Recent content by Defio

  1. D

    Vijana jifunzeni programming you wont regret it

    jaribu kusearch stack overflow hutakosa solution
  2. D

    Vijana jifunzeni programming you wont regret it

    Mkuu nimeshatoboa kinyama mara paaa saa tisa hii hapa...unalala mpaka saa 4, ukiamka mpaka kesho tena
  3. D

    Vijana jifunzeni programming you wont regret it

    mimi nilianza mwezi wa nane programming...sasa hivi ni fullstack developer (database+backend +frontend)... watu wengi wanjifunza basics za programming ila whawajui wafanyie nn huo ujuzi,so wamestack!! First thing kufanya ni kupata basics za programming languages kama java (object oriented...
  4. D

    UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

    kwan tunatakiwa tuanze kulipia lini hostel?
  5. D

    UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

    page ya undergraduate inagoma kufunguka!
  6. D

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Nimekuwa nikijaza fom ya mkopo wa chuo lakini cha kushangaza kwenye demography category option ya date of birth imeishia 1989 mi nimezaliwa 1995 nifanyeje plz naomba nisaidieni
  7. D

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Nimekuwa nikijaza fom ya mkopo wa chuo lakini cha kushangaza kwenye demography category option ya date of birth imeishia 1889 mi nimezaliwa 1995 nifanyeje plz naomba nisaidieni
  8. D

    Babe unaweza kuniletea popcorn

    yani kama hao nawachana live 'pita hivi'
  9. D

    Clouds FM (Power Breakfast): Ni sahihi kabisa Bunge lisionyeshwe LIVE!

    kuliko kupunguza stress na jahazi,bora nishushie kinywaji baridii maana ukiwasikiza, unazidi kuongeza stress
  10. D

    Wanaume wenzangu tusichezee hisia za mapenzi za wanawake!

    mimi mwaka wa pili huu, akikubali tu ntamfanyia kama huyo jamaa
  11. D

    Kuna nini kati ya q-chief na diamond?

    mimi bado sijamuelewa Q-chief kwani na yeye amelogwa na diamond maana kwenye internterview na XXL,alilamika kuwa kuna mtu( eti diamond) anatumia nyota yake!
  12. D

    Jinsi ya kumtibu mpenzi anae kupa bao moja nawe ujaridhika<

    eti wasomi,kuna biological explanation,au ni kama ile ya kimasai?
  13. D

    Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa muda mrefu.

    sasa kwa wenzetu mapadri inakuwaje, mbona wako kawaida?
  14. D

    Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

    Eti wanajamii katibu mtendaji si atangaze baada ya valentine day?
Back
Top Bottom