Recent content by Deleted01

  1. D

    Hellow everyone!

    Elleanor vivica karibu
  2. D

    Hivi kwa nini tanesco upande wa luku wasiwe wanakopesha kama mitandao ya simu .

    Idea nzuri, watu wa mifumo watapiga sana hela, waandae mfumo mmoja wakawauzie Tanesco
  3. D

    Madhara ya wanawake kutotunza jagina zao vizuri na athari yake

    Hivi kwanini mnapenda sana kujadili mambo ya wanawake..?? Mbona wapo wanaume wana Gono, UTI, chlamydia, Trichomoniasis etc na hamuwapi huo ushauri..?
  4. D

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Sasa mimi ndo muandika post..? Mbona unanivamia mkuu..?
  5. D

    Probability ya kuchukua demu AU mtu anayejiuza bar, akawa mzima wa afya ni ndogo sana, nitakupa stori

    Na hakuna sehemu kuna malaya kama Morogoro. Huo mji una laana.
  6. D

    Probability ya kuchukua demu AU mtu anayejiuza bar, akawa mzima wa afya ni ndogo sana, nitakupa stori

    Sasa mzee upo Geita unapiga fakufaku, utakufa mwanangu. Gold city zote zipo hovyo kimagonjwa. Huko ni sodoma ndogo.
  7. D

    Msiri wako ni nani JF?

    Hakuna zaidi ya lamama Lamomy
  8. D

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Mkeo anakuchunga kila unapopita ku reply, hahah
  9. D

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Wewe upo maeneo gani ili tukutajie lodge zilizo maeneo ya karibu na wewe..? Huyo hutakiwi umnunulie hata maji, maana kwa balance yako hio ni inabidi straight to bed na umkunje kweli ili asikose hela na show nzuri kwa pamoja. Maskini msingi wetu kiuno.
  10. D

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Akachakatie kwenye public beach kweli..? Haha
  11. D

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Nyoosha maelezo, unataka guest, lodge, hotel..? Au unataka restaurant mtoto akale vipilau kabla ya uzinzi..? Budget yako ya bei rahisi ndo ngapi kwanza maana bei rahisi hata 1M ni rahisi kwa wengine.
  12. D

    Dudubaya: Umiss ni umalaya; wasichana wa vyuoni ni machangudoa

    Hata wewe usiye na huo uroho, utakufa pia. Swala la muda.
  13. D

    The ugly truth ambayo vijana wengi wanafichwa kuhusu biashara, washindani wanacheza Rafu, Usaliti, Kufilisika, Ubinafsi n.k

    Yaani ni huruma mwanangu. Biashara acha wadanganyane tu ila ni kitu kingine kabisa.
Back
Top Bottom