Abercrombie13
Member
- Jul 14, 2018
- 65
- 118
Habarin za wakat huu wana Jf
Kama una ndgu yako anatarajia kujiunga na Muhimbil University bac ningependa kuwaqumbuxha yafuatayo:
1) Ondoa dhana ya kwmba chuo bata, kwa muhas utaxoma kama advance. Vpnd Kuanzia saa2 asbh had saa11 jion ,hakuna utan
2). Boom n pexa ndogo sana so jtahd kubalance matumz kama unajua huna back up ya watu wa kukuxaidia. Ucje ukashndia mkate na maji
3) Shule n ngumu sana so jtahd kuwa serious mwanzon kwan ukiwa na sup mbil sem 1 uwezkano wa kudisco n mkubwa.
Note: Ukitaka GPA kubwa na kusoma kwa kurelax nenda private eg KCMC Bt kma unataka kuxoma ktk mazngira magumu Karbu MUHAS.
Kama una ndgu yako anatarajia kujiunga na Muhimbil University bac ningependa kuwaqumbuxha yafuatayo:
1) Ondoa dhana ya kwmba chuo bata, kwa muhas utaxoma kama advance. Vpnd Kuanzia saa2 asbh had saa11 jion ,hakuna utan
2). Boom n pexa ndogo sana so jtahd kubalance matumz kama unajua huna back up ya watu wa kukuxaidia. Ucje ukashndia mkate na maji
3) Shule n ngumu sana so jtahd kuwa serious mwanzon kwan ukiwa na sup mbil sem 1 uwezkano wa kudisco n mkubwa.
Note: Ukitaka GPA kubwa na kusoma kwa kurelax nenda private eg KCMC Bt kma unataka kuxoma ktk mazngira magumu Karbu MUHAS.