Recent content by dickchiller

  1. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Deep sea slum ndio leo naisikia , ndio yule tony alikua anasema kuna mengi hatujui huko kunyaland
  2. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwa hela zako za kudownload kwenye mitandao? Bwana mapesa una vituko sana . Your comedian
  3. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mtambo wa chang'aa
  4. dickchiller

    Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

    Na maaskofu wa Afrika wanaompinga papa kuhusu mapenzi ya jinsia moja nao watachukuliwa hatua gani?
  5. dickchiller

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    ***** huu utapeli mtupu nishawali lipia kwa jamaa siku akibahatisha anaomba unitumie tena chochote. Anasemaga tutume screenshot . Anachukua won ticket huko analeta kujifanya yeye mwamba hili uvutiwe . Kama unashinda accurate daily kachukue mkopo benki halafu halafu uweke upate mahela mengi
  6. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Halafu eti mnaongoza kulima avocado [emoji1649] kweli? Mnashindwafa ya serious horticulture kwa ajili ya mboga mbona
  7. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Inaonesha demand ya ndege za mizigo ni kubwa sana
  8. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwa hiyo dar yote inapigwa BRT leo wanasaini mikataba including daraja la jangwani Dar baada ya miaka minne miundombinu itakua hatari sana
  9. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nimesikia kwenye speech ya profesa janabi kasema katika east Afrika muhimbili ndio the best . I hope professor janabi is not politician. Anasema kitu cha kweli maana yeye mwenyewe ni bingwa kwenye elimu ya afya
  10. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Duh !!! Mi yaani sportpesa imeanza juzi wakati hilo neno pesa nakua nimelikuta , ebu acheni arrogance ya kikunya. Halafu si mnasema kiswahili hamjui mnataka English tu (tena mnaita kizungu) mnadhani ulaya wote wanajua kiingereza
  11. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kiukweli miaka [emoji817] mingi sana. Sijui wanazingatia nini?
  12. dickchiller

    Waliosoma shule za Ufundi (Technical schools) Tukutane hapa

    Our motto "skills and efficiency" Sent using Jamii Forums mobile app
  13. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Duh!! Kama kweli basi ni tatizo Sent using Jamii Forums mobile app
  14. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Pamoja mimi sio shabiki wa Azam , lakini kuna kipindi walisema kocha Idi cheche anahujumu mpaka kafikuzwa . Sasa kosa la kali ni lipi? Hizi tuhuma bila evidence simu watasema na yusufu afukuzwe Sent using Jamii Forums mobile app
  15. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kuna mwana kawafanyia unyama sana kwenye finishing ya gypsum board, wakunya wamebaki wanamsifia wengine wanaponda kua gypsum sio durable . Lakini wakunya mjue hao mafundi wengi ni vijana tu wenye experience ya kaza wala hawana degree wala certificate za technician ndio maana mnaona wako cheap...
Back
Top Bottom