Wanajeshi, polisi watwangana risasi

Wanajeshi, polisi watwangana risasi

Inaonesha mapungufu ya uadilifu wa kiaskari - mwanajeshi afanye fujo na kuvunja sheria - je majambazi watafika wapi ?
 
Kwa hiyo polisi asipovaa helmet na wewe huvai!!!!????
Wasipotii sheria wao bila shuruti haiwezi kuwa vurugu hata siku moja.

Wewe ukiwaiga utakamatwa na utawekwa ndani na sheria itakutafuna.unajua kwann??

Wapo kwa ajir ya watu wanaovunja sheria.

Ok!kama wao wameshindwa kuongoza kwa mfano basi!IDUMU KAULI YA PINDA!
 
Mwaka 2008 pale Njiro Arusha polisi waliposhindwa kuwatoa majambazi waliojichimbia kwny nyumba moja ndipo wakaitwa wajeda wakawatifua mpk wakajisalimisha wenyewe!hii nilishuhudia mwenyewe!

Wale wa KNY waliochomeshewa na demu ...jamaa walikuwa wanapiga matukio ya kutosha benki, porisi kujichanganya kuwasaka ile wana wagumia kwenye angle zao kumbe majambazi yalikuwa na siraha nzito sana
kwani majambazi walikuwa "full-mass in order" kwani walikuwa vizuri sana kimapambano (mkono ulipigwa kuanzia mida ya saa nne mpaka mchana) , mziki ulikuwa kwenye ile nyumba ya ghorofa (huku majambazi yakiwa makundi mawili wengine juu wengine chini) na kituo chao FFU kikiwa umbali mfupi tu kama mita 400 , baada ya kukutana na mziki wa mababu ikabidi waje 6 week toka monduli , na wakatanagaza kuwa wanachi tukae umbali wa ziaid ya mita 100 . Ila walivyofika wazee wa TMA walitoa amari moja tu kuwa washuke wajisalimishe lasivyo wana teremusha ghorofa lote kwa pigo moja la RPG. mbona jamaa walishuka mikono juu na polisi wakabaki wamebonga'aaa tu, yaani umenikumbusha mbali sana charii angu.
 
Wale wa KNY waliochomeshewa na demu ...jamaa walikuwa wanapiga matukio ya kutosha benki, porisi kujichanganya kuwasaka ile wana wagumia kwenye angle zao kumbe majambazi yalikuwa na siraha nzito sana
kwani majambazi walikuwa "full-mass in order" kwani walikuwa vizuri sana kimapambano (mkono ulipigwa kuanzia mida ya saa nne mpaka mchana) , mziki ulikuwa kwenye ile nyumba ya ghorofa (huku majambazi yakiwa makundi mawili wengine juu wengine chini) na kituo chao FFU kikiwa umbali mfupi tu kama mita 400 , baada ya kukutana na mziki wa mababu ikabidi waje 6 week toka monduli , na wakatanagaza kuwa wanachi tukae umbali wa ziaid ya mita 100 . Ila walivyofika wazee wa TMA walitoa amari moja tu kuwa washuke wajisalimishe lasivyo wana teremusha ghorofa lote kwa pigo moja la RPG. mbona jamaa walishuka mikono juu na polisi wakabaki wamebonga'aaa tu, yaani umenikumbusha mbali sana charii angu.

Hahahaaaa!waliwastua kidogo na LMG jamaa si wakajibu!!walipockia ghorofa itashushwa na RPG ndo wakagundua kuwa wale sio polisi tena bali ni wazee wa mwituni!wakajisalimisha!Unajua JESHI NDO NGUVU YA MWISHO KATIKA NCHI YOYOTE JESHI LIKISHINDWA MMEKWISHA!
 
Hahahaaaa!waliwastua kidogo na LMG jamaa si wakajibu!!walipockia ghorofa itashushwa na RPG ndo wakagundua kuwa wale sio polisi tena bali ni wazee wa mwituni!wakajisalimisha!Unajua JESHI NDO NGUVU YA MWISHO KATIKA NCHI YOYOTE JESHI LIKISHINDWA MMEKWISHA!
Chezea wajeda wewe wakiisha kuwa kwenye "mission impossible"
, ile ngoma mpaka leo ni gumzo pale Arusha na vitongoji vyake kwani ilikuwa ni kama muvi.
 
Polisi wawaonee chadema tuu! Pal Mipango Dodoma niliwahi shuhudia polisi wa pikipiki wakipigwa vitasa na bunduki yao. Piga vitasa vya kufa mtu.Noma sana tulikaa mbali mno. Wajeda hawafai aisee

Sasa hao wajeda kuna siku watawapiga chadema mtasema bora wale polisi
 
Idara pekee iliyobaki nchini kwetu ambayo haijaoza na rushwa ni Jeshi peke yake. (hasa huku chini) Naomba raisi ajae atumie jeshi walau kidogo tu kurushisha nidhamu, uwajibikaji na uchapa kazi Tanzania!
Kuhusu kuwapiga polisi...

Hivi wewe unakijua unacho kiongea au unashabikia tu, nikuulize swali moja mwanajeshi utampa rushwa katika mazingira yepi, kuna huduma gani ambayo anaitoa kwa mwananchi mmoja mmoja, ambako anaweza kupewa rushwa.swali la pili nitajie nnchi moja hapa duniani amboyo polisi wanapendwa na wananchi wake.
 
una akili wewe?au ndiyo unaleta siasa hadi kwenye huu uzi unajua umuhimu wa jeshi la polisi nchini!?hiv unajua kuwa utulivu ambao tunao ndani ya nchi ni kazi ya polisi?au wewe ni ukawa!?

wew achaa ufalaaa mwenye jukumu la kulinda nchi ni jeshi na sii police. police vibaraka vya ccm au huoni.?
nawa pugweee tuu kama wakuu wao wanavyosemaaa
 
Hivi wewe unakijua unacho kiongea au unashabikia tu, nikuulize swali moja mwanajeshi utampa rushwa katika mazingira yepi, kuna huduma gani ambayo anaitoa kwa mwananchi mmoja mmoja, ambako anaweza kupewa rushwa.swali la pili nitajie nnchi moja hapa duniani amboyo polisi wanapendwa na wananchi wake.

Wanatamani wapewe ila mazingira hayaruhusu,ndio maana siku wakilingana mishahara na police wataandamana maana wanajua wenzao wanapiga hera kama bmk.
 
Nimesoma gazeti moja inasemekana majeruhi walikuwa 12 kwenye hiyo battle,kati ya hao kuna Police,Wanajeshi na Raia.Wote waliruhusiwa kutoka hospital kasoro wanajeshi wawili waliojeruhiwa vibaya kwa risasi
 
Nimesoma gazeti moja inasemekana majeruhi walikuwa 12 kwenye hiyo battle,kati ya hao kuna Police,Wanajeshi na Raia.Wote waliruhusiwa kutoka hospital kasoro wanajeshi wawili waliojeruhiwa vibaya kwa risasi

Duh,so sad wapone haraka.
 
Nasema,wapigwe tu maana wanatuonea sana tukitaka kuandamana
 
....


amazing-nigeria.jpg

Huyu anataka kujenyea au?
teh teh teh du kweli ilikuwa raha
 
Back
Top Bottom