Recent content by David ngayanimo

  1. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Full interview na msanii bab lee mzee wa kizizi

    Ukwaju wa kitambo hapa 0767 542 202 Akiwa na msanii bab lee full story fuatilia interview hii
  2. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Ukwaju wa kitambo na msanii dollo full interview

    Full interview na msanii dolo kutoka tmk & wachuja nafaka
  3. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Full interview na Afande Sele kuhusu Watu pori & Ghetto boys

    ukwaju wa kitambo na afande sele mwaka 2022
  4. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania SAA MBAYA RMX - ( O TEN & BUFF G)

    Buff G - SAA MBAYA Ni wakati wa kuangilia na kusema lakini sio kilio salio katika saa hii ni mapingano Wafaindikao Wazee Serikalini wapi na wapi kijana juzi kahitimu Elimu ya Juu kazi mpaka uzoefu wa Miaka Kumi Huu sio uvumi kinachoingia Masikioni huwa hakipotei Vijana Tanzania 🇹🇿 hatuna...
  5. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania SNARE - JINSI INAVYOKUWA

    SNARE - JINSI INAVYOKUWA [Vperse 1] Toka zamani ndoto yako kuwa mwanamuziki / Ukaandika mistari, ukapiga tizi, ukawa fiti / Singo ya kwanza hewani, juu kwa juu ikatiki / Watu bila Ubishi kazi wakaikubali / Interviews kila kona, wabaya wakata hayari / Washikaji 'fangio', madem wakazimia...
  6. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania CHID BENZI -POPOMPOO PISHA

    Chid benz - popompoo pisha [Verse] - 3 This for hood shit girls, you and your fellows / Wakongwe hawaendi na muda, yaani wabishi mpaka kero / Mengi mnayoongea hayafanani nikitokea / Mnashindana, nikiwashinda mnasema nawaonea / Kila siku magazetini mu-mbaya mimi, mu-mbaya mimi / Siku ya mwisho...
  7. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Mpenzi kwaheri - Jay Moe

    JAY MOE - MPENZI KWAHERI Intro: "Au sio Kwahiyo ndio Unaondoka sio , Amna Noma Bwana , Mi ndio Hivyo Nipo, Au sio kinachoenda ndio kinachorudi." Verse..1 Kwanza sikuwa na Muda wa Mapenzi kabisa/ Niliumia kichwa Kwa sababu Ya Mapenzi Ya pesa/ Bila shaka Mapenzi Mazuri hayahitaji Tajiri/...
  8. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania IBRAH DA HUSTER

    Kisa cha Ibrah Da Huster Kwenye Jukwaa la Miaka 30 ya Bongo Fleva Katika maadhimisho ya Miaka 30 ya Bongo Fleva yaliyofanyika Rock City Mall jijini Mwanza, kundi la Nako 2 Nako lilipata nafasi ya kupanda jukwaani na kuwakumbusha mashabiki baadhi ya nyimbo zao za zamani. Kundi hilo lilikuwa...
  9. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania MR SUGU & BALOZI - BONGO FLEVA

    MR SUGU & BALOZI - BONGO FLEVA VERSE. 1 Mimi ni dreva/ Na nitabaki hivi forever/ Najua nifanye nini ili nibaki kuwa super/ Nilishasema mimi ni zaidi ya rapa/ Na watu ndio wanataka nizidi kubaki hapa/ Nataka number one DJ, muweke number one/ Mi kwanza nataka mshiko ndipo niwe number one/ Dani...
  10. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania G . Pop kutoka planet 2000 ANAHITA msaada

    Nitext whatsApp 0767 542 202 nikutumie number yake
  11. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania TMK Majita - Tunadatishe

    TMK MAJITA - FIRST BORN LB GENIUS "TUNADATISHA" Unachonizidi ni promo/ Usijiite mkali zaidi yangu/ Ujiulize, ingekuwa vipi meneja wako angekuwa wangu?/ Umahiri wa mashairi ndio kisa unajenga beef/ Wana-diss level ndogo, eti mistari so nadhifu/ Maadui wameshamili, kuona sasa Muziki dili/ Wako...
  12. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania G . Pop kutoka planet 2000 ANAHITA msaada

  13. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania G . Pop kutoka planet 2000 ANAHITA msaada

    Hili andiko lina muda nilikuwa nafight kuwakumbusha wadau juu ya hilo jambo
  14. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania G . Pop kutoka planet 2000 ANAHITA msaada

    Nilikuwa sina information
  15. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Sauti ya ghetto - Professor Jay

    Jina langu mimi mwadishi David ngayanimo a.k.a ukwaju wa kitambo WhatsApp number 0767542202 Mawasiliano ya kawaida 0796316500
Back
Top Bottom