To be honestly hizi chia maharage zilikua dar miaka 90 mwanzo huko , halafu zikaanza DCM hadi sasa hivi ni historia, huwezi kuta chai maharage a.k.a matatu sehemu yeyote Tanzania
***** huu utapeli mtupu nishawali lipia kwa jamaa siku akibahatisha anaomba unitumie tena chochote. Anasemaga tutume screenshot . Anachukua won ticket huko analeta kujifanya yeye mwamba hili uvutiwe .
Kama unashinda accurate daily kachukue mkopo benki halafu halafu uweke upate mahela mengi
Nimesikia kwenye speech ya profesa janabi kasema katika east Afrika muhimbili ndio the best . I hope professor janabi is not politician. Anasema kitu cha kweli maana yeye mwenyewe ni bingwa kwenye elimu ya afya
Duh !!! Mi yaani sportpesa imeanza juzi wakati hilo neno pesa nakua nimelikuta , ebu acheni arrogance ya kikunya. Halafu si mnasema kiswahili hamjui mnataka English tu (tena mnaita kizungu) mnadhani ulaya wote wanajua kiingereza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.