TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 10,745
- 29,220
Tukana tuu mkuu ila kimoyomoyoNaomba
Nihifadhi tusi kwa matumizi ya badae
Tukana tuu mkuu ila kimoyomoyoNaomba
Nihifadhi tusi kwa matumizi ya badae
Unasema kweliLabda aache kupumuliwa kwanza ndio tutaanza kutafakari kama anaweza kuwa Rais.
Rais gani hana marinda? Akicheka anajamba!
Atatuaibisha! Mabeberu wakija ikulu anawajambia tu, mimavi kunuka!
hii nchi lolote la kijinga linawezekanaKwa upepo unavyoenda, kuna kila dalili za Mhe. January Makamba kuwa Rais wa TZ miaka michache ya mbeleni, sifa anazo, ana uelewa mpana wa mambo mengi, yupo smart kiakili na kimwili na ana uchungu na maendeleo ya nchi hii.
Naona kabisa TZ tukisema Mhe. Rais Makamba.! Note that:
Kwa hiyo mtu akiwa Rais wa Tanzania anaongozi Pwani peke yake?Amerudishwa ili aharibu, huwajui CCM wewe.. Hapo kawekwa wizara ya mitego na dili awe mchafu zaidi, nchi hii usalama wapo na wanajua jinsi ya kuwafanya vimbelembele type zenu..
Akiwa Rais basi aongoze pwani peke yake!
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
Kwanza apimwe kwenye umeme maana kwasasa unakatikakatika tu majibu yake ni mepesi sanaKwa upepo unavyoenda, kuna kila dalili za Mhe. January Makamba kuwa Rais wa TZ miaka michache ya mbeleni, sifa anazo, ana uelewa mpana wa mambo mengi, yupo smart kiakili na kimwili na ana uchungu na maendeleo ya nchi hii.
Naona kabisa TZ tukisema Mhe. Rais Makamba.! Note that:
Ombea kwa Allah usife haraka mkuu maana miaka 9 iliyobaki ni mingiwacha niweke kumbukumbu yangu hapa
Engineer wa ujambazi nani atampenda?Huyu jamaa naona watu wanamsifia ila hana kismati cha kupendwa na watu akaoge dawa kwanza
Dah...jamani na familia nyingine zipewe nafasi....Kila siku haohao tu 🤣🤣🤣🤭Kwa upepo unavyoenda, kuna kila dalili za Mhe. January Makamba kuwa Rais wa TZ miaka michache ya mbeleni, sifa anazo, ana uelewa mpana wa mambo mengi, yupo smart kiakili na kimwili na ana uchungu na maendeleo ya nchi hii.
Naona kabisa TZ tukisema Mhe. Rais Makamba.! Note that:
Tumeisha huyu akiwa Rais.Kwa upepo unavyoenda, kuna kila dalili za Mhe. January Makamba kuwa Rais wa TZ miaka michache ya mbeleni, sifa anazo, ana uelewa mpana wa mambo mengi, yupo smart kiakili na kimwili na ana uchungu na maendeleo ya nchi hii.
Naona kabisa TZ tukisema Mhe. Rais Makamba.! Note that:
hata Mimi lilimuja tusi Ila nimeamua kulitunzaNaomba
Nihifadhi tusi kwa matumizi ya badae
Asante kwa kututukana mkuu!!Kwa upepo unavyoenda, kuna kila dalili za Mhe. January Makamba kuwa Rais wa TZ miaka michache ya mbeleni, sifa anazo, ana uelewa mpana wa mambo mengi, yupo smart kiakili na kimwili na ana uchungu na maendeleo ya nchi hii.
Naona kabisa TZ tukisema Mhe. Rais Makamba.! Note that:
Kengemkeni mitomingi huyuhata Mimi lilimuja tusi Ila nimeamua kulitunza
Labda raisi wa watu wenye vipara na mabichwa shape ya embeKwa upepo unavyoenda, kuna kila dalili za Mhe. January Makamba kuwa Rais wa TZ miaka michache ya mbeleni, sifa anazo, ana uelewa mpana wa mambo mengi, yupo smart kiakili na kimwili na ana uchungu na maendeleo ya nchi hii.
Naona kabisa TZ tukisema Mhe. Rais Makamba.! Note that:
Naunga mkono hoja, jamaa yuko njema sana......haya matusi na jitihada za mitandaoni za kumchafua ni za wenye wivu na waliokata tamaa ya kumfikia. Kuna makubwa banana mbele ya huyu jamaaKwa upepo unavyoenda, kuna kila dalili za Mhe. January Makamba kuwa Rais wa TZ miaka michache ya mbeleni, sifa anazo, ana uelewa mpana wa mambo mengi, yupo smart kiakili na kimwili na ana uchungu na maendeleo ya nchi hii.
Naona kabisa TZ tukisema Mhe. Rais Makamba.! Note that: