Is time traveling possible?? (kusafiri muda inawezekana?)

Sio "frying" ni "flying".

Sasa kwa akili yako unavyojua wewe kuna viumbe tu pekee wanao ishi ardhini sio ? Na unajua huyo Buraaq alitoka wapi ?

Halafu pili Buraaq alikuwa anajulikana mpaka umbo lake.

Buraaq ni kiumbe hai,vipi kuhusu UFO ?

Usilete dhana na wasi wasi katika Elimu.
Ww katika matumbuso ww ni kiongozi wao huelewagi kitu ww jamaa.
 
Los Angeles now ni Friday saa 7:00 mchana. Wakati Melbourne Australia ni Jumamosi saa 1:00 asubuhi..ukisafiri kwa fighter jet yenye kasi kwa 4hrs. Utafika Los Angeles Friday saa 11 jion..TIME TRAVEL hiyo back in Time..umetoka jumamosi asubuh umefika ijumaa jion
Exactly
 
Los Angeles now ni Friday saa 7:00 mchana. Wakati Melbourne Australia ni Jumamosi saa 1:00 asubuhi..ukisafiri kwa fighter jet yenye kasi kwa 4hrs. Utafika Los Angeles Friday saa 11 jion..TIME TRAVEL hiyo back in Time..umetoka jumamosi asubuh umefika ijumaa jion
Au kasi ya jet iyongezeke mara mbali hivi anaweza fika mapema sana
 
Ha ha ha ha ...
Unenikumbusha kwenye movie ya THE FLASH kuna statement harrison wellz(the bezt actor in this movie) anamwambia barry allen kwamba if u move fast to the 23%of speend of light in proton chamber and then u come collide with hydrogen proton
As a result yu will create a hole that connect this time to the infinifity times
...thats was the best part of movie ever talkin about time travel
Hii concept ni kubwa na pana sana ila kwa tz kuweka facilities za research ni wazo zuri watu wanaa concept na wanataka kuzi faham zaidi lakini mazingira ni butu kabisa.

hii theory nilianza kuipenda cnc nipo secondary ilielezewa kidogo sana kwenye kitabu flani kinaitwa Lambert ....hapo ndipo urafiki wa mimi na Einstein ukaanza kwa google na YouTube kuna baadh ya mambo yame click ila bado unajikuta unawom around someone thoughts na si kile unachoamini na kutaka ...
 
Ha ha ha ha ...
Unenikumbusha kwenye movie ya THE FLASH kuna statement harrison wellz(the bezt actor in this movie) anamwambia barry allen kwamba if u move fast to the 23%of speend of light in proton chamber and then u come collide with hydrogen proton
As a result yu will create a hole that connect this time to the infinifity times
...thats was the best part of movie ever talkin about time travel

Hii movie
 
Kubishana na zuri ni kutwanga maji kwenye kinu.

Huwasibishani. Tatizo mnashindwa kujibu maswali.

Kama wewe unajua unachokiandika au ulichokiegemea ni muhali kushindwa kukisimamishia hoja.

Hapo ulitakiwa kujenga hoja au kupinga nilicho kisema.
Huku kunituhumu kwa tuhuma za ubishi ni kichaka kwako wewe.

Nipo ...
 
Huwasibishani. Tatizo mnashindwa kujibu maswali.

Kama wewe unajua unachokiandika au ulichokiegemea ni muhali kushindwa kukisimamishia hoja.

Hapo ulitakiwa kujenga hoja au kupinga nilicho kisema.
Huku kunituhumu kwa tuhuma za ubishi ni kichaka kwako wewe.

Nipo ...
Unajitihada ya kufahamu mengi na huo ndio Uzuri wako

Ila funguo yako ya maarifa ulimuachia rabi wako kasepa nayo na kikombe kishasazwa
 
Unajitihada ya kufahamu mengi na huo ndio Uzuri wako

Ila funguo yako ya maarifa ulimuachia rabi wako kasepa nayo na kikombe kishasazwa

Ungesimama hapo hapo ulipo,ungefaidika sana.


Tetea hoja ya uwezekano wa "Time Travel" kisha tuendelee kutokea hapo.

Nipo ....
 
Time ipo na ina exist na ni kweli kifaa tutumiacho ni zao la mind, ili mtu aweze kwenda past na future according to theory of reflectivity ni lazima pawepo na kifaa ama machines ambazo zitakua na speed ya light ambalo hilo jambo sidhani kama linawezekana.
Ila tukiitazma hii concept ya time traveling kwa upande mwengine wa shilling basi ni kitu kinachowezekana, labda tujiuulize kwa tunaoamini returning of Jesus je atakapo rudi si atakua time traveler?! Kwani since amedesapia ni miaka mingapi imepita? Na nafikiri sidhani huko alipo kunaisabiwa mda the way tunahisabu huku. Siku moja ya huko alipo ni miaka elfu ya nyakati hizi za kuzama na kuchomoza kwa jua.
Pili tutazame tena katika history basi tutakutana na story ya wale watu saba wa pangoni ambao walikua ndani ya pango miaka 3 na kitu je walipotoka huko pangoni hawakua time travelers kwakua hata pesa waliotaka kununua chakula ilikua haitumiki tena je hili haliwezi kuprove time travel inaexist kwa mtazamo huu?
Kama hujui hii story ya hawa watu 7 wa pangoni huwezi kunielewa kabisa.
 
