Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa muda mrefu.

Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa muda mrefu.

No! It can be avoided by keeping yourself busy and doing physical exercises even for half an hour a day!
 
Kwahio post yako inatufundisha tuvunje amri ya 6 ambao hatujaoa !? Maana wengne hatufanyi tendo hilo kwa kuogopa dhambi

na usipo fanya vile vile ni dhambi huutendei haki mwiliko wako ndo maana vitabu vinakili wazi binadamu tu wadhaifu
 
Kingine nikuhamaki bila mpangilio.....
Kuwa na stress zisizokuwa na maana........
Wivu na roho mbaya.... nk
 
Huo ni ushetwani jaman ambao hatujaoa tujiadhari na post kama hizi mungu hapendi.. Kwa mlio kwenye ndoa ruksa

na usipo fanya vile vile ni dhambi huutendei haki mwiliko wako ndo maana vitabu vinakili wazi binadamu tu wadhaifu
 
inanitokea sana hii kitu. had nimeanza kuichukia ofisi.
 
naona mtu mwenye ukame kiafya inakuwa hana tatizo ila kisaikolojia ndipo kuna tatizo kwa mtizamo wangu kama hawa wakucheka cheka
vipi na wale watoto wa primary school wanaokumbwaga na matatizo ya kucheka nao huwa wamekaa muda mrefu bila ku-game?
 
vipi na wale watoto wa primary school wanaokumbwaga na matatizo ya kucheka nao huwa wamekaa muda mrefu bila ku-game?

Haswaaa nao hivyo angalia wale wanao pigwa pigwa gemu watoto hao



Kama huyo ambae mwalimu anajisevia malupulupu, huwezi tegemea kumwona anacheka cheka
 
Tatizo usipo'use' kidude kinapotea, si unakumbuka kwenye ikolojia tunaambiwa binadamu alikuwa na mkia

Akajifanya mjanja akawa hautumii, mkia umepotea bure


Afu ujue twiga alikuwa na shingo fupi kama kitimoto, baada ya kuwa anataka kula majani ya juu tu, shingo ikarefuka


Ukikitumia kifaa chako kinazidi kuwa strong-source Asprin na Bishanga

yeah tupo ukurasa mmoja una misuse resources
 
Last edited by a moderator:
Mambo hayoo.je wanaofanya kila siku ????
 
Back
Top Bottom