.
NAJUAA wengi sana huvitiwa sana magari haya aina ya crown na hata bei zake sio rahisi ki hivyo, na kwa ushauri wangu usinunue crown ya bei rahisi utakuja kulia , hilo nakukuhakikishia , ni gari yenye teknolojia juu kidogo
Na sio sisi tu Wanachato tuno penda hizi CROWN , hata wajapan wenyewe...
we jamaa acha kuongopea umma kwanza
KCMC sio chuo cha kupatia Gpa kubwa kirahisi
alafu
u seems not intellectual coz u mix x with s jifunze kuandika den uje uwape info pori hao first year
Ha ha ha ha ...
Unenikumbusha kwenye movie ya THE FLASH kuna statement harrison wellz(the bezt actor in this movie) anamwambia barry allen kwamba if u move fast to the 23%of speend of light in proton chamber and then u come collide with hydrogen proton
As a result yu will create a hole that...
Pacemaker al maarufu kama betri la moyo ni kifaa kinacho pandikizwa kwenye moyo kuusaidia mfumowa umeme wa moyo kuwa stable as u know under normal condition moyo hauchukui impulse (umeme)kutoka kwa mfumo wa kati wa fahamu (myogenic nature of the heart) kifaa hiki hupandikizwa kwa watu waliopata...
HII POST IWE INSPIRATION KWA WANAFUNZI WOTE WA SEKONDARI NA WAZAZI WA WATOTO HAO
Ma-TO walipofunikwa Na Sylivester Mwageni(True mathematiBite wewe na mimi ni vilaza wa math toka primary cian)
Kuna matukio fulani hutokea kwa namna pekee ya kushangaza na mengine huwa ya kufurahisaha zaidi hasa...
Nilipata kusoma sehemu kwamba; Makaburi ni sehemu yenye utajiri zaidi, Kule kuna Viwanda ambavyo havikujengwa, Biashara ambazo hazikuanzishwa, Mashamba ambayo hayakulimwa, Safari ambazo hazikufanyika, Vitabu ambavyo havikuandikwa na Mafanikio mengi tu yaliyojaa. Kwanini? Kwa sababu waliolala...
When screeen ikiwa on>left click kaalama ka tunda -kapokushoto juu > click option imeandikwa about this mac > itakultetea pc information
Proccsesor
Ram
Hdd
Serial number
Kufuatia tukio la kujiua kwa kijana Musa Ally aliyejirusha kutoka juu ya Jengo la Rock City Mall huko Mwanza, nitoe rai fupi.
Musa ameacha ujumbe unaoashiria kuwa sababu ya kujiua kwake ni kukosa ajira. Lakini kukosa ajira hakuwezi kuwa sababu ya kujiua, bali ni sababu iliyopelekea Musa kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.