Ww una makosa na yeye ana makosa. Masturbation ukifanya ww ni sawa, lkn akifanya yy si sawa!!! Ni ajabu aiseee!. Adui wa ndoa yenu ni ninyi nyote wawili. Kuna uwezekano mkeo ana tatizo la masturbation addiction kias kwamba amepoteza kusisimka anaposhikwa na mtu baki kwakuwa amezoea kujichezea mwenyewe! jambo hili lina madhara makubwa sana kihisia japo watu wengi hawajui. Vilevile huenda hisia baada ya kujifungua hazijarudi vzuri. Mm mke wangu wakati akiwa mjamzito, kila eneo ninalojaribu kumtomasa alikuwa anakataa anasema baadala ya kumsisimua anahisi kutekenywa! Kwa mantiki hiyo sishangazwi na hayo ya mkeo, huwa ni kawaida kwa wanawake wengi, huenda mwili wake haujarejea katika hali yake ya kawaida. Ushauri wangu kwako ni 1. Be wise 2. Be part of the solution not a problem 3. Usikarike, usikasirike, usikasirike 4. Kaa pamoja na mkeo, mjadili kwa uwazi tena mkiwa na furaha kabisa suala la unyumba na kulegalega kwa furaha ya kitanda chenu 5. Katika mijadala yenu usimuone kuwa mwenzako ndio mkosaji, tambua kuwa na ww ni mkosaji.
Kila la kheri mkuu