permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,026
- 11,219
Mkuu itakuwa umepotea njiaWakuu nipokeeni nami ni mnazi mkubwa wa tmu yetu pendwa ya spurs
Mkuu itakuwa umepotea njiaWakuu nipokeeni nami ni mnazi mkubwa wa tmu yetu pendwa ya spurs
Kabisa mkuu,na kama pale wanaona pamejaa wanyofoe mmojawapo kati ya United,Arsenal au Chelsea maana hawana hadhi ya kiwa hapo kwa sasa ,Mods tafadhali upeni huu uzi heshima na hadhi inayostahili. Ukae pale juu uwe sticky. Pia tittle iwekwe vizuri.
Kabisa mkuu,na kama pale wanaona pamejaa wanyofoe mmojawapo kati ya United,Arsenal au Chelsea maana hawana hadhi ya kiwa hapo kwa sasa ,
Kutesa kwa zamu na hii ni zamu yetu....
Kabisa mkuu,na kama pale wanaona pamejaa wanyofoe mmojawapo kati ya United,Arsenal au Chelsea maana hawana hadhi ya kiwa hapo kwa sasa ,
Kutesa kwa zamu na hii ni zamu yetu....
Ataiua Tottenham au ataua ninigame over mourinho ple tot ataua sana
Kuna tim ztakmbia uwanjanAtaiua Tottenham au ataua nini
Tumu gani mourinho hakuipa mafanikio??ataanza nunua kila mchezaji kama kichaaaa na changushangaza wakawapa gharama kubwa na asiwape mafanikio huyo ndyo mourinho
Mkuu ,jiandae kisaikolojia Mourinho ana hasira na nyinyi lazma mpate kipigo heavyTunawasubiri OT tuje tuwaonyeshe kuwa sisi ni wababe wenu wa wakudumu