Hivi maisha bila kuvaa nguo ingekuwaje?

Hivi maisha bila kuvaa nguo ingekuwaje?

Kumbe asante bro

Hivi wewe unaona bora nguo?
Au tungepeta?
Binafsi naona bora nguo, kwa sababu tusingekuwa na nguo binadamu wengi wasingefurahia au wasingepata kabisa fursa ya kufanya tendo la ngono kwani wale wenye nguvu pekee ndio ambao wangetawala katika sekta hiyo.

Angalia mfano kwa wanyama kama kuku, mbuzi, Simba n.k.
 
Back
Top Bottom