Valentine day ya upweke

moniccca

JF-Expert Member
Nov 15, 2015
2,383
3,285
Wandugu kama mjuavyo Leo ni siku maalum ya wanaopendanao.

Kwangu mm ni siku ya upweke kwa kuwa baba watoto aliitwa na makonda mpaka Leo hajarudi.

Nahitaji company kwa mwanaume yyte ambaye hana mpenzi Leo, na hii ni kwa Leo tu.


Karibu kwa aliye tayari
 
Vijana nafasi hiyo ila mjiandae kudhalilishwa maana yote mtakayofanya huko yatakuja kuwekwa wazi hapa.
 
Moniccca mlipendana kwa raha na shida uende umsaidie sio kumtafutia mbadala kama ulikula ela za unga ukubali kula na mboga sasa maana ugali haupo
 
Back
Top Bottom