Recent content by Davety

  1. Davety

    Mke wangu bado anawasiliana na Ex wake

    hujielewi ww mke kakiri kapigwa mti na ex wake na ww bado upo nae tu taraka iliwekwa ya nn au umepikiwa na chakula cha maji ya ukeni hujielewi Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Davety

    Wizara: REA msiruke Kijiji

    nimesikia juu juu kwamba sasa hivi nguzo za umeme ni bure unapovuta umeme wajumvi wa mambo hili jambo ni kweli?
  3. Davety

    Madam Rita unalipoteza shindano la BSS kwa huruma zako

    Azam king'amuzi wanaonyesha channel gn na lini?
  4. Davety

    Tetesi payroll za mwezi kuna nyongeza ya mshahara

    wakuu poleni na majukum ya kitaifa. kuna tetesi kwamba mshahara wa mwezi huu umeongezeka je hizi fununu zina ukweri?
  5. Davety

    Tecno hata iwe ya bei gani ni tatizo tu

    common pro 12 c tecno????? bidhaaa tu ikiitwa tecnooooooooooooo ni hovyoooooo tatizo pia hilo jina tecnooooo
  6. Davety

    Tecno hata iwe ya bei gani ni tatizo tu

    ikiitwa tu tecno hata iwe ya laki 5 na waweke ki Samsung j1 nachukua Samsung j1
  7. Davety

    Ni lini Amiri Jeshi Mkuu atavaa sare za Askari Polisi au Magereza?

    kombati za jeshi linawakirisha majeshi yote kwenye kombati ile kuna blue ambayo ni uhamiaji kijani polisi nyekundu zimamoto ugoro magereza over
  8. Davety

    Naulizia ajira zitatoka lini?

    unawaza ajira wkt watumishi mwaka wa 4 huu hakuna nyongeza ya mshahara...
  9. Davety

    Tottenham Hotspurs Thread

    ataanza nunua kila mchezaji kama kichaaaa na changushangaza wakawapa gharama kubwa na asiwape mafanikio huyo ndyo mourinho
  10. Davety

    Nakujuza jinsi janaba inavyobemenda mtoto mdogo mpaka afya kukongoroka

    hahaha jf mm huwa napenda kusoma comment tu. ni hv mwanzoni nami nilikuwa muoga kula tunda kwa mke wangu nikiofia kumbemenda sijui wanavosema waswahiri watu wazima siku moja ktk story nikawaeleza walicheka sana.. wakanambia ile ni dam yko ww kula vzr tu mke wako ila ukimaliza mama ajisafishe...
  11. Davety

    Watanzania wenzangu acheni unafiki na ujuaji kwenye kila jambo

    huu uharoooo sitaki niusome kabisa.
Back
Top Bottom