Hivi kwanini wanawake hung'ang'ania udogo?

Hivi kwanini wanawake hung'ang'ania udogo?

Potezea tafuta wanaojitambua na umri wao....
 
Mleta maada uliniona nn maana kuna Dada nilitaka kumuoa nimeshindwa anawatoto wanne halafu alinidanganya ana 24yrs kumbe ni kigagula miaka thelathini na anawatoto wanne nilivogundua nimekwambia kama napigwa vile yaani hahahaa
 
Mleta maada uliniona nn maana kuna Dada nilitaka kumuoa nimeshindwa anawatoto wanne halafu alinidanganya ana 24yrs kumbe ni kigagula miaka thelathini na anawatoto wanne nilivogundua nimekwambia kama napigwa vile yaani hahahaa
Kama hawezi bora anyamaze au aseme ukweli tu
 
Kuna mmoja kwetu kwa kujifanya mdogo usiseme. Basi anaamkia majirani zake wotee!! Vijana tunamuangalia tuu, si tukimwamkia anajibaraguzaa. Anakeraa!!!!!
 
Back
Top Bottom