ku monetize skills na talent za vijana wengi Tanzania ni changamoto sana.
mwaka jana nilifungua content creation and influencing house baada ya kuona nina vijana wengi ambao nawa mentor wakiwa wako so addicted na social media ila hakuna hela wanapata out of it. Nikafanya hivyo and saivi...
kuiga sio kosa. kuzurura sio kosa. kosa ni kuonekana unatembea tembea na hakuna impact tunayoweza kuipima na hizo safari zako. Hana anacho solve jamaa wenu.
yaani hivyo vyuo vya NACTVET, siku nikapata uwaziri wa elimu per say, course za afya zote nitazifuta ili zifanyiwe restructuring. Kuna namna hizo course zimejaa shida nyingi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.