndio largest utafikiri kuna mtu anaendaga kutalii huko!
 
Nimefuatilia sana siasa zenu, tena kwa karibu na tena bado mko mbali sana. Hata hiyo 2015 ni ile ile. Bado Wabongo wapo wapo tu. Hamuwezani na siasa zetu, high level voltage, tumefaulu kubadilisha vyama, tumefaulu kutengeneza katiba...najua hutachelewa kunitajia vita, ukabila, na nyimbo zingine Wabongo hupenda kuimba kuhusu Kenya, ila kumbuka hizo ni recipes tu ambazo zimetufikisha tulipo.
Mpumbavu sana we! Yaani hizo za Kenya ndio unaita mature politics? Ukabila unalitafuna taifa na unafurahi? Kuchinjana mmeshachinjana na kenya ni rahisi sana kutokea tena. Sitaki kuongelea issue ya kikuyunization hapa. Nimefanya kazi na wajaluo wengi wanawachukia wakikuyu mpaka basi! We maina si mkikuyu ndo maana unaropokwa tu hapa. Kenya is a time bomb waiting to explode!
 
Mpumbavu sana we! Yaani hizo za Kenya ndio unaita mature politics? Ukabila unalitafuna taifa na unafurahi? Kuchinjana mmeshachinjana na kenya ni rahisi sana kutokea tena. Sitaki kuongelea issue ya kikuyunization hapa. Nimefanya kazi na wajaluo wengi wanawachukia wakikuyu mpaka basi! We maina si mkikuyu ndo maana unaropokwa tu hapa. Kenya is a time bomb waiting to explode!

Nilijua hutachelewa na ule wimbo wenu wa ukabila, hamna lingine lipya la kujadili.
 
Back
Top Bottom