Inabidi uchunguzi ufanyike vyakutosha na serikali ichukue hatua za kisheria, japokuwa Sheria wakati mwingine inaruuhusu pale ambapo mmiliki wa kiwanda ataomba asijumuishe kwenye employment standards na hapa ndipo tatizo lilipo kifungu Cha Sheria 100, "The Employment and Labour Relations Act...
Habari zenu wasomi, kwanza kabisa ninayofuraha kukutana na wanasheria wenzanngu katika hii forum, naendelea kujifunza mengi sana, pia shukran sana kwa wote wanaotuma matirio kwenye hii forum.
Kingine naomba mni add kwenye groups Kama za Whatsapp, n.k no 0658166176
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.