Acheni basi jamaniTecno ni simu au calculator
Baada ya kuitumia kwa miezi mitatu hadi mitano urudi tena.Imagine unanunua simu ya laki tatu na ishirini (320,000) halafu unakuta eti haina File Manager, eti u- download, kwenye notification unapokea vitu vya ajabu hata havieleweki.
Ni utunzaji wako tu, nilikuwa na Tecno boom J8 nimekaa nayo 3 years mpaka leo protector yake ya kwanza haijapata hata mvunjiko,common pro 12 c tecno????? bidhaaa tu ikiitwa tecnooooooooooooo ni hovyoooooo tatizo pia hilo jina tecnooooo
tecno ya mchina!.unazungumzia Go manager kwenye Tecno ipi??
Hiyo takataka ndio ya kuja kupiga kelele hapa???Hamjakutana na cammon 12 pro nyinyi
Mkuu hiyo vanced youtube ikoje ina future gani zaidi kuliko go na ya kawaida?? Naiomba mkuu nipe link
Tecno siyo simu kabisa yani. Najua huwezi kunielewa...Ni utunzaji wako tu, nilikuwa na Tecno boom J8 nimekaa nayo 3 years mpaka leo protector yake ya kwanza haijapata hata mvunjiko,
Upande wa software iko poa kabisa, nimeiuza kwa 200k juzi tu hapa
Tecno ni simu au calculator
Ulimuokota fala mkuu,Tecno used akanunua 200K!!!?Ni utunzaji wako tu, nilikuwa na Tecno boom J8 nimekaa nayo 3 years mpaka leo protector yake ya kwanza haijapata hata mvunjiko,
Upande wa software iko poa kabisa, nimeiuza kwa 200k juzi tu hapa
Mbona mimi nina tecno Phantom 8 , mwaka na nusu sasa sijaona hayo makitu.Ulimuokota fala mkuu,Tecno used akanunua 200K!!!?
Techno hawatoi update. Angalau Infinix wanatoa.ww ndiye mgeni kwenye Android,unatakiwa uwe up to date kwani mambo yanabadilika, kama ulimiliki kitkat(4.4) basi tupo pie(9.0)
Angalia file go ni mbadala wa file manager
Simu ya 800k haina fast charging, kioo LCD, Haina IP rating yoyote(ikitumbukia kwenye maji biashara imeisha), Soc yake 16nm, Camera haina OIS,Mbona mimi nina tecno Phantom 8 , mwaka na nusu sasa sijaona hayo makitu.
Nilinunua 800,000/=
mkuu nielezr kuhusu S8 SamsungSimu ya 800k haina fast charging, kioo LCD, Haina IP rating yoyote(ikitumbukia kwenye maji biashara imeisha), Soc yake 16nm, Camera haina OIS,
Aiseee hiyo hela ungehonga tu.... Kama mtu unazijua simu vzr huwezi kununua tecno.