Recent content by dickchiller

  1. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huu ndio mchele kitumbo
  2. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    To be honestly hizi chia maharage zilikua dar miaka 90 mwanzo huko , halafu zikaanza DCM hadi sasa hivi ni historia, huwezi kuta chai maharage a.k.a matatu sehemu yeyote Tanzania
  3. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sinohydro again , mhhh hawa jamaa ndio best bidder kila project kweli???
  4. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwa maelezo ya Egyptian ni kwamba mnatembea ana mixture kukimbia kwa nauli hamna. Ndio maana riadha ipo kwenye damu yenu
  5. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Deep sea slum ndio leo naisikia , ndio yule tony alikua anasema kuna mengi hatujui huko kunyaland
  6. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwa hela zako za kudownload kwenye mitandao? Bwana mapesa una vituko sana . Your comedian
  7. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mtambo wa chang'aa
  8. dickchiller

    Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

    Na maaskofu wa Afrika wanaompinga papa kuhusu mapenzi ya jinsia moja nao watachukuliwa hatua gani?
  9. dickchiller

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    ***** huu utapeli mtupu nishawali lipia kwa jamaa siku akibahatisha anaomba unitumie tena chochote. Anasemaga tutume screenshot . Anachukua won ticket huko analeta kujifanya yeye mwamba hili uvutiwe . Kama unashinda accurate daily kachukue mkopo benki halafu halafu uweke upate mahela mengi
  10. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Halafu eti mnaongoza kulima avocado [emoji1649] kweli? Mnashindwafa ya serious horticulture kwa ajili ya mboga mbona
  11. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Inaonesha demand ya ndege za mizigo ni kubwa sana
  12. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwa hiyo dar yote inapigwa BRT leo wanasaini mikataba including daraja la jangwani Dar baada ya miaka minne miundombinu itakua hatari sana
  13. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nimesikia kwenye speech ya profesa janabi kasema katika east Afrika muhimbili ndio the best . I hope professor janabi is not politician. Anasema kitu cha kweli maana yeye mwenyewe ni bingwa kwenye elimu ya afya
  14. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Duh !!! Mi yaani sportpesa imeanza juzi wakati hilo neno pesa nakua nimelikuta , ebu acheni arrogance ya kikunya. Halafu si mnasema kiswahili hamjui mnataka English tu (tena mnaita kizungu) mnadhani ulaya wote wanajua kiingereza
  15. dickchiller

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kiukweli miaka [emoji817] mingi sana. Sijui wanazingatia nini?
Back
Top Bottom