***** huu utapeli mtupu nishawali lipia kwa jamaa siku akibahatisha anaomba unitumie tena chochote. Anasemaga tutume screenshot . Anachukua won ticket huko analeta kujifanya yeye mwamba hili uvutiwe .
Kama unashinda accurate daily kachukue mkopo benki halafu halafu uweke upate mahela mengi
Nimesikia kwenye speech ya profesa janabi kasema katika east Afrika muhimbili ndio the best . I hope professor janabi is not politician. Anasema kitu cha kweli maana yeye mwenyewe ni bingwa kwenye elimu ya afya
Duh !!! Mi yaani sportpesa imeanza juzi wakati hilo neno pesa nakua nimelikuta , ebu acheni arrogance ya kikunya. Halafu si mnasema kiswahili hamjui mnataka English tu (tena mnaita kizungu) mnadhani ulaya wote wanajua kiingereza
Pamoja mimi sio shabiki wa Azam , lakini kuna kipindi walisema kocha Idi cheche anahujumu mpaka kafikuzwa . Sasa kosa la kali ni lipi? Hizi tuhuma bila evidence simu watasema na yusufu afukuzwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwana kawafanyia unyama sana kwenye finishing ya gypsum board, wakunya wamebaki wanamsifia wengine wanaponda kua gypsum sio durable . Lakini wakunya mjue hao mafundi wengi ni vijana tu wenye experience ya kaza wala hawana degree wala certificate za technician ndio maana mnaona wako cheap...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.