backbenchers
Member
- May 9, 2024
- 59
- 30
Rais Samia Suluhu amesema maridhiano ni ishara ya ukomavu wa kisiasa unaojenga umoja na kuheshimiana, akisisitiza kuwa siasa zinapaswa kuongozwa na hekima, utu na maslahi ya taifa badala ya mivutano isiyoisha.
Amesema wananchi wanahitaji amani, usalama na utulivu, akizungumza Julai 9, 2026, wakati wa kushuhudia Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa kati ya CCM na ACT-Wazalendo katika Viwanja vya Ikulu, Zanzibar.
Maridhiano ni Nini?
Maridhiano juu ya Nini?
Maridhiano baina ya nani na nani?
Waliouwawa 29 Oct matiti zao ziko wapi?
Alietoa amri ya watu kuuwawa ni nani?
Alietoa ruhusu risasi za moto kutumia ni nani?
#hatusahau29oct
#backbenchers