Recent content by Deleted01

  1. D

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    vijana wanakosa watu wa kuwaeleza haya mambo. thats the problem.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Nimetazama mahojiano ya B12 na Adam nikagundua hali mbaya kifedha kwenye media pamoja na majuto

    ku monetize skills na talent za vijana wengi Tanzania ni changamoto sana. mwaka jana nilifungua content creation and influencing house baada ya kuona nina vijana wengi ambao nawa mentor wakiwa wako so addicted na social media ila hakuna hela wanapata out of it. Nikafanya hivyo and saivi...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Wivu ni darasa la mwisho kabla hujawa mchawi

    mtu mwenye wivu ukishamjua, muweke mbali sana na wewe.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tuwatie moyo askari, tusiwatweze na kuwaumiza wamejitoa maisha yao

    sahihi kabisa, me binafsi huwa nawapongeza kwa ujasiri. Kuwa askari tu ni jambo la kijasiri sana.
  5. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni namna ipi nzuri ya kuishi na mwanamke anayependa kuelezea mambo yenu ya faragha kwa marafiki zake?

    hahaha, chizi wewe
  6. D

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    bangi inataka chakula na mtu asiye na mid life crisis. kinyume na hapo, utapata tabu sana.
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji usiweke kwenye biashara ya Frame/maduka, fanya hivi

    huijui data science wewe, acha kuropoka. Hauna bahati kabisa, starting salary ni 2M.
  8. D

    JamiiForums Tanzania KUWAPUUZIA WAPUUZI

    uzuri wa maisha ni kuchangamana. Mungu angechagua kuumba dunia ya watu wa aina moja tu, kusingekuwa na maana.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Nani kawaambia madaraka niliyonayo ni madogo, ebu wasome Katiba wapumbavu hawa

    kuiga sio kosa. kuzurura sio kosa. kosa ni kuonekana unatembea tembea na hakuna impact tunayoweza kuipima na hizo safari zako. Hana anacho solve jamaa wenu.
  10. D

    JamiiForums Tanzania KERO Kilio kwa Wizara ya Elimu: Wanafunzi Chuo cha City College tunazuiwa kuhamia vyuo vingine

    yaani hivyo vyuo vya NACTVET, siku nikapata uwaziri wa elimu per say, course za afya zote nitazifuta ili zifanyiwe restructuring. Kuna namna hizo course zimejaa shida nyingi sana.
  11. D

    JamiiForums Tanzania KERO Mwanza: Tulisoma Course ya Mortuary Attendant hatupewi kazi, wanapewa ambao hawajasomea

    huwa mko sawa sawa kichwani kipindi mnaenda kwenda kusomea hio kozi?
  12. D

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Nani kawaambia madaraka niliyonayo ni madogo, ebu wasome Katiba wapumbavu hawa

    huyu jamaa atakumbukwa kwa kuwa waziri mkuu mzururaji. Anazunguka tu bila impact yeyote.
  13. D

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Handeni, Walimu wa Biashara hatujathibitishwa kazini tangu Feb 2025

    kila kitu fresh hapo ila kukopa ndo hawawezi, changamoto ndo inakuwaga hapo.
  14. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sawa Umemuoa mzazi mwenzangu (Single mother) Na ukakubali kumlea mtoto wangu; sasa ni kwanini unipangie namna ya Kumuona mtoto na mzazi mwezangu?

    tafuta kazi mwanangu. you cant be this much dedicated to kubishana kwa hoja zisizo na msingi. Tafadhali usichukulie hii kwa ubaya.
  15. D

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Handeni, Walimu wa Biashara hatujathibitishwa kazini tangu Feb 2025

    kwani lazima walimu mkope?
Back
Top Bottom