Recent content by David ngayanimo

  1. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania MR SUGU & BALOZI - BONGO FLEVA

    MR SUGU & BALOZI - BONGO FLEVA VERSE. 1 Mimi ni dreva/ Na nitabaki hivi forever/ Najua nifanye nini ili nibaki kuwa super/ Nilishasema mimi ni zaidi ya rapa/ Na watu ndio wanataka nizidi kubaki hapa/ Nataka number one DJ, muweke number one/ Mi kwanza nataka mshiko ndipo niwe number one/ Dani...
  2. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania G . Pop kutoka planet 2000 ANAHITA msaada

    Nitext whatsApp 0767 542 202 nikutumie number yake
  3. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania TMK Majita - Tunadatishe

    TMK MAJITA - FIRST BORN LB GENIUS "TUNADATISHA" Unachonizidi ni promo/ Usijiite mkali zaidi yangu/ Ujiulize, ingekuwa vipi meneja wako angekuwa wangu?/ Umahiri wa mashairi ndio kisa unajenga beef/ Wana-diss level ndogo, eti mistari so nadhifu/ Maadui wameshamili, kuona sasa Muziki dili/ Wako...
  4. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania G . Pop kutoka planet 2000 ANAHITA msaada

  5. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania G . Pop kutoka planet 2000 ANAHITA msaada

    Hili andiko lina muda nilikuwa nafight kuwakumbusha wadau juu ya hilo jambo
  6. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania G . Pop kutoka planet 2000 ANAHITA msaada

    Nilikuwa sina information
  7. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Sauti ya ghetto - Professor Jay

    Jina langu mimi mwadishi David ngayanimo a.k.a ukwaju wa kitambo WhatsApp number 0767542202 Mawasiliano ya kawaida 0796316500
  8. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Sauti ya ghetto - Professor Jay

    Changamoto ni 1 tu alikuwa anaishi mikoani ( jijini mwanza) ninadhani angekuwa Dar dsm hadi leo angekuwepo kwenye game, Asilimia kubwa ya ma producer waliofanya vizuri wakiwa wapo mikoani na huyu producer katika hiyo list yupo. Baadhi ya project za q the done 1. Bang rmx - nako 2 nako 2. Dear -...
  9. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania G . Pop kutoka planet 2000 ANAHITA msaada

    FAMILIA YA MUZIKI TUUNGANE : MSANII G . POP WA CREW YA PLANET 2000 ANAHITAJI MSAADA WETU Habari za wakati huu Ndugu, jamaa na Marafiki pia kwa heshima na taadhima kwa niaba ya Familia ya Ndugu JAMES KADUMA, napenda kuwataarifu kuwa Mwana Iringa mwenzetu JAMES KADUMA (G. POP) kutoka kundi la...
  10. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Mtoto pili

    S.K.P FEATURING QUEEN DARLINE - MTOTO PILI. Intro: Wa da For Yo.!! Ma This skp Simple Pozi Kwa Pozi ft. Majangili For Over Israel Teacher Boy Nyandu B, Ommy G , Queendareen Chorus: "Mtoto Pili , Penzi la Ki - Gangster Lina Akili , Ka - ufikiri Me Nimentali , Uwe Mentali Pili kama...
  11. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Zaharani - Maisha na mashairi

    ZAHARANI - MAISHA NA MASHAIRI. Verse..1. Hizi mbio sio za Baiskeri , Haiwezi kabiri Kasi/ Tahadhari usije Ukaferi , Mbuzi Amzindi Farasi/ Usiwambie Watu watakucheka/ 😄 🤣 "hahaha " Wengi wameishia Sakafuni/ Chunga usipige mweleka , Usafi wa Nafsi sio Sabuni/ Unapozungumzia Hip hop , Lazima...
  12. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Sauti ya ghetto - Professor Jay

    PROFESSOR JAY - SAUTI YA GHETTO PRODUCER : Q THE DONE STUDIO : MO RECORDS Intro: Aaah Eeeh bwana eeh..!! Unapima kisha Unakimbia majibu Wewe..!!! Chorus: Ni Sauti ya Gheto Kwa Watu Wangu wa gheto Walio KiGhetto Ghetto Mpeto Haina Mchecheto Navumilia Mateso Najua Ntapata Kesho...
  13. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Siri ya fichuka Mr. Sugu kutokushiriki miaka 30 ya bongo fleva

    SIRI YA FICHUKA MR. SUGU KUTOKUSHIRIKI MIAKA 30 YA BONGO FLEVA Mr. II Sugu amevunja ukimya! 😱 Anasimulia: "Walianza kuniita kwenye wimbo, Madee alinipigia simu tuende studio. Baada ya kutoka studio alitaka kutumia mkwanja Milioni 2 kwaajili ya Hiyo Collaboration. Nikawaambia Madee, mimi...
  14. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Anti virus tafsiri halisi kuhusu game ya bongo fleva

    ANTI-VIRUS NA MIAKA 30 YA BONGO FLAVA: KUMBUKUMBU ZINAZOENDELEA KUAMSHA MJADALA Historia ya Bongo Flava haiwezi kukamilika bila kutaja harakati za Vinega wa Anti-Virus, movement iliyotikisa tasnia ya muziki Tanzania mwaka 2011 kwa kupaza sauti kuhusu haki za wasanii, usawa wa fursa na...
  15. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Hard Blasters Crew

    FANANI AFUNGUKA WAZI, JINSI HARD BLASTERS CREW (H.B.C) ILIVYOMJENGA PROFESSOR JAY, "1990s".. "HARD BLASTERS ndio kundi lililombeba na kumsaidia Prof. Jay, siyo Prof. Jay kuisaidia Hard Blasters..." “Hard Blasters, ndio kundi lililombeba na kunsaidia Prof. Jay siyo Prof. Jay kuisaidia Hard...
Back
Top Bottom