Recent content by Deleted01

  1. D

    Tetesi: Ndani ya muda mfupi kutoka Sasa ofisi ya chief Prosecutor wa ICC itatoa taarifa ya kuanza Kwa uchunguzi Kwa mauaji ya MO29

    Kuna mtu humu kila siku nilikuwa namwambia hii nchi ni salama kuliko anavyodhani akawa anaona mihemko yake ndo sahihi. Sidhani kama watawahi rudia kutoka wale waliotoka.
  2. D

    Tetesi: Ndani ya muda mfupi kutoka Sasa ofisi ya chief Prosecutor wa ICC itatoa taarifa ya kuanza Kwa uchunguzi Kwa mauaji ya MO29

    Kwenye mzigo wa October 29, Mama anaongoza 3-0 mpaka sasa, Dola imethibitisha ukubwa wake japo kwa kuacha maumivu makubwa sana kwenye maisha ya watu. Hio kesi sidhani kama itakuwepo
  3. D

    Uwoya alitoa mimba ya H.baba

    Mh mchungaji, haha
  4. D

    Uzinduzi wa kanisa la Mwamposa na maswali ya kujiuliza

    Mimi kila siku nasema, Nyerere alitukosea pa kubwa sana. Haya yanayoendelea yote yalisababishwa na Nyerere.
  5. D

    Hivi kwani Mungu anajibu maombi mabaya?

    Ubaya unaouona kwa macho yako wewe, unaweza ukawa unaonekana mzuri pengine kwa macho ya mwengine.
  6. D

    Kwanini kwa mwanamke pekee na sio mwanaume pia?

    SGR ndo mnaifanyaje..?haha
Back
Top Bottom