Recent content by dfaster

  1. D

    Mwanamke anaridhishwa na nini?

    Mpe pesa, mpe pesa, mpe pesaaaaaa
  2. D

    Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

    Makurumla Primary School Magomeni Mwembechai Kata ya Ndugumbi Kinondoni
  3. D

    Wanaume ondoeni vitambi vinatukera sana wanawake

    Piga marufuku kitambi cha mume wako basi
  4. D

    MAUTUNDU: Namna ya kusoma chat za mwenzako za WhatsApp bila yeye kujua

    Isije ikawa na yeye ataweza kusoma chat zako
  5. D

    Nimeacha kuishabikia Arsenal

    Wewe acha tu Mimi siachi
  6. D

    Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

    Mnawakumbuka madogo walikuwa wanaitwa Katosha, mzion?
  7. D

    Pombe imekuletea madhara gani maishani mwako?

    Ni mbaya na ibilisi mbaya kabisa. Kwa yule ambaye hajaijaribu hasijaribu hata kidogo
  8. D

    Huyu Sallam kumbe ndio kila kitu kwa Diamond

    Sallam uko vizuri umezungumza vitu in detail
  9. D

    Timu za watoto wa kihuni

    Kagera Rangers Three Stars (National) Faru Dume
  10. D

    Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

    Ina maana Tanganyika hatupo hata 15 bora?
  11. D

    Mke wangu amekiri anajichua, ndoa yetu hatarini

    Fanya mazoezi ya viungo, kula vizuri na pata muda wa kupumzika. Kama unatumia pombe na sigara acha na wakati wa game muandae vyema mpaka atote ndio upande
Back
Top Bottom