ila tuwe wawazi tu, wewe binafsi huoni kama hio messae ina makosa mengi tu ya kufanya mtu akamatwe?
kutoa accusation bila ushahidi ni sababu tosha ya mtu kukamatwa bila hata kutafuta makosa mengine
Tanzania ndo nchi pekee ambapo mtu akiwa mnyenyekevu na aka focus na mambo yake watu wanamshambulia. We are coming from humble backgrounds, tuacheni tu tuwe machawa. Bila hizi ajira hakuna kitu kibaya na cha kuzalilisha tusingepitia, kuzalilika kwa kuwa machawa is the least of our problems.
Humu kama social media nyingine yeyote catfish wapo na watu genuine wapo, kazi kwako kwenye machaguzi. Binafsi JF imenipa mwanamke mzuri and very smart and i wasnt even searching for love when i signed up ila naweza tu kusema machaguzi or kama watasha wanavyosema tuliweza kuzungumza lugha moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.