UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

gud sana, bro___ na kuingia hostel lazma mpaka regstration ....!! nikifka pale maeneo ntajitaidi niwe mtu wa pili kua regstrared kama sio mtu wa kwanza...��������


inachezea hapo cha muhmu fanya kama lak 2 direct cost pamoja na hostel, kumbuka pesa ya kujikimu huku ukisubiria boom,
 
gud sana, bro___ na kuingia hostel lazma mpaka regstration ....!! nikifka pale maeneo ntajitaidi niwe mtu wa pili kua regstrared kama sio mtu wa kwanza...

yah itabd uwe fasta maana hostel usipolipia ndani ya wiki 2,utanyanganywa.
 
jaman nimechaguliwa udsm bachelor of science wth education chemia&biology, me nataka kusoma bios&geography, ntafanyaje wakuu?
 
hlo nalo la kuumza kichwa si utachagua mwenyew ukifika chuo.

Nimejarbu kucheki kwenye net, pale CONAS(UDSM) hawajaweka department ya geography kuna bios,chemia,physics n.k just why nkaulza mkuu!
 
vp bodi ya mikpo inatoa ln kiasi cha mkopo walicho pata watu ili watu wawejue wanafanyajeeeeee
 
daah hii mfumo wa gpa hata ciuelewi,, mi nashangaa tu nina 4.3gpa gs D, ph B+, ch B+, math A,, cielew chochote kile, mi home nawaambiaga div 1.5,,,,baas
 
Back
Top Bottom