Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 5,481
- 12,688
Naongea kila siku hakuna Msomi aliye active humuNahitaji kupata SHERIA ya mahakama za mahakimu tafadhali. Mwenye softy copy msaada
Nenda Telegram kuna kila kitu
Naongea kila siku hakuna Msomi aliye active humuNahitaji kupata SHERIA ya mahakama za mahakimu tafadhali. Mwenye softy copy msaada
BADO KUNA COURT OF APPEAL, NGOJA TUONE KAMA CRDB WATA APPEALHii kesi ya crdb ya unfair termination
Na kwamba kisa cha hii kesi ni employee alikuwa haji kazini jumamosi kwa sababu ya kuwa msabato,
kwahiyo baada ya kukosa jumamosi kazaa akafukuzwa kazi.
Kwenye kesi muajiriwa akatumia kifungu cha freedom of religion na bank inataka kumkatalia dina philipo akashinda.
active in what senseNaongea kila siku hakuna Msomi aliye active humu
Nenda Telegram kuna kila kitu
Kwamba utaomba kitu ukapewa muda huo huoA
active in what sense
Nimekuja kuona wanasheria ni wachoyo..............kuna anayeweza kutoa msaada wa mawazo hapa JF. Alikuwa mmoja tu huyu Dragoon ndiye aliyekuwa active kutoa msaada wa mawazo. alinipa mawazo hapa nikayatumia nikashinda kesi bila wakiliKwamba utaomba kitu ukapewa muda huo huo
Huu uzi bila Dragoon hakuna kituNimekuja kuona wanasheria ni wachoyo..............kuna anayeweza kutoa msaada wa mawazo hapa JF. Alikuwa mmoja tu huyu Dragoon ndiye aliyekuwa active kutoa msaada wa mawazo. alinipa mawazo hapa nikayatumia nikashinda kesi bila wakili
Nielekeze namna ya kujiunga pleaseHuu uzi bila Dragoon hakuna kitu
Huo ndo ukwel ndo maana huwa nasisitiza watu watumie telegram magroup ya sheria kule kidogo yapo active
Nielekeze namna ya kujiunga please
Wengi wamepigwa nmb pia alipigwa court of appeal labda watapunguza helaBADO KUNA COURT OF APPEAL, NGOJA TUONE KAMA CRDB WATA APPEAL
niwekee judgement pleaseWengi wamepigwa nmb pia alipigwa court of appeal labda watapunguza hela
Imeongelewa kwenye hiyo kesi judge kacourt kabisaniwekee judgement please
Mkuu sijaelewa hapaHii sio Fanon kweli?
Uhmm hatarHii kesi ya crdb ya unfair termination
Na kwamba kisa cha hii kesi ni employee alikuwa haji kazini jumamosi kwa sababu ya kuwa msabato,
kwahiyo baada ya kukosa jumamosi kazaa akafukuzwa kazi.
Kwenye kesi muajiriwa akatumia kifungu cha freedom of religion na bank inataka kumkatalia dina philipo akashinda.
Umetishaaa kakaALL LEGAL DOCUMENTS 📚📙📜
“ALL LEGAL DOCUMENTS”: Where Law students and Lawyers in Tanzania can hold legal conversations, 🗣 share their law life experience, ask questions, get help, share legal documents, materials and most of all, to socialize 👫👬👭 and have fun. 🤗 Welcome.t.me