Time ipo na ina exist na ni kweli kifaa tutumiacho ni zao la mind, ili mtu aweze kwenda past na future according to theory of reflectivity ni lazima pawepo na kifaa ama machines ambazo zitakua na speed ya light ambalo hilo jambo sidhani kama linawezekana.
Ila tukiitazma hii concept ya time traveling kwa upande mwengine wa shilling basi ni kitu kinachowezekana, labda tujiuulize kwa tunaoamini returning of Jesus je atakapo rudi si atakua time traveler?! Kwani since amedesapia ni miaka mingapi imepita? Na nafikiri sidhani huko alipo kunaisabiwa mda the way tunahisabu huku. Siku moja ya huko alipo ni miaka elfu ya nyakati hizi za kuzama na kuchomoza kwa jua.
Pili tutazame tena katika history basi tutakutana na story ya wale watu saba wa pangoni ambao walikua ndani ya pango miaka 3 na kitu je walipotoka huko pangoni hawakua time travelers kwakua hata pesa waliotaka kununua chakula ilikua haitumiki tena je hili haliwezi kuprove time travel inaexist kwa mtazamo huu?
Kama hujui hii story ya hawa watu 7 wa pangoni huwezi kunielewa kabisa.
Correction : miaka Mia 3.
 
Huko pangoni walilala?? Au walikua wanafanya nn??....tuanzie hapo...lazma uelewe kitu vizur kabla hutakitoleza maelezo thabit
Time ipo na ina exist na ni kweli kifaa tutumiacho ni zao la mind, ili mtu aweze kwenda past na future according to theory of reflectivity ni lazima pawepo na kifaa ama machines ambazo zitakua na speed ya light ambalo hilo jambo sidhani kama linawezekana.
Ila tukiitazma hii concept ya time traveling kwa upande mwengine wa shilling basi ni kitu kinachowezekana, labda tujiuulize kwa tunaoamini returning of Jesus je atakapo rudi si atakua time traveler?! Kwani since amedesapia ni miaka mingapi imepita? Na nafikiri sidhani huko alipo kunaisabiwa mda the way tunahisabu huku. Siku moja ya huko alipo ni miaka elfu ya nyakati hizi za kuzama na kuchomoza kwa jua.
Pili tutazame tena katika history basi tutakutana na story ya wale watu saba wa pangoni ambao walikua ndani ya pango miaka 3 na kitu je walipotoka huko pangoni hawakua time travelers kwakua hata pesa waliotaka kununua chakula ilikua haitumiki tena je hili haliwezi kuprove time travel inaexist kwa mtazamo huu?
Kama hujui hii story ya hawa watu 7 wa pangoni huwezi kunielewa kabisa.
 
Time ipo na ina exist na ni kweli kifaa tutumiacho ni zao la mind, ili mtu aweze kwenda past na future according to theory of reflectivity ni lazima pawepo na kifaa ama machines ambazo zitakua na speed ya light ambalo hilo jambo sidhani kama linawezekana.
Ila tukiitazma hii concept ya time traveling kwa upande mwengine wa shilling basi ni kitu kinachowezekana, labda tujiuulize kwa tunaoamini returning of Jesus je atakapo rudi si atakua time traveler?! Kwani since amedesapia ni miaka mingapi imepita? Na nafikiri sidhani huko alipo kunaisabiwa mda the way tunahisabu huku. Siku moja ya huko alipo ni miaka elfu ya nyakati hizi za kuzama na kuchomoza kwa jua.
Pili tutazame tena katika history basi tutakutana na story ya wale watu saba wa pangoni ambao walikua ndani ya pango miaka 3 na kitu je walipotoka huko pangoni hawakua time travelers kwakua hata pesa waliotaka kununua chakula ilikua haitumiki tena je hili haliwezi kuprove time travel inaexist kwa mtazamo huu?
Kama hujui hii story ya hawa watu 7 wa pangoni huwezi kunielewa kabisa.
Nahisi Mufti Zurri anaimanya hii hadithi ya pangoni labda itafanya anyake kidogo kinachozungumziwa
 
Nahisi Mufti Zurri anaimanya hii hadithi ya pangoni labda itafanya anyake kidogo kinachozungumziwa

Sisi hatuna time travel sisi tuna time dilation,ya watu wa pangoni ni time dilation.

Na mola wetu ufanyaji wake wa matendo hauziuiwi au haufati hizi kanuni za ulimwengu.

Ndio maana matukio ya kama hayo,unaya kuta kwa mja mwema Uzair aliye lala miaka mia moja akakuta au akahisi kama alilala siku moja au safari ya mtume ya Israa wa al Miraaj ina onyesha hivyo.

Na siku moja ya Mola wetu ni sawa na miaka elfu moja kwetu,kwahiyo utaona kabisa kwbaatukio hayo yalikuwepo ndani ya wakati.

Nakupa swali,je unaweza kuelezea Time Travel kwa matukio yaliyo pita ?
 
Sisi hatuna time travel sisi tuna time dilation,ya watu wa pangoni ni time dilation.

Na mola wetu ufanyaji wake wa matendo hauziuiwi au haufati hizi kanuni za ulimwengu.

Ndio maana matukio ya kama hayo,unaya kuta kwa mja mwema Uzair aliye lala miaka mia moja akakuta au akahisi kama alilala siku moja au safari ya mtume ya Israa wa al Miraaj ina onyesha hivyo.

Na siku moja ya Mola wetu ni sawa na miaka elfu moja kwetu,kwahiyo utaona kabisa kwbaatukio hayo yalikuwepo ndani ya wakati.

Nakupa swali,je unaweza kuelezea Time Travel kwa matukio yaliyo pita ?

Mbona mtoa mada keshatoa maekezo hapo awali juu ya nini maana ya time travel kwenye paragraph yake ya kwanza..!

Labda ina maana zaidi ya hiyo..! Tena usisahau Mufti kunipa faida juu ya tofauti ya time travel na hiyo yako ya time dilation

....tuendelee
 
Back
Top Bottom