Kwanza flow IPO vizuri kwa mchanaji lakini mistari haina ujumbe mujarabu,
Pili hongera kwa MTU was chorus kwan ana sauti take ina upekee Fulani hivi na mbunifu kidogo katika kuiongezea manjonjo sauti yake lakini ngoma nzima iko poa
Na uiongeze kamuda kidogo maana no fupi mno
Sent using Jamii...
Habari za jumapili wakuu zangu.Kuna huu wimbo wa navykenzo una sema mwanamke sio BAJAJI ukipanda ushuke usahau wala pikipiki.
Mimi kwa mtizamo jinsi wanavyofanya Hawa jinsia jirani kujirahisisha na kupenda hela kiasi kwamba walizaliwa bank Hawa sio BAJAJI kweli ila ni maroli tena ya taka maana...
Mleta maada uliniona nn maana kuna Dada nilitaka kumuoa nimeshindwa anawatoto wanne halafu alinidanganya ana 24yrs kumbe ni kigagula miaka thelathini na anawatoto wanne nilivogundua nimekwambia kama napigwa vile yaani hahahaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.